Rich Gang ndiye kiboko ya Lil Wayne

Rich Gang ndiye kiboko ya Lil Wayne

Here's my take, Wayne ana wivu. Them n!99as were having more than what they were letting out man, or rather what y'all refused to see. They're homos, na Wayne anataka kutoka since Birdman anam-replace na Young Thug as his main. Here's why i see it that way

1. Hawa jamaa washawahi kiss in public, kati ya vitu vibaya sana kuwahi kutokea kwenye rap.

2. 'Wizzy 'F' baby'...self explanatory.

3. Young Thug, an open homo ana-roll na Birdman sana, ndio beef linatokea and Wayne wants out. Wivu? Why not.

4. Birdman kuna interview alikiri kwamba alikuwa bi-, talking about alikuwa confused and all that bs, pia akakiri Wayne is homo na alishamtaka pia yeye.

5. Maybe i don't like them too much, so i see things that way. Ila jumlisha mwenyewe pia.

Am not sure if it true ya hicho unachoongea. Zaidi ya picha zinazowekwa kwenye mtandao na story ambazo watu wanazungumza.
Lil Wayne Anadai royalties za takribani Us dollars million 51 kupitia wasanii Nicki Minaj na Drake. Hakuna beef na Wayne alilalamika.
Zaidi wale ni familia. Na Wayne ni mtoto wa kuasiliwa na Birdman.
 
Am not sure if it true ya hicho unachoongea. Zaidi ya picha zinazowekwa kwenye mtandao na story ambazo watu wanazungumza.
Lil Wayne Anadai royalties za takribani Us dollars million 51 kupitia wasanii Nicki Minaj na Drake. Hakuna beef na Wayne alilalamika.
Zaidi wale ni familia. Na Wayne ni mtoto wa kuasiliwa na Birdman.
http://huzlers.com/birdman-admits-lil-wayne-homosexual-love-drake-reason-drake-wrote-wrong/
 
Rich Gang ni jina la Project yenye compilations kadhaa za kikundi. Birdman ni muasisi wa 'family' - kikundi. Jina la kikundi ni YMCMB ambacho ndani yake kuna CMB label. Lil Wayne ndiye mmiliki wa CMB label ambayo pia hufanya kazi zake chini ya Birdman - CEO wa YMCMB. Nicki Minaj, Drake, Future, Young Thug, Lil Wayne, Mystikal - member mpya kidogo, etc wote ni wana YMCMB na wanaishi kama family chini ya Birdman - pia mlezi wa Lil Wayne japo kila mmoja ana project zake tofauti tofauti na ugomvi wao kama familia zote zilivyo. Aliyekosea ni wa kueleweshwa tu, kama mlivyoeleweshwa pia mnaombeza.Questions???

Wewe unatudanganya mchana kweupeeee
 
Nadhani kuna kuchanganya mambo hapa. Kwanza Rich Gang ni brand ambayo ipo chini ya Cash Money Records na sio mtu. Ni brand ambayo inajumuhisha muziki pamoja na mavazi. YMCMB ni brand nyingine ambayo ipo chini ya Cash money na Young Money. Cash money na young money ni kampuni mbili tofauti za muziki ingawa Young money inafanya kazi chini ya Cash money wakati Cash money ikiwa chini ya Universal music group.

Wewe at least unafanya research
 
Nachoelewa mimi;

CASH MONEY---Ni baba aliyemzaa YOUNG MONEY (YMCMB), Founder ni Birdman 'Baby'

UNIVERSAL MUSIC---Ni babaake CASH MONEY, so naweza sema YMCMB ni mjukuu

YOUNG MONEY(YMCMB)--- Ni kampuni iliyoanzishwa na Lil Wayne, ambapo alimweka rafiki yake Mack Maine kama Rais

RICH GANG---Ni project (album) ambayo inahusisha wasanii wa makundi yote mawili 'baba' + 'mtoto', ingawa wamewashirikisha pia wasanii kadhaa nje ya makundi/kampuni hizi mbili
 
Nachoelewa mimi;

CASH MONEY---Ni baba aliyemzaa YOUNG MONEY (YMCMB), Founder ni Birdman 'Baby'

UNIVERSAL MUSIC---Ni babaake CASH MONEY, so naweza sema YMCMB ni mjukuu

YOUNG MONEY(YMCMB)--- Ni kampuni iliyoanzishwa na Lil Wayne, ambapo alimweka rafiki yake Mack Maine kama Rais

RICH GANG---Ni project (album) ambayo inahusisha wasanii wa makundi yote mawili 'baba' + 'mtoto', ingawa wamewashirikisha pia wasanii kadhaa nje ya makundi/kampuni hizi mbili

In short, ndio hivyo. Sasa mkuu wa wote hao ni Birdman.
 
Rich Gang ni jina la Project yenye compilations kadhaa za kikundi. Birdman ni muasisi wa 'family' - kikundi. Jina la kikundi ni YMCMB ambacho ndani yake kuna CMB label. Lil Wayne ndiye mmiliki wa CMB label ambayo pia hufanya kazi zake chini ya Birdman - CEO wa YMCMB. Nicki Minaj, Drake, Future, Young Thug, Lil Wayne, Mystikal - member mpya kidogo, etc wote ni wana YMCMB na wanaishi kama family chini ya Birdman - pia mlezi wa Lil Wayne japo kila mmoja ana project zake tofauti tofauti na ugomvi wao kama familia zote zilivyo. Aliyekosea ni wa kueleweshwa tu, kama mlivyoeleweshwa pia mnaombeza.Questions???

YMCMB ipo under lil wayne, CMB ipo under William bros.. Wayne yupo under CMB, automatically YMCMB ipo under CMB.
 
Here's my take, Wayne ana wivu. Them n!99as were having more than what they were letting out man, or rather what y'all refused to see. They're homos, na Wayne anataka kutoka since Birdman anam-replace na Young Thug as his main. Here's why i see it that way

1. Hawa jamaa washawahi kiss in public, kati ya vitu vibaya sana kuwahi kutokea kwenye rap.

2. 'Wizzy 'F' baby'...self explanatory.

3. Young Thug, an open homo ana-roll na Birdman sana, ndio beef linatokea and Wayne wants out. Wivu? Why not.

4. Birdman kuna interview alikiri kwamba alikuwa bi-, talking about alikuwa confused and all that bs, pia akakiri Wayne is homo na alishamtaka pia yeye.

5. Maybe i don't like them too much, so i see things that way. Ila jumlisha mwenyewe pia.

When you call someone gay after he sue you in court of law na anataka umlipe 51mil$$$ men you can't be serious

This thing started with money fresh then juvenile follow the issue was MONEY for God sake!!!!!!!!!

You may say weezy is jealous due to the fact that Birdman nowadays hang with YG all the time but the issue here is releasing of weezy new album the same happen to Tyga men!

What Baby done to Weezy is unfair I like him though

I heard that Juve is back to the crew!
 
When you call someone gay after he sue you in court of law na anataka umlipe 51mil$$$ men you can't be serious

This thing started with money fresh then juvenile follow the issue was MONEY for God sake!!!!!!!!!

You may say weezy is jealous due to the fact that Birdman nowadays hang with YG all the time but the issue here is releasing of weezy new album the same happen to Tyga men!

What Baby done to Weezy is unfair I like him though

I heard that Juve is back to the crew!
You know what, you're right man. I'm just trippin'.
 
You know what, you're right man. I'm just trippin'.

Hapo uliposema tripping nmekumbuka i aint mad at cha moja kati ya nyimbo bora 10 kwang ktk ulimwengu huu


..................Tripping off sherm collect calls to the till, saying how u changed, oh you are muslim now, no mo dpoe games...........



Umenipa mzuka acha niskilize kitu nipate stim ya kuvutia shuka... Usiku mwema inawezekana ukaisoma asubuh, toa usiku na mw asubuh na nj, ili iwe asubuh njema
 
Back
Top Bottom