Rich Mavoko kwenda kusign WCB ni jambo la aibu

Rich Mavoko kwenda kusign WCB ni jambo la aibu

NDO MAANA BONGO FLEVA INABINAFSISHWA KWA MAWAZO MGANDO NA KUJIKOMBA KAMA HUKU! HAHAHAAA! HAYA DIMOND ASHAKUONA TAKUAJIRI KWENYE SAFU YA MOSE IYOBO KUKATA MAUNO
Kwani tatizo lako apo ni nini, unawachukia wasafi au ma diamond au nini, embu acha ushabiki ali kiba na diamond wote ni wasanii wazuri na wanaimba vizuri sasa ukijifanya ushabiki utakuwa unafatilia wao tu na hutofikisha ndoto zako, mimi sitaki kiwa dancer wa diamond ila nakushauri uache kutokwa povu.. povu
 
nA KINGI NIMEIPATA CHEZEA MIE, NA BUSARA ZAKO UKASOMA MSTARI KWA MSTARI NA KU COMMENT JUUUUUUU! HAINAGAAAAAAAAAA USHEMJIIIIIIII WANASEMAGA HAINAGA USHEMEJIIIIIIIIII SANTEEEEEEE SANTE SANAAA LE INTELIGENT KWA KUCHANGIA.


nimeipenda hiyo HAINAGA USHEMEJIIIIIII TUNAKULAGAAAAAA....
 
Kwani tatizo lako apo ni nini, unawachukia wasafi au ma diamond au nini, embu acha ushabiki ali kiba na diamond wote ni wasanii wazuri na wanaimba vizuri sasa ukijifanya ushabiki utakuwa unafatilia wao tu na hutofikisha ndoto zako, mimi sitaki kiwa dancer wa diamond ila nakushauri uache kutokwa povu.. povu
HAHAHAAAAAAAAA! POLE SANAAA, HII YOTE JEURI BUNDLE LANGU LA 1000. MPAKA LIISHE UTAKALIA MISUMARI YA KUTOSHA. NEXT PLEASEEEEEEEEEEEEEEEEE!
 
Hivi mkuu katika hali ya kawaida unaona kuna mtu anaweza kukuajiri ili uwe tajiri kama yeye?

Hao kina Salam wameajiriwa kummanage D, hivyo hivyo hao kina Mavoko watakuwa Managed na kina Salam ila chini ya D. So D anakuwa bosi wao wote hapo.
ponti ni kuwa mambo yake yatakuwa chini ya salam sio D, kwa hiyo na yeye atapata mafanikio yale yale kwa kuwa kina salam ni mapro ndio maana hata huyo D kawaajiri.
 
ponti ni kuwa mambo yake yatakuwa chini ya salam sio D, kwa hiyo na yeye atapata mafanikio yale yale kwa kuwa kina salam ni mapro ndio maana hata huyo D kawaajiri.

Pro ni Ruge tuuuu, kina Salam, Fella na Tale ni FRONTAL IMAGE TU. Tale si meneja wa Tip top mbona hawapandishi kama Dimond? Fella sie meneja wa Yamoto, TMK mbona NJAA KALI KWENYE LABEL ZAO? NDO UTAAMINI SASA THE MAN BEHIND EVERYTHING IS RUGE. Na ndio kaanza kummanage na Kiba kama kawaida BEHIND THE SCENE kuhakikisha wanakufa watumwa madogo hawa. WATOANE ROHO KUMNEEMESHA YEYE RUGE. HAPANA CHEZEA NSHOMILEEE
 
Tatizo lako Lara una wivu wa kitoto tunajua huwakubali WCB kisa rafikio kutoswa. Nakushauri tafuta bwana utulie nae.
 
ponti ni kuwa mambo yake yatakuwa chini ya salam sio D, kwa hiyo na yeye atapata mafanikio yale yale kwa kuwa kina salam ni mapro ndio maana hata huyo D kawaajiri.

Swali kwako, unasema D kawaajiri kina Salam, je Mavoko atakuwa amewaajiri au ameajiriwa?

Usichanganye vitu mkuu, WCB ni label, Salam ni mwajiriwa WCB, mmiliki wa label ni D. Mavoko atakuwa mwajiriwa kama alivyo Salam kila mmoja kwa majukumu yake.
 
Muziki ni biashara lakini cha kushangaza wasanii wengi hawataki kujifunza the ins and outs of the music business.
Personally sishangai mavoko kusign WCB coz najua kilichompeleka pale ni established infrastructure ya WCB, kinachonishangaza na kwa nini he didn't demand a better deal i.e mavoko angekuwa na label yake ambayo ipo independent lakini ipo chini ya WCB, hivi ni vitu ambavyo vipo mfano MI ana label yake ipo chini ya chocolate city, Ice Prince naye amefuata nyayo, ukienda mambele mfano mzuri ni Dr Dre yupo chini ya Interscope, chini ya dre kuna shady, chini ya shady kuna g unit.

Au kama mavoko angekuwa na mtaji angefanya partnership na WCB kwenye management kama alivyofanya d banj na good music.

I guess mavoko mfukoni hana kitu na hana washauri wazuri, beggars can't be choosers.

Swali kwako, unasema D kawaajiri kina Salam, je Mavoko atakuwa amewaajiri au ameajiriwa?

Usichanganye vitu mkuu, WCB ni label, Salam ni mwajiriwa WCB, mmiliki wa label ni D. Mavoko atakuwa mwajiriwa kama alivyo Salam kila mmoja kwa majukumu yake.
 
Tatizo lako Lara una wivu wa kitoto tunajua huwakubali WCB kisa rafikio kutoswa. Nakushauri tafuta bwana utulie nae.

HAHAHAAAAAAAAAAA! Jamani mbona 3 YRS ZISHAPITA na mtoto mmezaa bado tu mnamuandama binti Sepetu? Mbona waliotoswa na wengi tukianza kuita rejesta hapa tutakesha ile yeye tu ndo mnasafiria nyota yake.
 
Muziki ni biashara lakini cha kushangaza wasanii wengi hawataki kujifunza the ins and outs of the music business.
Personally sishangai mavoko kusign WCB coz najua kilichompeleka pale ni established infrastructure ya WCB, kinachonishangaza na kwa nini he didn't demand a better deal i.e mavoko angekuwa na label yake ambayo ipo independent lakini ipo chini ya WCB, hivi ni vitu ambavyo vipo mfano MI ana label yake ipo chini ya chocolate city, Ice Prince naye amefuata nyayo, ukienda mambele mfano mzuri ni Dr Dre yupo chini ya Interscope, chini ya dre kuna shady, chini ya shady kuna g unit.

Au kama mavoko angekuwa na mtaji angefanya partnership na WCB kwenye management kama alivyofanya d banj na good music.

I guess mavoko mfukoni hana kitu na hana washauri wazuri, beggars can't be choosers.
Kabisaaaa anaendekeza NJAAAA!
 
Naona siku hizi mtu akimtukana Mrs. Tanzania anakuwa adui wa nnji nzima
 
Naona siku hizi mtu akimtukana Mrs. Tanzania anakuwa adui wa nnji nzima

SIO MRS TANZANIA, MTU AKIMTUKANA MWANAMKE YEYOTE YULEEEEE TUNAMLA NYAMA BILA HATA KUMTIA CHUMVI. Tabia ya ukatili wa kijinsia haiwezi kuvumiliwaaa. Umarekani wenu wa kutukana wanawake huko huko, hapa bongo wanawake na tuheshimiwe na ma star wote. Mwanamke ni defenceless creature unaanzaje kumtarget dume zima na vipira vyako? Lazima uliwe nyama.
 
4c.jpg
 
SIO MRS TANZANIA, MTU AKIMTUKANA MWANAMKE YEYOTE YULEEEEE TUNAMLA NYAMA BILA HATA KUMTIA CHUMVI. Tabia ya ukatili wa kijinsia haiwezi kuvumiliwaaa. Umarekani wenu wa kutukana wanawake huko huko, hapa bongo wanawake na tuheshimiwe na ma star wote. Mwanamke ni defenceless creature unaanzaje kumtarget dume zima na vipira vyako? Lazima uliwe nyama.
Kwa hiyo kutukana mwanamme ni ruksa. Naanza kuona vikundi vya harakati za KUTETEA WANAUME vikianzishwa
 
HAHAHAAAAAAAAAAA! Jamani mbona 3 YRS ZISHAPITA na mtoto mmezaa bado tu mnamuandama binti Sepetu? Mbona waliotoswa na wengi tukianza kuita rejesta hapa tutakesha ile yeye tu ndo mnasafiria nyota yake.
Inabidi nikutafute PM maana....
 
SIKU DIMOND AKIACHA KUFANYA SHOW ZA CORRIDOR HUKO MAREKANI AKAANZA KUFANYA HIZI ZA UWANJANI MNIAMSHE MAANA KWA SASA NAJILAZA KWANZA. HAHAHAAAAAAAAAAA! PHILADEPHIA HIOOO SIO NIGERIA.

Wenzako wanaogopaga kuni tag muda si mrefu na wewe utafanya hivo hivo, HAYA RUDI HAPA USEME TENA YALE MANENO YAKO KUWA UMCHUKII DIAMOND ................ NA JIBU NDIO HILI HAPA NIMEKUVUTA UMEJAA NDI. Maandihi yako popote ulipo ni chuki dhidi ya DIAMOND,unajifanya unamuonya Rich Mavoko kumbe ajenda yako kuu ni DIAMOND na mimi nililijua hilo ndio maana sikutaka kubisha nawe ila nikutafute nikuone na UNAFKI WAKO dakika chache umesema huna chuki naye nimeku pampu/nimekuchokonoa umeonyesha makucha yako chezea mimi wewe. MI NILIDHANI UTANILETEA (AJE) KUMBE UNALETA YALE YA "NGOJA NIKAKUITIE KAKA NDIO KIBOKO YAKO" (nadhani unakumbuka za kitoto ukipigwa na mwenzako unamtishia kumuita kaka/dada yako, ndio ulivyofanya wewe na hadi kiwango hiko huna hadhi ya kulumbana na mimi KAMA UNAWEZA KUONGEA JAMBO DAKIKA TATU UNAONGEA LINGINE)
 
Wenzako wanaogopaga kuni tag muda si mrefu na wewe utafanya hivo hivo, HAYA RUDI HAPA USEME TENA YALE MANENO YAKO KUWA UMCHUKII DIAMOND ................ NA JIBU NDIO HILI HAPA NIMEKUVUTA UMEJAA NDI. Maandihi yako popote ulipo ni chuki dhidi ya DIAMOND,unajifanya unamuonya Rich Mavoko kumbe ajenda yako kuu ni DIAMOND na mimi nililijua hilo ndio maana sikutaka kubisha nawe ila nikutafute nikuone na UNAFKI WAKO dakika chache umesema huna chuki naye nimeku pampu/nimekuchokonoa umeonyesha makucha yako chezea mimi wewe. MI NILIDHANI UTANILETEA (AJE) KUMBE UNALETA YALE YA "NGOJA NIKAKUITIE KAKA NDIO KIBOKO YAKO" (nadhani unakumbuka za kitoto ukipigwa na mwenzako unamtishia kumuita kaka/dada yako, ndio ulivyofanya wewe na hadi kiwango hiko huna hadhi ya kulumbana na mimi KAMA UNAWEZA KUONGEA JAMBO DAKIKA TATU UNAONGEA LINGINE)
Hahahaaaa! Mimi kuogopa kukutag HILO SAHAUUUU! Yani uzi wangu mwenyewe, niamke ndani kwangu niuandike afu nimuogope mtu thubutuuuuuuuuuuu!

WEWE NDO HUWEZI KUWAZA AU KUONA KITU BEYOND DIMOND. NDO MAANA HUU UZI WA RICH MAVOKO ILA ALL YOU CAN THINK IS DIMOND DIMOND DIMOND!

Mie chuki sinaaa, WATANZANIA WOTE NI NDUGU SO TECHNICALLY NI NDUGU YANGU, HAHAHAAAAAAAA! DAVIDO IS BETTER THAN DIMOND IF THAT IS FACT. NDO MAANA ANA SALE OUT ARENAS NA HAFANYI SHOW ZA CHOCHORO. Dimond akikaza one day yes atafanya nae kama David Inshaalah!
 
Bongo hi kuna Miungu watu Mkubwa Fela&Babu tale usipokuwa nao utaendelea kuwaimbia Masela ila wabishi wanatusua tu bila hawa watu..Mleta mada wengi hawatakuelewa ila ujumbe umefika
 
Una uhakika? Biashara gani? Ya WCB? Hahahaaa! Usinisikitishe. Kwa hizi nyimbo BIG G wanazotoa au? IT IS SUCH A PITY AND SHAME MTU ALIETOA HIT KAMA MARRY ME KUKAA LABEL MOJA NA YULE TALENTLESS BOY WHATEVER HIS NAME IS. Kwambaliiiiiiiiiiii Baby Harmonise (Baada ya kuomba msamaha, uungwana ni vitendo nimemaliza tofauti nae na kurudi kuwa my favourite WCB member. Team Harmonise baby)
Tunajua Harmonize ni shemeji yako
 
Back
Top Bottom