Rich Gang ndiye kiboko ya Lil Wayne

P. Majaribu

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2014
Posts
1,192
Reaction score
623
Huyu jamaa pia yupo kwenye lebo ya CMB iliyo chini ya Birdman,ni hatari sana huyu mtu hasa kwa ile style yake ya umbrella flo,ukitaka kuthibitisha hilo tafuta ngoma zake kama Lifestyle,Givenchy,bullet au mixtapes zake kama Tha tour part 1&2 akiwashilikisha wanae kama Rich hommie quan na Young thug ni balaa hadi Lil wyne anapiga salute.
 
Rich Gang ni jina la Project yenye compilations kadhaa za kikundi. Birdman ni muasisi wa 'family' - kikundi. Jina la kikundi ni YMCMB ambacho ndani yake kuna CMB label. Lil Wayne ndiye mmiliki wa CMB label ambayo pia hufanya kazi zake chini ya Birdman - CEO wa YMCMB. Nicki Minaj, Drake, Future, Young Thug, Lil Wayne, Mystikal - member mpya kidogo, etc wote ni wana YMCMB na wanaishi kama family chini ya Birdman - pia mlezi wa Lil Wayne japo kila mmoja ana project zake tofauti tofauti na ugomvi wao kama familia zote zilivyo. Aliyekosea ni wa kueleweshwa tu, kama mlivyoeleweshwa pia mnaombeza.Questions???
 
Nadhani kuna kuchanganya mambo hapa. Kwanza Rich Gang ni brand ambayo ipo chini ya Cash Money Records na sio mtu. Ni brand ambayo inajumuhisha muziki pamoja na mavazi. YMCMB ni brand nyingine ambayo ipo chini ya Cash money na Young Money. Cash money na young money ni kampuni mbili tofauti za muziki ingawa Young money inafanya kazi chini ya Cash money wakati Cash money ikiwa chini ya Universal music group.
 
Lil Wayne ni mmiliki na Ceo wa Young money wakati Birdman na kaka yake Slim wakiwa ni wamiliki na Ceo wa Cash money. Nicki Minaj na Drake wapo chini ya Young money wakati Young Thugga na wengine kama Dj Khaled wakiwa chini ya Cash money.
Ingawa mwisho wa siku inaonekana ni kampuni moja,ila kibiashara kuna tofauti
 

Waanhe Brrrrrrrrrrrr.
 

Mkuu samahani lini umeanza kufatilia mziki hasa wa mbefele?
 
Yap nakubaliana na wadau hapo juu kwamba RG ni project ya CMR. Inayobeba mziki, mavazi. YM ni project inayojitegemea chini ya umiliki wa lil wayne lkn president wake ni mack maine but YM iko ndani ya CMR chini ya founder birdman ma favorate rapper brrrrrrrrrrr MOB, RG, YMCMB, flying in any weather.
 
Samahan naomba kuuliza, hivi ile beef ya Lil Wyne na Birdman inaendeleaje kuhusu wyne kujitoa YMCMB
 
rich gang si wale sangoma wa uganda kumbe wamecopy mmh
 
Samahan naomba kuuliza, hivi ile beef ya Lil Wyne na Birdman inaendeleaje kuhusu wyne kujitoa YMCMB

Hopefully haikuwa beef ya muziki bali ni biashara. Lil Wayne Anadai royalties zake kupitia wasanii wake Nicki Minaj na Drake. But at the end of the day I think Ile ni familia na wametoka mbali tangu Lil Wayne akiwa mdogo na umri wa miaka 12.
 
Thanx mkuu but hadi kufikia hatua ya kutoa mixtape akimdiss birdman inamaana badoyupo YMCMB?
 
Hopefully haikuwa beef ya muziki bali ni biashara. Lil Wayne Anadai royalties zake kupitia wasanii wake Nicki Minaj na Drake. But at the end of the day I think Ile ni familia na wametoka mbali tangu Lil Wayne akiwa mdogo na umri wa miaka 12.
Here's my take, Wayne ana wivu. Them n!99as were having more than what they were letting out man, or rather what y'all refused to see. They're homos, na Wayne anataka kutoka since Birdman anam-replace na Young Thug as his main. Here's why i see it that way

1. Hawa jamaa washawahi kiss in public, kati ya vitu vibaya sana kuwahi kutokea kwenye rap.

2. 'Wizzy 'F' baby'...self explanatory.

3. Young Thug, an open homo ana-roll na Birdman sana, ndio beef linatokea and Wayne wants out. Wivu? Why not.

4. Birdman kuna interview alikiri kwamba alikuwa bi-, talking about alikuwa confused and all that bs, pia akakiri Wayne is homo na alishamtaka pia yeye.

5. Maybe i don't like them too much, so i see things that way. Ila jumlisha mwenyewe pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…