Rich Mavoko ammwaga mzazi mwenzie

Ebu leteni stori iliyo kamilika tujue kilitokea nini kabla hatuja anza kuhukumu
 
We mbona umerukia kwenye kumuisha tuu [emoji1]
Hatuja pata stori kamili tujue kilicho tokea ni nn
hamna ata haja ya story kamili uyo mavoko ndo kazingua siku zote wanaume ndo wanaanza uyo dada atajuta mavoko kuamia wasafi bola wangeendelea tu kukaa kwenye chumba chao kimoja
 
Kwahiyo ulikuwa unatakaje,,,,je una uhakika gani kama huyo mtoto ni wa mavoko???

Acha kuingilia mahusiano ya watu,,,fata mambo yako
 
Wanawake watazaa kwauchungu na wanaume watakula kwa jasho,acha mama mtoto ale uchungu na baba amwage jasho
 
Chanzo unakijua au unalaumu tu, kama ni mtoto kwani kasema hamlei.. BTW kutoka mbali na mtu sio tiketi ya kutokuachana
Peter nyie ndio kila cku mnawasema masingle mama umeona chanzo cha hayo matatizo wasababishaji ni akina nani? Sasa mavoko anamuacha ataolewa na nani na nyinyi kutwa kulalamika kuwa hamuwataki wanawake waliozaa
 
Kama ni kweli mbaya sana
 
Peter nyie ndio kila cku mnawasema masingle mama umeona chanzo cha hayo matatizo wasababishaji ni akina nani? Sasa mavoko anamuacha ataolewa na nani na nyinyi kutwa kulalamika kuwa hamuwataki wanawake waliozaa
Nauliza hivi unajua chanzo cha kuachana kwao
 
Inaitwa pata pesa tujue tabia yako na kosa pesa ujue uvumilivu wake
 

Aisee huyu jamaa nakaa naye hapa,

Awali nilikuwa nikibisha kuwa ndiye Mavoko, anawatoto wawili, mkewe anafanyia Saloon. Anaishi maisha ya kawaida sana, awali nilikataa kabisaa kuwa huyu ni Mavoko lakini kwa maelezo yako sina budi kukubaliana nawe.

Masuala ya Mapenzi yaache kama yalivyo ndugu, ndiomaana wahenga walisema, pata Mali, Cheo au Umaarufu tujue tabia yako. Mpe pole huyo aliyekuwa mzazi mwenzie, ila sisi hapa tunamjua huyu dada anayeishi sasa. Huyu mama ni fight sana, anakabinti kamoja anaishi nako hapa... Anakapigisha kazi kama Katumwa vile. huwa nakaonea huruma sana

BACK TANGANYIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…