kuna thread niliiona hapa inasema mwanaume asiye na pesa hapaswi kuvumiliwaInasikitisha sana, uko na mtu hana kitu umemvumilia wee na shida zake akipata anakumwaga.
Mavoko kaanza kuishi na huyu mdada(Fay) zamani sana, enzi hizo anaishi kigogo hana kitu anakaa chumba kimoja sasa hivi kapanga Nyumba nzima Tabata magengeni anamuona mtoto wa watu hana maana.
Ni mambo yakusikitisha sana na yakuumiza, mbaya zaidi amemwacha mwenzie wakati ana mtoto mdogo.
kuna thread niliiona hapa unisema mwanaume asiye na pesa hapaswi kupenda
lakini nilikuwa napenda kupata hiyo picha ya huyo mwanamke nikimtazama kijana mavoko anaheshima sana ila sio tatizo kama huduma zote mavoko anatoa kwa mke wake
kutokana na kazi aliyonayo mavoko kundi lake watakuwa wamemshawishi atafute dem mkali ili apate kiki
ila mama mtoto vumilia najua mavoko hatokosa pesa ya kukutunza
kumbe fay ni mbaya?Mpe pole Fay namfaham ana salun pale Bima na alijifungua mwaka huu ila huyo Mavoko atakuwa amekutana na watoto wazuri huko WCB
Hapana! She is just beautifulkumbe fay ni mbaya?
Ila huwezi jua labda Fay kamshindwa na tabia zake kaamua kusepa.kumbe fay ni mbaya?