Rich Mavoko kwenda kusign WCB ni jambo la aibu

Rich Mavoko kwenda kusign WCB ni jambo la aibu

kwani anaenda kusimamiwa na chibu au anaenda kusimamiwa na kina salam ili awe kama chibu?
 
Mnajiandaa kuchukua credit siku tuzo ikitua pale airport kuwa na nyinyi mlipiga kura!! Vizuri lakini maana angalau mmejifunza kutokana na makosa maana mwakajana mliaibika sana, mmehamasishana weeeee lakini 'ndoo' ikaja home.. Hahahahah

Mimi nilitamani sana muendelee kuhamasishana ili tuwaabishe tena mwaka huu.. Unajua its kinda fun proving doubters wrong!!

#hatushindwi
nani ana muda mchafu wa kuchukua credit ? HAHAHAAAAAAAAA! tuzo kuja airport ni ndoto za abunuwasi. WE ALL KNOW HE WONT WIN THAT EASILY.

aLIEAIBIKA MWAKA JANA nani? SI DAVIDO ALISHINDA 1 NA DIMOND 1 SASA? TENA YA DAVIDO ILIKUWA NZITO

BWANA TUSCHOSHANE MWAKA HUU HASHINDI CHOCHOTE!

Mimi kama mimi nampigia kura not because i think he will win, au he has potential to win, NOT AT ALL. WALE ALISIMAMISHWA NAO WANAJAZA STADIUM LONDON NA SHOWS ZINA SALE OUT MWEZI KABLA, SASA DIMOND NCHI ZA WATU BADO ANAFANYA SHOW ZA VENUE KAMA BAR HAHAHAAA ANANOSHE INSTA, SUCH A PITY.

The only reason i am voting for him is because it took us as a country and tz music industry 55 YEARS OF INDEPENDENCE TO GET A BET NOMINATION. SO AS A TANZANANIAN NAEJIELEWA NA KUJINUNULIA BUNDLE IT IS THE RIGHT THING TO DO. HUWEZI JUA MAANA DIMOND ANA EXPIRE TAYARI I MAY NEVER LIVE TO SEE ANOTHER TANZANIAN GET NOMINATED ON BET IN MY LIFE TIME AND REGRET WHY I DIDNT VOTE FOR HIM THEN. SI MNAJUA TENA MTU HAONEKANI MZURI MPAKA SIKU HAYUPO NDO MCHANGO WAKE UNAANZA KUONEKANA. HAHAHAAAAAAA!
 
Yaani kwa mimi mkulima ni sawa sawa nakuniambia NIENDELEE KULIMA PEKE ANGU shamba la ekari zaid ya 1000 nisilo na uwezo nalo Kulilima lote wakati kuna kuna uwezakano wa kuungana na wenzangu tukalilima wote kwa pamoja na kuongeza kipato zaidi.


Hivi ina maaana dhana ya kuwa na partners kwenye biashara, mikopo, vikoba na vyote vifananavyo kwako si kiitu??

Ulitaka akajiunge nani sasa uko? MRISHO MPOTO?????
 
kwani anaenda kusimamiwa na chibu au anaenda kusimamiwa na kina salam ili awe kama chibu?

Tatizo ni kwamba CHIBU ALIFIGHT KIVYAKEE, AKATOLEWA NA BOB JUNIOR, AKAHANGAIKA MWENYEWE NA MAMENEJA KINA PAPA MISIFAA, MPAKA KAROGA KWA WAGANGA KINA DR. NANI SIJUI WA KIGOGO ALIENDA KUDAI MCHANGO WA MIZIMU NA KILINGE GAZETINI, RUGE MWENYEWE KAMMANAGE. SALAM IS JUST THE FRONT ILA THE TRUE MAN BEHIND DAI NI RUGE.

Ndo maana he cant even spot talent, maana kama yule talentless boy hata Ommy Dimpoz asingemsign hata kina Navy Kenzo wasinge msign.
 
Yaani kwa mimi mkulima ni sawa sawa nakuniambia NIENDELEE KULIMA PEKE ANGU shamba la ekari zaid ya 1000 nisilo na uwezo nalo Kulilima lote wakati kuna kuna uwezakano wa kuungana na wenzangu tukalilima wote kwa pamoja na kuongeza kipato zaidi.


Hivi ina maaana dhana ya kuwa na partners kwenye biashara, mikopo, vikoba na vyote vifananavyo kwako si kiitu??

Ulitaka akajiunge nani sasa uko? MRISHO MPOTO?????

Hapana THERE IS MORE THAN 1 WAY TO DIE. RICH HAD LOTS OF OPTIONS WALIZOTUMIA WENZAKE WAKONGWE KINA KIBA KIBAKULI, SHETTA SHETTANI, NEY WA MITEGO, MARLAW, SUMALEE NA TALENTED PEOPLE KAMA HAO.

1. Management ziko nyingi sanaa ukiacha WCB. Angetafuta management ya maana ya Kiba au Jide ikafocus kumrudisha yeye kama yeye sio as a part of talentless boy na Harmonise. COME ON! It is so insulting!

2. Angefanya NYIMBO KALIIIII angetuliza akili tu, mbona Sumalee alirudi na HAKUNAGA akaeleweka tu bila ubishi. Juma Nature atarudi tu sijamkatia tamaa, na Ferouz atarudi pia

3.ANGESTAAFU WITH HONOR KAMA WAGOSI WA KAYA, Z ANTO, ETC

Rich kusign WCB makes him a lazy ass nigger, ambae hataki ku work on his talent kuendana na soko anaona bora akaolewe na WCB alelewe na kutunzwa kama mwali mpyaa wakati wabongo tushamkinai kitambooo.
 
Weweeeeeeeeee mimi sina mtoto ujue, Harmonise alivo tutukana wagumba uliona jojo sanaaa eeeh? Mimi yale matusi yake yalinuma sanaa kama mwanamke nikasema sio kesi kama ana management nzimaaa na hajaomba msamaha BAAAAAAAAAAS. Uzuri for ONCE Salam kampa ushauri sahihi, na wanawake wagumba Tz tumemsamehe na tumeyaweka pembeni.

aya ameshaomba msamaha sasa. yani kosa la mmoja unawachukia wote. ndo maana maugomvi ya ma team hayaishi. eti ukiwa team diamond usimsupport kiba kisa wana bifu. au ukiwa team wema usimsupport chibu kisa wana bifu. huo ndio utoto sasa wa kumchukia mtu kisa fulani. km harmonise kakuudhi c umkasirikie yeye. ingekua ni hivyo mitaani pasingekalika yarabi. kwel Elimu Elimu Elimu.
 
Uuuuwi! Wala usimsifie masta, masta kapaukaaa, masta kafuliaaaaa, masta anaemuwekaga kwenye ramani ya wachambaji ni DIAMOND NA ZARI baaaaaasi, sasa now days amejikuta hana vichambo vipya against this pple ndio maana kapotea kama sh.ya mkoloni kule insta, ila MANGE SAWA, huyo ukimuita fundi hata me nampa credit zangu coz kila atakae amua kumchamba anachambika, lakini dougie pyeeeeeee! Tupa kuleeeee! Kuchamba amchambe DIAMOND AU ZARI ndio uwaza wake wa kujidai, na asipompost dai au zari wanafuasi wanamsaliti yuda rudisha nyuma, juzi alinichekesha anawaambia wafuasi wake ni lazima wacomment kwenye post zake, baada ya kuona post za wem a sijui kiss zinaishia comment 5-15, mpaka nilimuonea huruma kwa kweli.

DOUGIE MASTA GREW UP AND GOT BORED! Like me one day i will grow up and get bored with JF. Not that amepungua makali au kafulia . AFTER ALL DOUGIEMASTA IS THE MOTHER OF FAKE ACCOUNT NA TREND YA KUCHAMBA. NI PIONEER WA HIO KITU HAPA BONGO. SASA AMEKUWA VETERAN NA ANASTAILI TUZO YA HESHIMA KWA KUTAMBUA MCHANGO WAKE MTAKATIFU KWENYE HIO SEKTAAA YA KUCHAMBA KWA FAKE ID. NDO MAANA WACHAMBAJI WENGI HAWA NEO CLASSICAL WANAMUHESHIMU DOUGIEMASTA20 KAMA PIONEER.

MANGE IS SAVAGE! AAAAAAAAAAAHHHHHHHHHHH! YULE MPARE NI HABARI INGINE KABISAAAAA. TOFAUTI NA DOUGIE ALIESUKUMWA NA EXTERNAL FACTORS KUANZISHA HII FANI, MANGE IS A NATURAL, SHE WILL NEVER GROW OLD OF THIS HABIT. MI NAWAAMBIA ATAKUWA ANACHAMBA NA MIWANI BY 2070 INSHAALAH!
 
HAHAHAAA! Msema kweli mpenzi wa Mungu, mimi I RESPECT DIMOND FOR HIS WORK 100% NISHAMUANDIKIA MAKALA YA KUTOSHAA ILIYOSHIBA ACKNOWLEDGING HIS CONTRIBUTION KWENYE TZ MUSIC, NA NILIKUBALI WAZIWAZI HE IS THE GAME CHANGER WA TZ MUSIC INDUSTRY BLAH BLAH BLAH BLAH BLAH NIKAMPA UFAGIO NA SHAVU LA KUTOSHAA HUMOO just at the right time wakati Aje imekuwa released. The time most of you hamkuwa na courage ya kusema ukweli kutokana na dude la Aje lilivotusambaratisha chezea sawasawa mambo vipi?.

On the other side MIMI DIMOND SIMUOGOPIIII, WALA HANITISHIIII HATAAAA, vipande vyake nampa kama kawaidaaa. Kama navompa Kiba, Jidee na wengine. NCHI HURU HIII TUSIBANANE.

NA KWENYE UZI HUU NASEMA HIVI RICH MAVOKO KABUGI KU SIGN WCB APUNGUZE KUENDEKEZA NJAA MATOKEO YAKE MTU MZIMA MWENZETU WA ANAJIAIBISHAAA KUKAA LABEL MOJA NA THAT TALENTLESS KID. HAHAHAAA.

FYI I VOTED FOR HIM ON BET. Harmonise alivonikeraaa nikaanza UTU MWANAMKE KUMVOTE YEMMY ALADE TUZO ZOZOTE ALIZOKUWA NOMINATED. MAADAM KAOMBA RADHI NA UUNGWANA NI VITENDO NITAENDELEA KUMVOTE DIMOND TUZO IJE BONGO. TUKO PAMOJA KWENYE MAMBO YA MSINGI KAMA HAYO NA VICHAMBO KAMA KAWAIDA. AHAHAAAA.


Lara no doupt u have been paid for this, huwezi muendea diamond gym kumtunishia misuli hivi for nothing, NO WAY, lakini kama unafanya haya kwa mapenzi yako best, daaah! POLE sana maana unatumia nguvu nyingi mnooooo, alafu ndio hivyo work done = 0

Tuanze na ishu ya VODA Lara utawadanganya hao hao wafuasi wako kuwa umewin, ukweli ni kwamba kelele zako hazikutofautiana na za chura na ng'ombe, KUONDOLEWA KWA MABANGO YA ONGEA DAILY YA DAI, NI BAADA YA VODA KUDUNDUA OFFER YAO ILE ILIBUMA, KWA KIFUPI ILIWAPA HASARA KUBWA TOFAUTI NA MATARAJIO, KIBIASHARA WASINGEWEZA ETI KUENDELEA NA OFFER INAYOLETA HASARA KISA TU ETI KUSWALLOW MKATABA, WALICHOFANYA NI KUBADILI OFFER FASTA ILI KIRESCUE wasijeendelea na hasara ndio maana wakaintroduce hii ya DABO BANDO, LAKINI MKATABA WA DAI UPO PALE PALE UNTOUCHED the thing is (ILIKUWA NI LAZIMA WAONDOE MABANGO YA DAI YA ONGEA DAILY ILI WAPANDISHE YA DABO BANDO) UPOOOO! sasa kumbe ulitaka wapandishe mabango ya offer mpya ilihali ya offer ya zamani bado yapo? NINGEKUONA MWANAUME AU MWANAMKE KWELI WHOEVER U R KAMA.......!!!! WANGEMFUTIA MKATABA WAKE like TOTALLY, but so far so good mkataba wa dai na voda upo pale pale na mkwanja anaendelea kuuvuta kama kawa sasa sijui mwenzetu unachoshangilia ni nini!

KUHUSU ISHU YA MAVOKO, CONCEIN YAKO SIO KWA MAVOKO, wasiwasi wako ni kwamba, endapo mavoko atasign WCB UHAKIKA WA KUFANYA VIZURI UPO, na akifanya vizuri u know what it is means meeen! SIFA NA UTUKUFU UNARUDI KWA SIMBA, HAHAHAHAHAHAHAAAAAAA jina la WCB litazidi kukuwa na kutambulika, uknow what it means?? Wasanii wengine wengi watavutwa kujiunga, u know WCB ITAKUWA NA MIZIZI IMARA TO THE POINT KUWA HATA MJE NA MIZINGA YA NYUKLIA hamtaweza kuibomoa tena, na ndio maana umeanza mapeeeeema, sasa umeona um provoku mavoko ili abatilishe uamuzi wake ujisifu tena, sasa kwa taarifa mavoko atasign and so many many to come, na mwisho kabisa u know who will be next to sign with WCB [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]http://
HAHAHAAA! Msema kweli mpenzi wa Mungu, mimi I RESPECT DIMOND FOR HIS WORK 100% NISHAMUANDIKIA MAKALA YA KUTOSHAA ILIYOSHIBA ACKNOWLEDGING HIS CONTRIBUTION KWENYE TZ MUSIC, NA NILIKUBALI WAZIWAZI HE IS THE GAME CHANGER WA TZ MUSIC INDUSTRY BLAH BLAH BLAH BLAH BLAH NIKAMPA UFAGIO NA SHAVU LA KUTOSHAA HUMOO just at the right time wakati Aje imekuwa released. The time most of you hamkuwa na courage ya kusema ukweli kutokana na dude la Aje lilivotusambaratisha chezea sawasawa mambo vipi?.

On the other side MIMI DIMOND SIMUOGOPIIII, WALA HANITISHIIII HATAAAA, vipande vyake nampa kama kawaidaaa. Kama navompa Kiba, Jidee na wengine. NCHI HURU HIII TUSIBANANE.

NA KWENYE UZI HUU NASEMA HIVI RICH MAVOKO KABUGI KU SIGN WCB APUNGUZE KUENDEKEZA NJAA MATOKEO YAKE MTU MZIMA MWENZETU WA ANAJIAIBISHAAA KUKAA LABEL MOJA NA THAT TALENTLESS KID. HAHAHAAA.

FYI I VOTED FOR HIM ON BET. Harmonise alivonikeraaa nikaanza UTU MWANAMKE KUMVOTE YEMMY ALADE TUZO ZOZOTE ALIZOKUWA NOMINATED. MAADAM KAOMBA RADHI NA UUNGWANA NI VITENDO NITAENDELEA KUMVOTE DIMOND TUZO IJE BONGO. TUKO PAMOJA KWENYE MAMBO YA MSINGI KAMA HAYO NA VICHAMBO KAMA KAWAIDA. AHAHAAAA.
And all u wish for ni kumuona diamond
 
aya ameshaomba msamaha sasa. yani kosa la mmoja unawachukia wote. ndo maana maugomvi ya ma team hayaishi. eti ukiwa team diamond usimsupport kiba kisa wana bifu. au ukiwa team wema usimsupport chibu kisa wana bifu. huo ndio utoto sasa wa kumchukia mtu kisa fulani. km harmonise kakuudhi c umkasirikie yeye. ingekua ni hivyo mitaani pasingekalika yarabi. kwel Elimu Elimu Elimu.

Ukiwa chini ya LABEL huwezi sema kosa la mmoja! Unachokifanya manake label yako imekubaliana nacho. Mimi nilisikitishwa zaidi na management yake kwa alichokufanya Harmonise kuliko hata harmonise mwenyewe sababu i know the kid is still young na shule hajaenda so sikuwa so brutal kumhukumu kwa alichokifanya, but i was dissapointed in Salama sijui nani maana Ruge anamsaidia kummanage baba lao hata hawa wadogo wanamshinda kuinstall discipline? Ila cha kushukuru this time he did his job right
 
Lara no doupt u have been paid for this, huwezi muendea diamond gym kumtunishia misuli hivi for nothing, NO WAY, lakini kama unafanya haya kwa mapenzi yako best, daaah! POLE sana maana unatumia nguvu nyingi mnooooo, alafu ndio hivyo work done = 0

Tuanze na ishu ya VODA Lara utawadanganya hao hao wafuasi wako kuwa umewin, ukweli ni kwamba kelele zako hazikutofautiana na za chura na ng'ombe, KUONDOLEWA KWA MABANGO YA ONGEA DAILY YA DAI, NI BAADA YA VODA KUDUNDUA OFFER YAO ILE ILIBUMA, KWA KIFUPI ILIWAPA HASARA KUBWA TOFAUTI NA MATARAJIO, KIBIASHARA WASINGEWEZA ETI KUENDELEA NA OFFER INAYOLETA HASARA KISA TU ETI KUSWALLOW MKATABA, WALICHOFANYA NI KUBADILI OFFER FASTA ILI KIRESCUE wasijeendelea na hasara ndio maana wakaintroduce hii ya DABO BANDO, LAKINI MKATABA WA DAI UPO PALE PALE UNTOUCHED the thing is (ILIKUWA NI LAZIMA WAONDOE MABANGO YA DAI YA ONGEA DAILY ILI WAPANDISHE YA DABO BANDO) UPOOOO! sasa kumbe ulitaka wapandishe mabango ya offer mpya ilihali ya offer ya zamani bado yapo? NINGEKUONA MWANAUME AU MWANAMKE KWELI WHOEVER U R KAMA.......!!!! WANGEMFUTIA MKATABA WAKE like TOTALLY, but so far so good mkataba wa dai na voda upo pale pale na mkwanja anaendelea kuuvuta kama kawa sasa sijui mwenzetu unachoshangilia ni nini!

KUHUSU ISHU YA MAVOKO, CONCEIN YAKO SIO KWA MAVOKO, wasiwasi wako ni kwamba, endapo mavoko atasign WCB UHAKIKA WA KUFANYA VIZURI UPO, na akifanya vizuri u know what it is means meeen! SIFA NA UTUKUFU UNARUDI KWA SIMBA, HAHAHAHAHAHAHAAAAAAA jina la WCB litazidi kukuwa na kutambulika, uknow what it means?? Wasanii wengine wengi watavutwa kujiunga, u know WCB ITAKUWA NA MIZIZI IMARA TO THE POINT KUWA HATA MJE NA MIZINGA YA NYUKLIA hamtaweza kuibomoa tena, na ndio maana umeanza mapeeeeema, sasa umeona um provoku mavoko ili abatilishe uamuzi wake ujisifu tena, sasa kwa taarifa mavoko atasign and so many many to come, na mwisho kabisa u know who will be next to sign with WCB [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

And all u wish for ni kumuona diamond

NAONA UMEKUJA NA GAZETI LA RAIA MWEMA! HAHAHAAAAAAAAA!

HIVI HONESTLY KABISAAAA KABISAAA MLIDHANIA VODA WATAACHA MABANGO YA FUGITIVE RAPIST ANAETAFUTWA KWA VALID ID YA SCANDINAVIAN COUNTRIES NA PONSTART MWENYE VIDEO YA SOLO PORN HUB????????????????? LIKE SERIOUSLY??????? HAHAHAAAAAA! I DARED THEM WAYAACHE JUST IN ONE WEEK. KWA MTU YEYOTE MWENYE AKILI TIMAMU ANGEFANYA VODA WALIVOFANYA.

Concern yangu kwa Mavoko sio atafanya vizuri, bora hata afanye vibaya ila akifanya vizuri ITAKUWA NOT BECAUSE HE IS TALENTED RATHER BECAUSE HE IS MANAGED BY WCB WHICH IS A LIE OF HIS CAREER! HAHAHAAAAAAAAAAA! SO FAR HAMNA ANAEFANYA VIZURI HUKO WCB, HARMO MWENYEWE ALL HYPE AND MARKETING, DAI NDO ANASHUKA KAMA SHILLINGI KWENYE SOKO LA DUNIA. HAHAHAAAAAAAA! MI NIPO HAPA HAPA
 
BWANA TUSCHOSHANE MWAKA HUU HASHINDI CHOCHOTE!

Mimi kama mimi nampigia kura not because i think he will win, au he has potential to win, NOT AT ALL.

Hahahahaha!! Ndio maana nakuchokonoa ili your true colours zionekana.. Kwahiyo pampoja na kujifanya unampigia kura (which i doubt) lakini moyoni unatamani ashindwe.. Ofcoz its not surprising coz tunajua hiyo ndio dua yenu kubwa.. Na ndio maana nakwambia huo unafiki wenu hatuna pa kuuweka!!

Anyways, nakuhakikishia 'ndoo' inakuja home, with or without your vote.. And plz stop that shi* sijui unanunua bando mwenyewe sijui nini its just stupid and pointless
 
Ila hii AJE kwakweli imekuwa shida hapa mjini, ila sio mbaya mwache naye AJE tuone, ila kwa faida yako tu baraka atakuwa chini ya lebo ya kiba hivi karibuni, enjoy team mziki mzuri!

Mkuu kiba ana lebo gani?? au ulitaka kusema kwamba Baraka nae atakuwa chini ya lebo moja na Kiba...kiba hana lebo mkuu ila anamilikiwa
 
samsun
SIO KWELI! Mimi ni mshabiki wa Dimond toka anatoa MBAGARA ila tofauti na nyie NASEMA UKWELI MDA WOTE, SIMUABUDU KIBOYA BOYA. Akifanya jema nasifia, akikoroga nachamba kama hivi.

Na sio kweli natamani asiwepo kimziki, juzi hapa nimemshauri afanye Collabo na KOFFI ANTWAR OLOMIDE, dude kama Ekotiteeeeeeeeeee afu awempo mmanyema ndani balaa hilo. kati yenu nani anamshauri mambo ya msingi kama haya?

KUONESHA MIMI SIO TEAM WEMA, KUNA MCHAMBO WA WEMA NA UPUPU ALIOFANYA KUSHUSHA BEI YA LIPSTIC MARA 3 KUWATIA HASARA WHOLE SELLERS, YAANI NIMEUANDALIA MPAKA GRAPH, MCHAMBO UNA MASTERS ULE. TULIENI KWANZA KIKI ZIPUNGU MJINI NIJE NIMNYOOSHE MADAM NA KUMPA SHULE YA BURE. (NAJIPANGA MANAKE TEAM WEMA SIO MCHEZOOO NITACHAMBWAAAA WIMA WIMAAA, NA UPUPU, MAGOGO, MAGAZETI MPAKA NISINYE MIAKA 20. HAHAHAAAAA)
 
kwani anaenda kusimamiwa na chibu au anaenda kusimamiwa na kina salam ili awe kama chibu?

Hivi mkuu katika hali ya kawaida unaona kuna mtu anaweza kukuajiri ili uwe tajiri kama yeye?

Hao kina Salam wameajiriwa kummanage D, hivyo hivyo hao kina Mavoko watakuwa Managed na kina Salam ila chini ya D. So D anakuwa bosi wao wote hapo.
 
SIO KWELI! Mimi ni mshabiki wa Dimond toka anatoa MBAGARA ila tofauti na nyie NASEMA UKWELI MDA WOTE, SIMUABUDU KIBOYA BOYA. Akifanya jema nasifia, akikoroga nachamba kama hivi.

Na sio kweli natamani asiwepo kimziki, juzi hapa nimemshauri afanye Collabo na KOFFI ANTWAR OLOMIDE, dude kama Ekotiteeeeeeeeeee afu awempo mmanyema ndani balaa hilo. kati yenu nani anamshauri mambo ya msingi kama haya?

KUONESHA MIMI SIO TEAM WEMA, KUNA MCHAMBO WA WEMA NA UPUPU ALIOFANYA KUSHUSHA BEI YA LIPSTIC MARA 3

Ujawahi kuwa shabiki wa Dee na wala moyoni mwako hujawahi kumuwazia mema.. Hata kile kithread chako ambacho kilidoda ulichojifanya kumsifia Dee na kumchaa Ali actually lengo la ile thread iko pale mwishoni kupiga promo your little floppy song (aje)..
Alafu bado huna misuli ya ubongo ya kutosha kuweza kumshauri dee endelea tu na kuwa consultant wa madam kuhusu strategy za kutukana mitandaoni..

Hizo mambo za lipstick watu wameongea mpaka ishakuwa upuuzi sasa, madam wako alikuwa tapeli kuwauzia watu elfu 20 wakati zina quality sawa tu na lipstick ya baolish ya sh elfu 2!! Labda uje na hizo graph tuone ila kimsingi hiyo biashara yake ya lipstick haikuwa good idea ndio maana inafeli..
 
LONG GONE ARE THE DAYS MUSIC WAS MUSIC AND MUSICIANS HAD PRIDE! SHAME SHAME SHAME KUSIGN WCB AFTER ALL THESE HITS. BRING OUR RICH TO HIS SENSES.

Kwahiyo akisaini WCB hawezi tena kuimba hivyo au?!
 
Hivi mkuu katika hali ya kawaida unaona kuna mtu anaweza kukuajiri ili uwe tajiri kama yeye?

Hao kina Salam wameajiriwa kummanage D, hivyo hivyo hao kina Mavoko watakuwa Managed na kina Salam ila chini ya D. So D anakuwa bosi wao wote hapo.

HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAA! SANTE KAKA! BIG THINKING!
 
ana blog huyu?atunge hadithi tu,vingine haonekani hata kama anavielewa

MIMI NIMEJULIKANA JF KABLA YA HADITHI! TANGIA 2012 NANI ASIENIJUA HUMU? HADITHI NIMEANZA KUTUNGA 2016!!!!!!!! AAAAAAAAAAAAH!
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!11

Mniache niko kwenye Shaaban, najiandaa na Ramadhan. Tusi lolote utalo nitukana nakujibu kabisaa BABA YAKO MZAZI. Nchi huru hii sijakutumia invitation uje usome.


BACK TO TOPIC!

Hahahaaa Rich Mavokoooooooooo, rich weweeeeee mzeee wa MARRY ME, nikupeleke kwa Mama Richard kweli wa kukaa lebel moja na watoto wa jana kina Harmo ushuziii (Dogo nilikuwa namkubali huyuu ila alivonitokaaa kama mshipi.) na yule dogo Talentless kabisaa hata jina simjui. Hata wimbo wake mmoja siujui. KWELIIIIIIIIIIIIIIIII! Gerra out of here!

Rich ulikuwa unapambanishwa na Dimond enzi hizo na unampeleka peleka ipasavyo, namna gani mtoto wa mama Richard? Namna gani. Kabisaaaaaa umesign WCB. Duuu aiseeeeeeeeeee! Bora ungekufa na tai shingoni kama Blue Byser, Shetta Shettani, na Baraka Da Prince usiwe na management uwe tu huru.

Au bora ungeenda kusign kwa Petit man, mara laki tano maana yule meneja tu na sio msaniii kama domo. Tseeee tseeeee tseeeee RICHHHHHHH!!!!!!! MAVOKALIIIIIIII???????? Heeeeeeeeeeeeyyyyy Chinekeeeeeeeeeeeeeee! Mara 100 ungeenda kusign kwa Bob Junior. Umeona Ali Kiba alilost kabisaaaa kwa lile jibibi kijana ila kajizoaaa zoaaa si huyo karudiiii.

Anyway, Rich wewe ni wangu, mi nangoja hio 2 nd June nikuonee, nione na huko WCB huenda uka surpass my expectation which to be honest i dont have any. Sijuiiiiiiiiiiiiii kwa kweli. Nisiongee sana maana heshma kidogo niliobakiza kwako ni ya kazi zako za nyuma, mkubwa ulieleweka sanaa enzi hizo, wacha ningoje hio 2nd June.

Afu WCB mbona kama MMEPANIC HIV? Kila siku wimbooo, kila siku wimbooo. Huyo dogo talentless huo wimbo mlioachia juzi hata sijausikiza nasikia mnatoa tena wa Mavoko, mzazi mavoko sababi alisomeka kitambo hiko nitausikiliza, sijakaa vizuri nasikia Mzee wa Katapult kijana wa The Don himself, Don Jazzy, Koredo Bello sijui nimepatia maana kiukweli sijawahi kumuelwa mara mia angefanya collabo na baba Gigy Money Alihaji Techno, Nasikia Harmo ushuzi ndo anaachia nae kigoma, Hahahaaa! Na Paka wa kufugwa kaenda kufanya wimbo na vizee vilivochuja Psquare. Hahahaaaaa!

Niko hapa kutoa review zangu ila so far AJE umeleta noma sanaa huko WCB.

Ameona njia sahihi ya mafanikio,wee endelea kupayuka tuu,maana huyo shetta mwenyewe yupo huko kiroho kimwili unamuona kama hayupo,siku zote mwerevu ni yule anayependa kujifunza kutoka kwa wenzake,be blessed mavoko,naamini sasa nitamuona richie niliyekuwa namsubiri!
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!11

Mniache niko kwenye Shaaban, najiandaa na Ramadhan. Tusi lolote utalo nitukana nakujibu kabisaa BABA YAKO MZAZI. Nchi huru hii sijakutumia invitation uje usome.


BACK TO TOPIC!

Hahahaaa Rich Mavokoooooooooo, rich weweeeeee mzeee wa MARRY ME, nikupeleke kwa Mama Richard kweli wa kukaa lebel moja na watoto wa jana kina Harmo ushuziii (Dogo nilikuwa namkubali huyuu ila alivonitokaaa kama mshipi.) na yule dogo Talentless kabisaa hata jina simjui. Hata wimbo wake mmoja siujui. KWELIIIIIIIIIIIIIIIII! Gerra out of here!

Rich ulikuwa unapambanishwa na Dimond enzi hizo na unampeleka peleka ipasavyo, namna gani mtoto wa mama Richard? Namna gani. Kabisaaaaaa umesign WCB. Duuu aiseeeeeeeeeee! Bora ungekufa na tai shingoni kama Blue Byser, Shetta Shettani, na Baraka Da Prince usiwe na management uwe tu huru.

Au bora ungeenda kusign kwa Petit man, mara laki tano maana yule meneja tu na sio msaniii kama domo. Tseeee tseeeee tseeeee RICHHHHHHH!!!!!!! MAVOKALIIIIIIII???????? Heeeeeeeeeeeeyyyyy Chinekeeeeeeeeeeeeeee! Mara 100 ungeenda kusign kwa Bob Junior. Umeona Ali Kiba alilost kabisaaaa kwa lile jibibi kijana ila kajizoaaa zoaaa si huyo karudiiii.

Anyway, Rich wewe ni wangu, mi nangoja hio 2 nd June nikuonee, nione na huko WCB huenda uka surpass my expectation which to be honest i dont have any. Sijuiiiiiiiiiiiiii kwa kweli. Nisiongee sana maana heshma kidogo niliobakiza kwako ni ya kazi zako za nyuma, mkubwa ulieleweka sanaa enzi hizo, wacha ningoje hio 2nd June.

Afu WCB mbona kama MMEPANIC HIV? Kila siku wimbooo, kila siku wimbooo. Huyo dogo talentless huo wimbo mlioachia juzi hata sijausikiza nasikia mnatoa tena wa Mavoko, mzazi mavoko sababi alisomeka kitambo hiko nitausikiliza, sijakaa vizuri nasikia Mzee wa Katapult kijana wa The Don himself, Don Jazzy, Koredo Bello sijui nimepatia maana kiukweli sijawahi kumuelwa mara mia angefanya collabo na baba Gigy Money Alihaji Techno, Nasikia Harmo ushuzi ndo anaachia nae kigoma, Hahahaaa! Na Paka wa kufugwa kaenda kufanya wimbo na vizee vilivochuja Psquare. Hahahaaaaa!

Niko hapa kutoa review zangu ila so far AJE umeleta noma sanaa huko WCB.
Nadhani Mavoko atashine sana na WCB
Namkubali na Hata Dimond alishawahi kukiri anamuelewa Rich
Wakifanya kazi pamoja watapasua
Watakaoharibu ni hao madogo wa juzi na nyimbo zao za ajabu ajabu
Dimond kwenye label yake alitakiwa awapate wakali kama hao
Rich,Belle 9 na Wengine...Hii ni label kama ilivyo Mavins so itawasaidia
Ila awacontrol maunderground anaowatoa wasiharibu
 
Back
Top Bottom