Rich Mavoko hayuko Wasafi kama hisani au anasaidiwa maisha. Hapana
- Anaimba, anafanya show PERCENT yake anachukua na kilichobaki NDOMO MPENDA NGONO anachukua kutokana na MKATABA Wake.
Mavoko hana HISA Wasafi TV,
Hana hisa Wasafi Radio,
Hana hisa WCB yaani ni sawa na mtoto anaekaa kwa jirani, baba na mama wa familia wanapokuwa wanawapangia FUTURE watoto wao, wewe mtoto wa kupita HUHUSISHWI ni kama MAVOKO.
- Kama ni KIBEPARI BEPARI Wamlipe AWATANGIZIE, kwani wao mbona kila PERCENT anayoingiza wanakata mpaka HELA, Mpaka MAGARI Wanayowazawadia huwa WANAKATANA sasa kwanini yeye afanye BURE BURE tu !
-USIWE MSUKULE WA NDOMO MPENDA NGONO mpaka UNAKERA !
Siku yoyote anaweza kuondoka na kutafuta maisha kwingineko,