Rich Mavoko acha roho mbaya na ukiendeleza hutofanikiwa abadani

Rich Mavoko acha roho mbaya na ukiendeleza hutofanikiwa abadani

Rich Mavoko hayuko Wasafi kama hisani au anasaidiwa maisha. Hapana
- Anaimba, anafanya show PERCENT yake anachukua na kilichobaki NDOMO MPENDA NGONO anachukua kutokana na MKATABA Wake.

Mavoko hana HISA Wasafi TV,
Hana hisa Wasafi Radio,
Hana hisa WCB yaani ni sawa na mtoto anaekaa kwa jirani, baba na mama wa familia wanapokuwa wanawapangia FUTURE watoto wao, wewe mtoto wa kupita HUHUSISHWI ni kama MAVOKO.

- Kama ni KIBEPARI BEPARI Wamlipe AWATANGIZIE, kwani wao mbona kila PERCENT anayoingiza wanakata mpaka HELA, Mpaka MAGARI Wanayowazawadia huwa WANAKATANA sasa kwanini yeye afanye BURE BURE tu !

-USIWE MSUKULE WA NDOMO MPENDA NGONO mpaka UNAKERA !

Siku yoyote anaweza kuondoka na kutafuta maisha kwingineko,
Duh kwel
 
Duh,mtoto wa kiume huyu mara Leo Diamond kesho mayweather pretty kijana kafikiche tundu hilo unatakiwa km uko sawa.TafutaKazi
 
Mavoko anajielewa. We jamaa mchonganishi bila ubishi uliishi kambini
 
Ukiona hivyo kijana hataki kubezi upande mmoja anataka kazi zake zichezwe kote kote
Mfano.
Nakumbuka Rama dee aliingilia tofauti ya Ruge na Sugu kisa Sugu rafiki yake walivyopatanishwa yeye hakawa hana pa kwenda.
umewaza nililotaka kusema safiiii sana maana akiegemea na mziki wake kupoteea
 
Ramli chonganishi hizi...kwani we ni nani huko wcb? Au ndio msemaji wao? Kama huhusiki basi huu ni umbea ambacho kwa mwanaume sio kitu kizuri...
 
Duuh! Hata sielewi lengo lako ni nn hasa? Haya peleka malalamiko kwa boss wake.
Sijui tukusaidiaje? Shwain kabisa
 
Haka kajamaa bado kanaendeleza chuki zake dhidi ya Diamond Platnumz licha ya kusainiwa WCB.

Haka kajamaa kana roho mbaya sana na hata tabasamu lake akiwa na Diamond unaona kabisa ni feki kama ukimchunguza kwa makini.

Wasanii WCB damu kuanzia Harmonize ,Rayvann, Mboso na DJ Rommy Jones ni watu ambao hawapo na diamond kinafiki wapo real kabisa na hii imethibitishwa hata na ujio wa Wasafi TV hawa jamaa wapo mstali wa mbele kumsapoti diamond lakini huyu jini mkata kamba Rich mavoko na yule muimba kaswida wanamuonea kijicho bosi wao kwa maana hata kuposti wanaposti kinafiki tena kwa kuogopa lawama.

Na hilo limejithibisha kwa maana Diamond aliomba kwa mtu yeyote anaye sapoti wasafi TV aweke logo ya wasafi kwenye dp yake lakini haya majini wakata kamba Mavoko na Lavalava hawajafanya hivyo ikimaanisha kwamba hawako pamoja na diamond.

Kiukweli hawa ni wanafiki wakubwa wasio kuwa na shukurani hivyo hawafai kuendelea kubaki usafini.

PAMBANA NA HALI YAKO ILA USIISUMBUE HALI YA MAVOKO NA LAVALAVA....badilisha AVATAR weka logo ya wasafi tv kwanza.
 
mkuuu uliyo yaongeyaga ndo aya yameshafika kajama kana roho mbaya sanaaa
 
Haka kajamaa bado kanaendeleza chuki zake dhidi ya Diamond Platnumz licha ya kusainiwa WCB.

Haka kajamaa kana roho mbaya sana na hata tabasamu lake akiwa na Diamond unaona kabisa ni feki kama ukimchunguza kwa makini.

Wasanii WCB damu kuanzia Harmonize ,Rayvann, Mboso na DJ Rommy Jones ni watu ambao hawapo na diamond kinafiki wapo real kabisa na hii imethibitishwa hata na ujio wa Wasafi TV hawa jamaa wapo mstali wa mbele kumsapoti diamond lakini huyu jini mkata kamba Rich mavoko na yule muimba kaswida wanamuonea kijicho bosi wao kwa maana hata kuposti wanaposti kinafiki tena kwa kuogopa lawama.

Na hilo limejithibisha kwa maana Diamond aliomba kwa mtu yeyote anaye sapoti wasafi TV aweke logo ya wasafi kwenye dp yake lakini haya majini wakata kamba Mavoko na Lavalava hawajafanya hivyo ikimaanisha kwamba hawako pamoja na diamond.

Kiukweli hawa ni wanafiki wakubwa wasio kuwa na shukurani hivyo hawafai kuendelea kubaki usafini.
Licha ya kuwa ni kweli Mavoko ana jeuri,kiburi,mtu wa wivu sana pamoja na GUBU but humtendei haki una muandama sana....
 
Haka kajamaa bado kanaendeleza chuki zake dhidi ya Diamond Platnumz licha ya kusainiwa WCB.

Haka kajamaa kana roho mbaya sana na hata tabasamu lake akiwa na Diamond unaona kabisa ni feki kama ukimchunguza kwa makini.

Wasanii WCB damu kuanzia Harmonize ,Rayvann, Mboso na DJ Rommy Jones ni watu ambao hawapo na diamond kinafiki wapo real kabisa na hii imethibitishwa hata na ujio wa Wasafi TV hawa jamaa wapo mstali wa mbele kumsapoti diamond lakini huyu jini mkata kamba Rich mavoko na yule muimba kaswida wanamuonea kijicho bosi wao kwa maana hata kuposti wanaposti kinafiki tena kwa kuogopa lawama.

Na hilo limejithibisha kwa maana Diamond aliomba kwa mtu yeyote anaye sapoti wasafi TV aweke logo ya wasafi kwenye dp yake lakini haya majini wakata kamba Mavoko na Lavalava hawajafanya hivyo ikimaanisha kwamba hawako pamoja na diamond.

Kiukweli hawa ni wanafiki wakubwa wasio kuwa na shukurani hivyo hawafai kuendelea kubaki usafini.
Mbona povu
 
Back
Top Bottom