KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
It's humans against humanity on humans
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madam upo? Niliona mahali umeaga unajitoa JF..Ninavyowajua wa-Ganda labda jeshi la polisi lihamie hapo
Nimerudi lakini muda wa kuwa hapa si kama ilivyokuwa zmani. Kuna inbox nilipata zilikuwa too emotional nimeamua kubalance muda.Madam upo? Niliona mahali umeaga unajitoa JF..
Kwa vile nimeishi Kaburu, nimeziona 200 Rand za kutosha mle shimoni, but haimaanishi nakubariana na kiasi hicho cha 30 millions.Mil 30 hyo [emoji23][emoji23][emoji23] acheni uongo hata mil1 haijafika halaf ni hela ya uganda hyo haina hata dhamani[emoji23]
Kuna kitu huwa najiuliza sipati picha wala jibu lake kwa ufasaha.Daah watu wana kufuru na hela aisee
Kumbe na wewe ulikuwepo mzazi?Huu ndio ujinga wa kiwango cha juu niliowahi kukutana nao
ndio ulimbukeni huoKuna kitu huwa najiuliza sipati picha wala jibu lake kwa ufasaha.
Hivi mbona wazungu hata wawe na hela "chura haruki" huwa hawanaga
huu ulimbukeni na ujinga tulio nao Waafrika wa kiafrika..?
View attachment 517160
View attachment 517162
Ahaa kumbeKama ni staili hiyo kunamambo huyo jamaa alisema kama maagano ya giza haiwezekani na lbd ndo muda alopewa kuishi na sasa ndo mwisho haiwezekani.
Ngoja masadali Lazima watamfukuaa ili watoe helaaaAhaa kumbe
Ila na ulimbukeni wao bado wao ni matajili kuliko wasiokua malimbukeniULIMBUKENI WA FIKRA
KWA NINI WALIACHWA WAHALIFU HAWA? HII, NI KUHUJUMU UCHUMI.wanazitoa toka kwenye mzunguko