Rich gang members wamwaga mamilioni ya pesa kaburini kwa Ivandon

Rich gang members wamwaga mamilioni ya pesa kaburini kwa Ivandon

Kijiografia Uganda na Kagera (Bukoba) ni sehemu moja.Nyerere tu alilazimisha kuichukua Kagera kutoka Uganda na kuileta Tanganyika.

Idd Amin alikuwa sahihi kuing'ang'ania Kagera...Ili kumfahamu vizuri mtu mweusi wa Afrika,na hasa "MBANTU" wa "Interlacustrine Region" yaani eneo la Banyankole,Buganda na Kagera...Basi pitia tu hata hints za "CULTURAL ANTHROPOLOGY"

Hata Wazungu waliokuja kama Wapelelezi waliliona hili linalofanywa na hawa "Rich Gang Members".Mmisionary alipokuja Tanganyika kutokea Zanzibar,aliruka mikoa yoooote,akaweka makazi kwanza pale "Rubya-Bukoba" kabla ya kwenda sehemu nyingine.Aliisoma vema report ya wale "Explorers"
 
mmmh hizo noti za elfu kumi na elfu ishiri za kuhesabika ndo zimefika zaid ya 30m???
au zipo zingine tofauti na hizo zinazoonekana kwa picha?
 
Magu akiyaona haya atawafata huko walipo hata kama ni waganda hapana chezea hela wewe
 
Kama mtu akichana pesa anashtakiwa, inakuwaje kwa anaetupa? Sheria inasemaje hapo.

Wataweka ulinzi kiasi gani kuepusha fedheha ya kaburi la bosi wao kufukuliwa?
 
Hivi serikali inaweza ruhusu mtu azizike hela? Sio uhujumu uchumi huo?
 
Zinaweza zikawa ni feki tu... Ila kama ni za kweli huo ni upuuzi wa kiwango cha rami na yawezekana pia hizo sio pesa halali.. Si ni bora hizo pesa wangepeleka kwenye any charitable organization kumuenzi boss wao.. Aisee huu ni ujinga wa hali ya juu sana..
 
Tuna safari ndefu sana ambao tumetokea familia za kipato cha kati au kidogo pale tunapopata pesa (hasahasa za haramu)
 
Back
Top Bottom