Uliona mbali sana hopefully waliokuzodoa na kukupinga kiana wamekiriIgweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!11
Mniache niko kwenye Shaaban, najiandaa na Ramadhan. Tusi lolote utalo nitukana nakujibu kabisaa BABA YAKO MZAZI. Nchi huru hii sijakutumia invitation uje usome.
BACK TO TOPIC!
Hahahaaa Rich Mavokoooooooooo, rich weweeeeee mzeee wa MARRY ME, nikupeleke kwa Mama Richard kweli wa kukaa lebel moja na watoto wa jana kina Harmo ushuziii (Dogo nilikuwa namkubali huyuu ila alivonitokaaa kama mshipi.) na yule dogo Talentless kabisaa hata jina simjui. Hata wimbo wake mmoja siujui. KWELIIIIIIIIIIIIIIIII! Gerra out of here!
Rich ulikuwa unapambanishwa na Dimond enzi hizo na unampeleka peleka ipasavyo, namna gani mtoto wa mama Richard? Namna gani. Kabisaaaaaa umesign WCB. Duuu aiseeeeeeeeeee! Bora ungekufa na tai shingoni kama Blue Byser, Shetta Shettani, na Baraka Da Prince usiwe na management uwe tu huru.
Au bora ungeenda kusign kwa Petit man, mara laki tano maana yule meneja tu na sio msaniii kama domo. Tseeee tseeeee tseeeee RICHHHHHHH!!!!!!! MAVOKALIIIIIIII???????? Heeeeeeeeeeeeyyyyy Chinekeeeeeeeeeeeeeee! Mara 100 ungeenda kusign kwa Bob Junior. Umeona Ali Kiba alilost kabisaaaa kwa lile jibibi kijana ila kajizoaaa zoaaa si huyo karudiiii.
Anyway, Rich wewe ni wangu, mi nangoja hio 2 nd June nikuonee, nione na huko WCB huenda uka surpass my expectation which to be honest i dont have any. Sijuiiiiiiiiiiiiii kwa kweli. Nisiongee sana maana heshma kidogo niliobakiza kwako ni ya kazi zako za nyuma, mkubwa ulieleweka sanaa enzi hizo, wacha ningoje hio 2nd June.
Afu WCB mbona kama MMEPANIC HIV? Kila siku wimbooo, kila siku wimbooo. Huyo dogo talentless huo wimbo mlioachia juzi hata sijausikiza nasikia mnatoa tena wa Mavoko, mzazi mavoko sababi alisomeka kitambo hiko nitausikiliza, sijakaa vizuri nasikia Mzee wa Katapult kijana wa The Don himself, Don Jazzy, Koredo Bello sijui nimepatia maana kiukweli sijawahi kumuelwa mara mia angefanya collabo na baba Gigy Money Alihaji Techno, Nasikia Harmo ushuzi ndo anaachia nae kigoma, Hahahaaa! Na Paka wa kufugwa kaenda kufanya wimbo na vizee vilivochuja Psquare. Hahahaaaaa!
Niko hapa kutoa review zangu ila so far AJE umeleta noma sanaa huko WCB.
Anachukua anaweka #WAAH😂😂
mwanajf...upo??
Au naww ndo umetoa leso ujipepeee
Rich Mavoko ana mwimbo mpya unaitwa "Wamoto". Uko poa tu na style yake ile ile ukisikiliza unajua huyu mesi. Cha ajabu promo ndogo, kiki hamna. Kwa hiyo wewe kama ni fan wake msaidie kupush. Hata uzi sijaona kuhusu hizi ngoma zake mpya.Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!11
Mniache niko kwenye Shaaban, najiandaa na Ramadhan. Tusi lolote utalo nitukana nakujibu kabisaa BABA YAKO MZAZI. Nchi huru hii sijakutumia invitation uje usome.
BACK TO TOPIC!
Hahahaaa Rich Mavokoooooooooo, rich weweeeeee mzeee wa MARRY ME, nikupeleke kwa Mama Richard kweli wa kukaa lebel moja na watoto wa jana kina Harmo ushuziii (Dogo nilikuwa namkubali huyuu ila alivonitokaaa kama mshipi.) na yule dogo Talentless kabisaa hata jina simjui. Hata wimbo wake mmoja siujui. KWELIIIIIIIIIIIIIIIII! Gerra out of here!
Rich ulikuwa unapambanishwa na Dimond enzi hizo na unampeleka peleka ipasavyo, namna gani mtoto wa mama Richard? Namna gani. Kabisaaaaaa umesign WCB. Duuu aiseeeeeeeeeee! Bora ungekufa na tai shingoni kama Blue Byser, Shetta Shettani, na Baraka Da Prince usiwe na management uwe tu huru.
Au bora ungeenda kusign kwa Petit man, mara laki tano maana yule meneja tu na sio msaniii kama domo. Tseeee tseeeee tseeeee RICHHHHHHH!!!!!!! MAVOKALIIIIIIII???????? Heeeeeeeeeeeeyyyyy Chinekeeeeeeeeeeeeeee! Mara 100 ungeenda kusign kwa Bob Junior. Umeona Ali Kiba alilost kabisaaaa kwa lile jibibi kijana ila kajizoaaa zoaaa si huyo karudiiii.
Anyway, Rich wewe ni wangu, mi nangoja hio 2 nd June nikuonee, nione na huko WCB huenda uka surpass my expectation which to be honest i dont have any. Sijuiiiiiiiiiiiiii kwa kweli. Nisiongee sana maana heshma kidogo niliobakiza kwako ni ya kazi zako za nyuma, mkubwa ulieleweka sanaa enzi hizo, wacha ningoje hio 2nd June.
Afu WCB mbona kama MMEPANIC HIV? Kila siku wimbooo, kila siku wimbooo. Huyo dogo talentless huo wimbo mlioachia juzi hata sijausikiza nasikia mnatoa tena wa Mavoko, mzazi mavoko sababi alisomeka kitambo hiko nitausikiliza, sijakaa vizuri nasikia Mzee wa Katapult kijana wa The Don himself, Don Jazzy, Koredo Bello sijui nimepatia maana kiukweli sijawahi kumuelwa mara mia angefanya collabo na baba Gigy Money Alihaji Techno, Nasikia Harmo ushuzi ndo anaachia nae kigoma, Hahahaaa! Na Paka wa kufugwa kaenda kufanya wimbo na vizee vilivochuja Psquare. Hahahaaaaa!
Niko hapa kutoa review zangu ila so far AJE umeleta noma sanaa huko WCB.
Huo utabiri wa lara 1 ni wa 4 years back aisee!!!Rich Mavoko ana mwimbo mpya unaitwa "Wamoto". Uko poa tu na style yake ile ile ukisikiliza unajua huyu mesi. Cha ajabu promo ndogo, kiki hamna. Kwa hiyo wewe kama ni fan wake msaidie kupush. Hata uzi sijaona kuhusu hizi ngoma zake mpya.
Sasa naona upo trending #37. Msaidieni apate moyo ile video si ya ku trend #37 wiki moja!!
Nimefuatilia nyimbo alizotoa mavoko za hivi karibuni zote zipo poa pia kaja na taste mpya ya mziki akipata wawekezaji wakubwa watakuwa kwenye pik kama kina diamond
Wanyonyaji waleSi Kakimbia wawekezaji ? Mwache awekeze mwenyewe.. amebaki kujichubua tu kama nyoshi el sadaat
Ni bora unyonywe uku unapata na wewe, ukitaka kula ni lazima uliwe, kanuni za maisha ziko hivyo.Wanyonyaji wale
Mapensho star Mbona uwekezaji walioufanya Wasafi kwa rich Mavoko Kama shows, video , audio, ft na patoranking n.k usemi Rich Mavoko anawanyonya Wasafi?Wanyonyaji wale
Nadhani hivi sasa anatoa nyimbo kali tupu manake Diamond hawezi tena kumbania!HAWEZIIIIIIIIII! Maana Dai ndo anamchagulia wimbo wa kutoa. Wakiona wimbo mkali wanaubania. Hairuhusiwi kumpita boss. Yale yale ya Lil Wayne na Cashmoney
Kwani kuna kipi kipya?! Mavoko wa WCB na wa sasa yupi alikuwa ana-trend?! Kilichompoza Mavoko ni thread za aina hii na zikamvimbisha kichwa kwa kwamba yeye ni mkubwa kweli kweli, na bila shaka huo ukubwa wake hivi sasa unaonekana baada ya kujiondoa WCB!Here we are..... Waliomtukana mtoa mada mnaombwa murejee tena hapa.
Hivi sasa hakuna anayemnyonya na bila shaka yupo juuuuuuu, juu kabisa ingawaje hata ukimuuliza mtoto mdogo atakuambia kwa sasa hana ubavu wa kushindana hata na Zuchu aliyeingizia kwenye muziki mieizi kadhaa tu iliyopita!Wanyonyaji wale
Ungekuwa unamfuatilia Mavoko sidhani kama ungeongea hoja ya wawekezaji kwa sababu yule jamaa ni kama huwa anataka kushindana na kichwa! Kuna wakati alikuwa chini ya management moja huko Kenya na watu wakaamini hatimae angetusua! Alikaa muda gani kwenye ile management? Na kwenye biashara yoyote, kufanikiwa kwake kunategemeana sana kama una timu inayoifahamu vema biashara husika. Kwa maana hiyo, anaweza kupata mwekezaji lakini kama mwekezaji mwenyewe haijui biashara ya muziki basi atabaki kuwa msindikizaji tu huku akiendelea kupotea siku baada ya siku!Nimefuatilia nyimbo alizotoa mavoko za hivi karibuni zote zipo poa pia kaja na taste mpya ya mziki akipata wawekezaji wakubwa watakuwa kwenye pik kama kina diamond