SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Hapo et Raymond ni talentless tutabishana mpaka asubuhi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unakumbuka kile kinyuzi chako ukaongea maneno kibao alafu baada ya siku kadhaa ukarudi kujitapa Voda wamekusikiliza na mkataba unasitishwa nikakwambia huo ni upuuzi Voda hawawezi kuacha strategy zao kwa kumuogopa lara!! Na nikakwambia subiri kidogo tu utaona event nyingine ya Dee na Voda na haikupita wiki tatu Dee ndio front person kuitangaza voda 4G plus tamasha la UDOM n.k so bibie hebu acha kuongea upuuzi.. Dee na Voda wala hata hawajui kama una exist sembuse hivyo vithread vyako..
Pia, labda wewe mwenye akili finyu ndio unaweza kukubali eti Rich "astaafu kwa heshima" (astaafu?? WTF).. Lakini kwakuwa mwenzako Rich ana akili zake timamu amekaa chini ametafakari na amejua akijikwaa wapi na ameamua kufanyia kazi makosa yake!! Hiyo ndio akili ya maisha, haijalishi umeanguka mara ngapi, unainuka unafuta vumbi unasonga mbele..
Na kuhusu Marvins, nikutaarifu tu kuwa WCB is aiming for much higher levels than walizopo hao Marvins... Wait and see!! hatushindwi na hatujawahi kushindwa vita..
Kumbe anaitwa Raymond? Ooooh! SASA ZAIDI YA KUMCOPPY BOSS MELODY WHAT THE HELL IS THE KID DOING? ATLEAST HARMO IS A COPY CAT BUT A GOOD ONE.Hapo et Raymond ni talentless tutabishana mpaka asubuhi!
Mi mambo ya VODA nishapewa OFFICIAL WARNING humu ndani kuwa kama siwezi kuachana nayo nitafute jamvi langu manake voda ni esteemed sponsors wa JF. ILA SABABU SINA JAMVI LANGU NIMETOA WITO KWA YEYOTE ALIE CURIOUS A GOOGLE VODACOM AND DIMOND DEAL, ZITAKUJA PRESS RELEASE ZA KUTOSHA TU AJISOMEEE ARIZIKE. NA MABANGO YA 4G DAI YUPO???????? HAHAHAAAAAAAAAAAAA! USINICHIMBE MIE. MBONA TOMATO IMEWAPENDEZA TUUUU? SASA MIMI NIKIWA BIBI PORN STAR ATAKUWA NANI? HALOOOOOOOOOOOOOOOO!
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] asante sanaaa kwa mapenzi yako makubwa unayomuonesha diamond, ni ngumu sana kwa dunia ya leo mtu kuacha shughuli zake na kuamua kumfuatilia mtu day n night, lakini wewe kwa dai umeweza, katika gazeti lako ulilopost hapa 99.9% umeongelea diamond mstari wa mwisho ndio umemgusia kiba kwa mbaliiiiiii, haya ni mapenzi makubwa kabisa umeonesha kwa kijana wetu SIMBA niliusoma tena ule mhemko uliouonesha kwenye mkataba wa voda, ulimchambua kaaaaama karanga, kuonesha ni jinsi gani umeguswa na lile deal la voda, ( mapenzi tele) kwa kweli tunapenda kukufahamisha kuwa mchango wako tunauthamini sana tena sana lakini hatuna cha kukulipa zaidi ya kukuomba uendelee na moyo huo huo wa kumfuatilia na kuandika habari zake, kwani kupitia wewe watu watamjua zaidi na zaidi, matokeo ya haya magazeti yako yanaonekana kabisa, toka enzi za ''tunaliona anguko la diamond soon" mpaka kuwa nominated BET sio kazi ndogo mliyofanya, so plz keep it up dissing him so as he will then prove u wrong for the rest of your life!
Ila hii AJE kwakweli imekuwa shida hapa mjini, ila sio mbaya mwache naye AJE tuone, ila kwa faida yako tu baraka atakuwa chini ya lebo ya kiba hivi karibuni, enjoy team mziki mzuri!
Lara 1 leo umepuyanga bana....[emoji2] [emoji2] !!nasoma sana posts zako ila leo umezinguaWe
weweeeeeeeeee mi sipangiwi cha kufanya na BUNDLE LANGU upo hapo? As long as najinunulia bundle naandika nachotaka. Wewe kuniona biased haimaanishi niko biased.
NB: MI SINA TEAM! (Juzi tu si mimi ndo nilitoka kumsifia Dai.
Mbona Shetta kafanya God Father hii nyimbo yake nisio ipenda ila inapigwa kama nini huku uswazi. Baba Kayla KAKOMAAAAA, ANAJUA AKISIGN KAJIMALIZAAA. I am not a Shetta fan, zaidi ya ile single yake Nimechokwa sijawahi penda nyimbo yake but i respect his EFFORTS. SOKO LA MUZIKI LIMEMCHOKA NA KIMTINDO MTINDO LIMEMTEMA ILA THE GUY IS STRUGGLING, SURVIVING ANAFOSI KINGI SIO KUJILEGEZA KAMA RICH MAVOKO.wasafi classic brother.. wana hela... video godfather nani asietaka hizo fursa?? kuonana na msanii yeyote mkubwa africa ukiwa wcb ni kama kumsukuma mlevi vile
FYI I VOTED FOR HIM ON BET. Harmonise alivonikeraaa nikaanza UTU MWANAMKE KUMVOTE YEMMY ALADE TUZO ZOZOTE ALIZOKUWA NOMINATED. MAADAM KAOMBA RADHI NA UUNGWANA NI VITENDO NITAENDELEA KUMVOTE DIMOND TUZO IJE BONGO. TUKO PAMOJA KWENYE MAMBO YA MSINGI KAMA HAYO NA VICHAMBO KAMA KAWAIDA. AHAHAAAA.
I dont know why, ila ndo kila mtu anataka kumiliki label, hivi hawajifunzi kwa yule mtoto wizkid, lile jini lile, breezy kashathibitisha atakuwepo kwenye tour yake halafu mwenyewe yupo kimya na hata bet kura hajaomba, michongo inajipeleka tu pale, teh!WTF!!!!!!!!!!!!!! Chinekeeeeeeeeee! Heeeeeeeeeeeeeeeeeeyyyy! Naona jini label limeingia mjini.
HAHAHAAAAAAAAAA! I BUY MY OWN BUNDLE AND I WILL VOTE WHOEVER I WANT. WEWE NANI LABDA? UNAJUA NILIANZA LINI KUMMJUA DAI? UNAJUA ULE WIMBO WA MBAGALA NILIUSIKIA WAPI? MXIUUUUUUUUUUUU! HIO AMRI MARI ZENU MUWE MNAWAPA WAKE ZENU MNAOWAPA BUNDLE.Let us make it easy for you!! We don't need your vote.. Wewe na wenzako mnaohamasishana kule instagram, endeleeni kumpigia kura Yemi na Wiz.. We don't need your help.. Huo unafiki wenu hatuna chumba cha kuuweka kwenye nyumba yetu!! Endeleeni kuhamasishana na kumpigia kura yemi..
I dont know why, ila ndo kila mtu anataka kumiliki label, hivi hawajifunzi kwa yule mtoto wizkid, lile jini lile, breezy kashathibitisha atakuwepo kwenye tour yake halafu mwenyewe yupo kimya na hata bet kura hajaomba, michongo inajipeleka tu pale, teh!
HAHAHAAAAAAAAAA! BEACHES I BUY MY OWN BUNDLE AND I WILL VOTE WHOEVER I WANT. WEWE NANI LABDA? UNAJUA NILIANZA LINI KUMMJUA DAI? UNAJUA ULE WIMBO WA MBAGALA NILIUSIKIA WAPI? MXIUUUUUUUUUUUU! HIO AMRI MARI ZENU MUWE MNAWAPA WAKE ZENU MNAOWAPA BUNDLE.
YOU DONT NEED OUR HELP BECAUSE YOUR BEACHASS IS NOT COMEPETITING ANYWHERE, AND EVEN IF IT WAS BE ASSURED WE WOULDNT HAVE BOTHERED.
AS LONG AS NAJINUNULIA BUNDLE NA NCHI HURU HIII, BET NI TAIFA HURU NAMPIGIA DIMOND KWA SABABU ZANGU NA NI MAAMUZI YANGU KWA JEURI YA BUNDLE YANGU IT IS NON OF YOUR BUSINESS WHATSOEVER.
Officail warning my as*!! Wewe si ndio ulijitutumua sijui hiyo ishu unaipeleka kwa Linda wa Nigeria, unaipeleka TMZ, na magazeti ya udaku ya UK sijui na wapi??? Huko kote wamiliki wa JF wamekupa warning usipeleke??? Wewe si ndio ulijitutumua humu kuwa unamacinection kibao na utaichafua Voda internationally??? Hiyo project ya kumchafua Dee na Voda imeishia wapi bibi??
Nlishakwambia kuwa kama kuna mtu anakulipa umchafue Dee hebu rudisha pesa ya watu maana so far you doing a poor job.. Na kama ni akili yako mwenyewe ndio inakutuma, aisee you need to see a doctor madam!!
Wacha nirudie, WE DONT NID YOUR HELP.. ENDELEENI KUHAMASISHANA KUMPIGIA KURA YEMI NA WIZ!! HUO UNAFIKI WENU HATUNA PA KUUWEKA HUKU KWETU!! ENDELEENI KUMPIGIA KURA YEMI..
#hatushindwi
hahahh wiz mtu mbaya huyo, hanaga coming soon za kiboya kama wasanii wetu wa kibongo, kama ojuelegba rmx ft drake kaitoa kimyakimya lakini ingekuwa bongo ingekuwa shida mjini hapaBasi usiendeleeee kusemaaa, mimi TEAM DAVIDO UJUE. Toto silipendi lile, toka limtukane Linda Ikeji. Mxiuuuu! Achaaa tu. BAE Davido, baba Imade Adeleke.