Rich Mavoko acha roho mbaya na ukiendeleza hutofanikiwa abadani

Hance, Tunda hajambo?? Mbona siku hizi anavaa neti??
 

Wewe jamaa jana ulikuja na post ya kibabe sana ya boxing nikakukubali sana..leo unakuja na post ya kihhanithi namna hii?? Kwani vipi au una jinsia mbili? Ya kuingiza na kuingizwa?
 
Huo ndio unafiki,majitu manafiki yasiopenda wenzao wafanikiwe ndio wana roho kama yako,mnafiki wewe unampiga majungu mavoko alafu utafaidika na nini?
ACHA KUCHUKULIA VITU JUU JUU,WATOTO WA KIUME HAWANA TABIA KAMA ZAKO.
 
Duuh! watu wanafatilia hadi matabasamu ya watu? Kwakweli hili sio povu bali huu ni mchambo
 
Ila una chuki nao tu hao mavoko na lava lava[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakumbuka ulimchambaga lava lava sitasahau
 
Rich mavoko yupo wasafi kwa kipaji alichonacho na sio kujikomba komba...kwanza Richard ndo namuelewa sana hao wengine naona kama wapiga kelele tu
 
Plipil usioila inakuwashia nn
Umbea
 
Hivi ukiwa umesainiwa Wasafi Label unakuwa mbia/mwajiriwa wa Wasafi TV/Redio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…