mzurimie
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 6,143
- 3,625
Hahaha unamapenzii Haswa na Almasi, yaani Mpaka Yamepitiliza, Lakin Ndio Vizur
Na mie nikijisoma najishangaa ila najijua siandiki pumba...lol, hadi my MR akiulizwa sasa nani nampenda kimuziki TZ/Africa atajibu mtoto wa Tandale na kumalizia kumtaja.
Maisha yake, alivyoanza, alivyouza barabarani, bidii yake, kuthamini ili na lile etc vimechangia mie kuwa hivi...