Alitegemea return kubwa kuliko uwezo wake na ndo mana akaamua kuusign Tena akajipiga ban eti miaka kumi,he was seriously?Alikuwa amefumba macho wakati anasign huo mkataba hapo mwanzo?
Kazi anayo,Lazma awe teja mwaka huu..Alitegemea return kubwa kuliko uwezo wake na ndo mana akaamua kuusign Tena akajipiga ban eti miaka kumi,he was seriously?
Hapo umeandika Poa,Kama mavoko amechoka kweli basi angeomba kumalizana vizuri tuu na WCB maana ameshajifunga minyororo na mkataba, hawezi kwenda popote, hiyo tume sijui kitu gani haiwezi ikabatilisha mkataba halali ulioingiwa kwa mujibu sheria zetu wenyewe.
Mavoko asipoangalia atalazimika kupambana na WCB mahakamani ataishia kupoteza pesa na muda wake mahakamani kufuatilia kesi, japo kuna wachache watamsifia na kumjaza ujinga ila ajue anaenda kjipoteza, angetafuta njia ya busara zaidi kuondoka WCB , njia ya ugomvi inaweza kutoa sadaka career yake yote.
Sawa mkuu.Ujue hapa ni pande mbili tofauti,Kama angekuwa na meneja basi ndo Ange incur cost za kuvunja mkataba but kwasababu Ni mavoko as individual yeye mwenyewe ndo itambidi atoboke kinoma kama 1 billion ok mng'ato
Huyu jamaa washabiki wake wameshampoteza,huyu jamaa uwezo wake mdogo ndio maana ameshindwa kutoboa pale. Ndio basi tena.Naahh;!the guy was not serious at all,tatizo wanampa kichwa eti anauwezo Mkubwa kuliko WCB
Na mbaya zaidi akumshirikisha hata wakili ko kazi anayo,na Kama asipoomba pooo,kwa WBC inakula kwake kwa maana wakiamua kukaza mkataba unaweza kuuvunja hata kwa Trillion daaaaaaah so sad mavoko.Kazi anayo,Lazma awe teja mwaka huu..
Kabisa kwa utunzi jamaa hawawezi walioko WCB ameona ni stress tupu kule maana ukifika wakati wake wa kutoa hit songs hanaHuyu jamaa washabiki wake wameshampoteza,huyu jamaa uwezo wake mdogo ndio maana ameshindwa kutoboa pale. Ndio basi tena.
Mavoko hajui kuandika? Sio mtunzi mzuri?Kabisa kwa utunzi jamaa hawawezi walioko WCB ameona ni stress tupu kule maana ukifika wakati wake wa kutoa hit songs hana
Bora atokeee awe huru.