cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Ni kweli kabisa kaka Rich Mavoko umepwaya kabisa kama tulivyotegemea ungefanya vizuri zaidi kumbe imekuwa kinyume chake.
Tatizo siyo kufanya wimbo na msanii wa Nigeria au popote pale hapana hata kipaji chako kimekufa kaka ni bora ukomae mwenyewe hao jamaa style yao huiwezi kaka nakuambia mapema kabisa.
Mwisho vijana wa WCB wote wako vizuri wewe umekwama wapi brother nadhani ni wakati wakutafakari kabla ya kipaji chako kupotea.
Wewe kama sio wivu ni nini haswa
Unapoongelea kufanya vizuri mbona umeshindwa kushusha nondo ukaeleweka dhamira ya uzi wako.. hata link ya youtube hujaweka ni wivu tu