Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Tunauziwa chai tuHalafu nani kateremka kaburini akazihesabu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunauziwa chai tuHalafu nani kateremka kaburini akazihesabu?
Kumbe upo? Afadhali hukuondokaNinavyowajua wa-Ganda labda jeshi la polisi lihamie hapo
Una mawazo ya kimagufuri kweli wewe. Huo umasikini wako lia na mungu wako.Sasa familia ngapi wenye hali duni wangenufaika na hizo hela. Ningefurahi Museveni angelizungumzia hilo, na wote waliofanya hivyo kuchunguzwa walivyo zipata hizo hela, maana hawana uchungu nazo na sio watu wenye huruma ama imani
Pana watu wana macho mazima yaani kurusha rusha hivyo mtu tayari kajua idadi yake kuwa ni zaidi ya m30!KUTOKA KWENYE MAZISHI UGANDA...... pesa zaidi ya 30 mil zamwagwa ndani ya kaburi la Ivan Don... Kabla ya genezaView attachment 516716View attachment 516717View attachment 516718 kuwekwa....!! Ni balaaaaa.....
View attachment 516719
Rich gang members wakimwaga pesa kaburini kama ishara ya kumuaga boss wao
View attachment 516721
Bila kitafunwaTunauziwa chai tu
Uwe unasoma thread yote na unaielewa siyo unakurupuka tu pia hapa si sehemu ya kujiaibisha kama hujui kitu kaa kimya yaani milioni 30 ya kiganda ni swa na elfu 5?Sasa milioni 30 ya uganda si ni 5000 ya bongo hii ni exchange rate ya 2015 inawezekana ikawa hata 3500
Mkuu ina maana ww umeamua kujiajiri humu!?Daah watu wana kufuru na hela aisee
Mkuu naona umeamua kutulisha matango pori. Shilingi za kiganda 30m ni sawa na milioni kumi na nane point kadhaa za kitanzania.Sasa milioni 30 ya uganda si ni 5000 ya bongo hii ni exchange rate ya 2015 inawezekana ikawa hata 3500
Ukweli ni kwamba Ivan is dead that is all hata wafanyanye nini jamaa ameshakua marehemu.KUTOKA KWENYE MAZISHI UGANDA...... pesa zaidi ya 30 mil zamwagwa ndani ya kaburi la Ivan Don... Kabla ya genezaView attachment 516716View attachment 516717View attachment 516718 kuwekwa....!! Ni balaaaaa.....
View attachment 516719
Rich gang members wakimwaga pesa kaburini kama ishara ya kumuaga boss wao
View attachment 516721