Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAA! SANTE KAKA! BIG THINKING!
Nadhani Mavoko atashine sana na WCB
Namkubali na Hata Dimond alishawahi kukiri anamuelewa Rich
Wakifanya kazi pamoja watapasua
Watakaoharibu ni hao madogo wa juzi na nyimbo zao za ajabu ajabu
Dimond kwenye label yake alitakiwa awapate wakali kama hao
Rich,Belle 9 na Wengine...Hii ni label kama ilivyo Mavins so itawasaidia
Ila awacontrol maunderground anaowatoa wasiharibu
Sio kweli mbona hao madogo wapo hapo WCB wanatoa hits za kutosha na hatusikii hayo malalamiko?HAWEZIIIIIIIIII! Maana Dai ndo anamchagulia wimbo wa kutoa. Wakiona wimbo mkali wanaubania. Hairuhusiwi kumpita boss. Yale yale ya Lil Wayne na Cashmoney
Kuna uzi ulishaandikwa hapa,
Rich Mavoko kusaini Wasafi Classic Baby
Doubts zako ni moja ya zilizokuwa doubts zangu pia, mimi kama sijafurahishwa na Dogo kujiunga Wasafi isipokuwa nilitamani kungeibuka Label nyingine ambayo ingeweza kutengeneza ushindani na WCB.
Hii ni njia moja ya kuua muziki kwa sababu unapunguza kompetition na mwisho wa siku kinaingia sokoni kitu mnachohitaji nyie kwa sababu ya monopoly, ndo haya ya Harmonize anaimba Bado, Raymond naye anaimba Bado.
Dimond sikumshindwa, nilimnyoosha USHAMUONA KWENYE BANGO LOLOTE LA VODA? Embu pitia tena PRESS RELEASE MKATABA WAKE UNAISHA LINI NA LEO NI LINI? INTERNENT NEVER FORGETS.
stick dada ake.hupendezi kua na ushabiki na mambo kama haya bana!hebu shusha kitu kitamu tamu fasta tuburudike..muache Mondi awanyooshe wanaoshindana nae bila kua na strategies.MIMI NIMEJULIKANA JF KABLA YA HADITHI! TANGIA 2012 NANI ASIENIJUA HUMU? HADITHI NIMEANZA KUTUNGA 2016!!!!!!!! AAAAAAAAAAAAH!
Kuna uzi ulishaandikwa hapa,
Rich Mavoko kusaini Wasafi Classic Baby
Doubts zako ni moja ya zilizokuwa doubts zangu pia, mimi kama sijafurahishwa na Dogo kujiunga Wasafi isipokuwa nilitamani kungeibuka Label nyingine ambayo ingeweza kutengeneza ushindani na WCB.
Hii ni njia moja ya kuua muziki kwa sababu unapunguza kompetition na mwisho wa siku kinaingia sokoni kitu mnachohitaji nyie kwa sababu ya monopoly, ndo haya ya Harmonize anaimba Bado, Raymond naye anaimba Bado.
Watu mmeshindwa kujibu hoja zake mna attack personality, hiki alichokiandika tulishawahi kukijadili humu. Mavoko ni Brand, kwenda kujipeleka kwa kina D ni kuonyesha kwamba yeye kama yeye amefeli maisha ya muziki anajikabidhi kwa adui.
"If you can't fight them join them", nadhani Mavoko katumia hii style.
kwani mkuu unakufa kesho au, subiri utajionea!Mkuu kiba ana lebo gani?? au ulitaka kusema kwamba Baraka nae atakuwa chini ya lebo moja na Kiba...kiba hana lebo mkuu ila anamilikiwa
Basi mshauri na ally kiba ajiunge nao,maana ally kiba kashindwa kabisa na hawa jamaa
Hilo la wewe unamshabikia au humshabiki jibu linapatikana kwa komenti zako na "magazeti yako" unayoyaandika kama hili ( kwa mtu anayekufatilia hapati tabu kujua hilo) lakini pia kwa wewe kutokuwa shabiki wake si tatizo (maana haiwezekani wote kuwa sawa kimawazo) lakini tatizo lako kutuonyesha CHUKI ZAKO ZA WAZI ZILIZOKOSA HOJA,HATA UKIULIZWA SWALI KWA KILE UNACHOKISEMA HAUNA MAJIBU YA KUELEWEKA ZAIDI UTAJIBU "MIPASHO" ACHA HIZO UBORA WA MSANII YEYOTE UNAYEMPENDA/KUMSHABIKIA UTAKUJA KWA JUHUDI ZAKE NA SIO KWA CHUKI ZAKO/ZENU KWA DIAMOND,UNAFELI DADA NA NDIO MAANA ANAZIDI KUFANIKIWA KWA SABABU YA CHUKI ZENU.TUMIA MUDA WAKO KUIFANYA HIYO NYIMBO "YAKO" (AJE) IPATE VIEWERS WENGI YOUTUBE AU IUZE SANA KULE MKITO ( maana imedoda ukilinganisha na nyimbo zilizotoka pamoja nayo) BADALA YAKE MASHABIKI WAKE HAMUMSAPOTI KWA KUMUINGIZIA KIPATO BALI MPO KUMPROMOTI DIAMOND.SIO KWELI! Mimi ni mshabiki wa Dimond toka anatoa MBAGARA ila tofauti na nyie NASEMA UKWELI MDA WOTE, SIMUABUDU KIBOYA BOYA. Akifanya jema nasifia, akikoroga nachamba kama hivi.
Na sio kweli natamani asiwepo kimziki, juzi hapa nimemshauri afanye Collabo na KOFFI ANTWAR OLOMIDE, dude kama Ekotiteeeeeeeeeee afu awempo mmanyema ndani balaa hilo. kati yenu nani anamshauri mambo ya msingi kama haya?
KUONESHA MIMI SIO TEAM WEMA, KUNA MCHAMBO WA WEMA NA UPUPU ALIOFANYA KUSHUSHA BEI YA LIPSTIC MARA 3 KUWATIA HASARA WHOLE SELLERS, YAANI NIMEUANDALIA MPAKA GRAPH, MCHAMBO UNA MASTERS ULE. TULIENI KWANZA KIKI ZIPUNGU MJINI NIJE NIMNYOOSHE MADAM NA KUMPA SHULE YA BURE. (NAJIPANGA MANAKE TEAM WEMA SIO MCHEZOOO NITACHAMBWAAAA WIMA WIMAAA, NA UPUPU, MAGOGO, MAGAZETI MPAKA NISINYE MIAKA 20. HAHAHAAAAA)
Mavoko ni kijana mwenye kipaji tangu atoe pacha wangu ni miaka miwili sasa amepota kwenye gemuWatu mmeshindwa kujibu hoja zake mna attack personality, hiki alichokiandika tulishawahi kukijadili humu. Mavoko ni Brand, kwenda kujipeleka kwa kina D ni kuonyesha kwamba yeye kama yeye amefeli maisha ya muziki anajikabidhi kwa adui.
"If you can't fight them join them", nadhani Mavoko katumia hii style.
wabongo sisi ni shida aisee, samtym nashangaa mtu anaanzisha uzi wa d mtu analeta habari za kiba and vice-versa sijui labda hao wasanii hawana content za kutosha hadi kuingiza na za wengineUmeandika kitu tofauti na nilichoandika, muziki wetu Bongo kwa sasa una hali mbaya kwa sababu ya haya mashindano ya kijinga jinga ya Kiba na Diamond, ukitoa comment ambayo timu flani hawapendi unaambiwa eti we ni timu sijui nini.
Hii imesababisha watu wanashindwa kuwa objective kwenye kutoa maoni, wanaanza kujibu kwa kuogopa kutukanwa na timu pinzani, huu ni ujinga wetu wabongo kuleta Mambo ya Ukawa na CCM kwenye issues za entertainment.
Mavoko ni kijana mwenye kipaji tangu atoe pacha wangu ni miaka miwili sasa amepota kwenye gemu
Katapa managerment ya WCB anataka arudi kukuza kipaji chake imekuwa nongwa , mwacheni kijana ajitafutie pesa asaidie familia yake au mlitaka akae kijiweni aanze kuvuta unga muanze kumcheka?
Mwacheni atafute mafanikio yalipo
Muziki sio uadui hichi ndicho mnachoshindwa kuelewa nyie mnaoshabikia teamWatu mmeshindwa kujibu hoja zake mna attack personality, hiki alichokiandika tulishawahi kukijadili humu. Mavoko ni Brand, kwenda kujipeleka kwa kina D ni kuonyesha kwamba yeye kama yeye amefeli maisha ya muziki anajikabidhi kwa adui.
"If you can't fight them join them", nadhani Mavoko katumia hii style.