Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exposure pia muhimu watu awajatembea tusiwalaumu mtu katembea sana kaenda out masaki. So vitu vingine ni kusamehe tu lol
of course, hapa tunaongelea professional decisions, husikii Diamond alivyoimba kufokewa na salam?Unadhani WCB ni independent kwa anachokifanya Diamond?
Yaani wanaweza kufanya maamuzi ambayo yanakinzana na utashi wa Diamond?
Umejibu vizuri sana,maana umemkaanga kwa mafuta yake!Umesema hii nchi ni huru, kwanini uingilie uhuru wa rich mavoko kusign wcb??
Kawekwa level moja na akina Harmonize kivipi?! Ile ni Music Label na sio Talent Search House kama THT!Naona watu jamani hawajamuelewa lara1.
Ni kwamba Lara as a fan wa rich mavoko ambaye alikuwa juu balaa hata mimi nilitegemea ndio angekuwa Jembe now.....ashuke so fast kihivyo mpk kiwekwa level Moja na akina harmonize!!
What went wrong for him!! Hicho ndicho Lara anajiuliza. Ingawa mstari wa mwisho amerusha jiwe gizani. .....naona limewapata watu fulani
Hahaha! kajikaanga mwenyewe bila kujuaUmejibu vizuri sana,maana umemkaanga kwa mafuta yake!
Huu ni mchambo wa hajaIgweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!11
Mniache niko kwenye Shaaban, najiandaa na Ramadhan. Tusi lolote utalo nitukana nakujibu kabisaa BABA YAKO MZAZI. Nchi huru hii sijakutumia invitation uje usome.
BACK TO TOPIC!
Hahahaaa Rich Mavokoooooooooo, rich weweeeeee mzeee wa MARRY ME, nikupeleke kwa Mama Richard kweli wa kukaa lebel moja na watoto wa jana kina Harmo ushuziii (Dogo nilikuwa namkubali huyuu ila alivonitokaaa kama mshipi.) na yule dogo Talentless kabisaa hata jina simjui. Hata wimbo wake mmoja siujui. KWELIIIIIIIIIIIIIIIII! Gerra out of here!
Rich ulikuwa unapambanishwa na Dimond enzi hizo na unampeleka peleka ipasavyo, namna gani mtoto wa mama Richard? Namna gani. Kabisaaaaaa umesign WCB. Duuu aiseeeeeeeeeee! Bora ungekufa na tai shingoni kama Blue Byser, Shetta Shettani, na Baraka Da Prince usiwe na management uwe tu huru.
Au bora ungeenda kusign kwa Petit man, mara laki tano maana yule meneja tu na sio msaniii kama domo. Tseeee tseeeee tseeeee RICHHHHHHH!!!!!!! MAVOKALIIIIIIII???????? Heeeeeeeeeeeeyyyyy Chinekeeeeeeeeeeeeeee! Mara 100 ungeenda kusign kwa Bob Junior. Umeona Ali Kiba alilost kabisaaaa kwa lile jibibi kijana ila kajizoaaa zoaaa si huyo karudiiii.
Anyway, Rich wewe ni wangu, mi nangoja hio 2 nd June nikuonee, nione na huko WCB huenda uka surpass my expectation which to be honest i dont have any. Sijuiiiiiiiiiiiiii kwa kweli. Nisiongee sana maana heshma kidogo niliobakiza kwako ni ya kazi zako za nyuma, mkubwa ulieleweka sanaa enzi hizo, wacha ningoje hio 2nd June.
Afu WCB mbona kama MMEPANIC HIV? Kila siku wimbooo, kila siku wimbooo. Huyo dogo talentless huo wimbo mlioachia juzi hata sijausikiza nasikia mnatoa tena wa Mavoko, mzazi mavoko sababi alisomeka kitambo hiko nitausikiliza, sijakaa vizuri nasikia Mzee wa Katapult kijana wa The Don himself, Don Jazzy, Koredo Bello sijui nimepatia maana kiukweli sijawahi kumuelwa mara mia angefanya collabo na baba Gigy Money Alihaji Techno, Nasikia Harmo ushuzi ndo anaachia nae kigoma, Hahahaaa! Na Paka wa kufugwa kaenda kufanya wimbo na vizee vilivochuja Psquare. Hahahaaaaa!
Niko hapa kutoa review zangu ila so far AJE umeleta noma sanaa huko WCB.
post yako umeikubali au!Samahani waungwana mnaoniheshimu ila nitampa neno dogo huyu binti anayejitoa ufahamu kwa muda.....
Lara ninakuhusudu sana na hasa kwa story zako ziniondoleazo stress lakini ukweli nitausema
Mchawi si lazma apae hivyo, "WEWE NI MCHAWI"