Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
- Thread starter
- #61
Kuna mmoja tayari keshaanza isoma namba anaitwa king Lawrence, huyu alikua anabebwa sana na ivan.
Kashindwa kwenda uganda kumzika don kisa hana passport(ipo polisi)ila don alipokuwepo alikua anaenda ug na kurud na hakuna wa kumuuliza
Kashindwa kwenda uganda kumzika don kisa hana passport(ipo polisi)ila don alipokuwepo alikua anaenda ug na kurud na hakuna wa kumuuliza
uyo ndo alikuwa boss wao
mambo yakipinda ndani ya miezi3 tu watazirudia