Rich Mavoko kwenda kusign WCB ni jambo la aibu

Rich Mavoko kwenda kusign WCB ni jambo la aibu

Ifike pahala sasa tutambue ya kwamba ni Muda wa Kui inua Bongo Flava Yetu na sio kuikandamiza kwa hizi team zenu Ushuzi mtupu. Kwani Mavoco Kuwa chini ya WCB ama hata huko kwa Mavi gani kuna shida gani kama Muziki wake utazidi kukua na Kuzid kuingiza kipato? Kwan msanii kuwa Chini WCB ama Lebo yeyote ya Msanii wa hapa Bongo kuna shida? Mbona Good Life(Moze na Whizo), Navio n.k wako chini ya Lebel ya Jozee Chamelion na wana fanya Vizuri tu?.

Muziki wa Bongo Flava ni Game la Kuangalia mweleko wa Upepo. Mavocco kaaangalia Mwelekeo wa Upepo na akatambua kwamba Ugali upo WCB na ni Ukwel mtupu kwamba Upepo wa burudan kwa sasa upo WCB japo kuna baadhi nao wakijitahidi kupinga sababu tuu ya Ukubwa wa Majina waliyo kuwa nayo Hapo awali.

Alikiba na Diamond ni Chachandu tuu kuongeza ladha lakin bongo Flava wao waliikuta, hivyo ibaki kama ilivyo na Hizi team Mavi zipite hivi zituache na Bongo flava yetu.

Na wewe unae sema talentless jaribu na wewe kuimba kma watu hawata kimbia wakidhan wamemsikia Mbuzi akiimba,

Booooooooooooooooooooom, Tukana na Mimi nkujibu.
 
Kama mnasubiri DIAMOND ashuke NDIO MUWE JUU basi kazi mnayo,maana inaonyesha kutokuwa kwenu juu ni kwasababu ya DIAMOND.
 
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!11

Mniache niko kwenye Shaaban, najiandaa na Ramadhan. Tusi lolote utalo nitukana nakujibu kabisaa BABA YAKO MZAZI. Nchi huru hii sijakutumia invitation uje usome.


BACK TO TOPIC!

Hahahaaa Rich Mavokoooooooooo, rich weweeeeee mzeee wa MARRY ME, nikupeleke kwa Mama Richard kweli wa kukaa lebel moja na watoto wa jana kina Harmo ushuziii (Dogo nilikuwa namkubali huyuu ila alivonitokaaa kama mshipi.) na yule dogo Talentless kabisaa hata jina simjui. Hata wimbo wake mmoja siujui. KWELIIIIIIIIIIIIIIIII! Gerra out of here!

Rich ulikuwa unapambanishwa na Dimond enzi hizo na unampeleka peleka ipasavyo, namna gani mtoto wa mama Richard? Namna gani. Kabisaaaaaa umesign WCB. Duuu aiseeeeeeeeeee! Bora ungekufa na tai shingoni kama Blue Byser, Shetta Shettani, na Baraka Da Prince usiwe na management uwe tu huru.

Au bora ungeenda kusign kwa Petit man, mara laki tano maana yule meneja tu na sio msaniii kama domo. Tseeee tseeeee tseeeee RICHHHHHHH!!!!!!! MAVOKALIIIIIIII???????? Heeeeeeeeeeeeyyyyy Chinekeeeeeeeeeeeeeee! Mara 100 ungeenda kusign kwa Bob Junior. Umeona Ali Kiba alilost kabisaaaa kwa lile jibibi kijana ila kajizoaaa zoaaa si huyo karudiiii.

Anyway, Rich wewe ni wangu, mi nangoja hio 2 nd June nikuonee, nione na huko WCB huenda uka surpass my expectation which to be honest i dont have any. Sijuiiiiiiiiiiiiii kwa kweli. Nisiongee sana maana heshma kidogo niliobakiza kwako ni ya kazi zako za nyuma, mkubwa ulieleweka sanaa enzi hizo, wacha ningoje hio 2nd June.

Afu WCB mbona kama MMEPANIC HIV? Kila siku wimbooo, kila siku wimbooo. Huyo dogo talentless huo wimbo mlioachia juzi hata sijausikiza nasikia mnatoa tena wa Mavoko, mzazi mavoko sababi alisomeka kitambo hiko nitausikiliza, sijakaa vizuri nasikia Mzee wa Katapult kijana wa The Don himself, Don Jazzy, Koredo Bello sijui nimepatia maana kiukweli sijawahi kumuelwa mara mia angefanya collabo na baba Gigy Money Alihaji Techno, Nasikia Harmo ushuzi ndo anaachia nae kigoma, Hahahaaa! Na Paka wa kufugwa kaenda kufanya wimbo na vizee vilivochuja Psquare. Hahahaaaaa!

Niko hapa kutoa review zangu ila so far AJE umeleta noma sanaa huko WCB.

Wee watu wanataka goto....If you cannot beat them, join them... He has join them..
 
MCHAWI,FREEMASON,ANAIBA NYIMBO,MTOTO SIO WAKE, TUNATAKA DNA,MTOTO M'BAYA,TUZO ANANUNUA,LIMBUKENI,SHOGA NA MENGINE MENGI RAIA WALA HAWASIKII WALA HAWAJUI UWEPO WENU NDIO KWANZA KILA SIKU SHOO NA MAPOKEZI ZAIDI YA RAISI.
 
MIMI NIMEJULIKANA JF KABLA YA HADITHI! TANGIA 2012 NANI ASIENIJUA HUMU? HADITHI NIMEANZA KUTUNGA 2016!!!!!!!! AAAAAAAAAAAAH!
Teh Teh akanana Mimi sikujui...
 
RAIA WALIANZA KUWAPUUZIA SIKU NYINGI SANA,NA KAMA KUELEWA MASOMO YENU WANGEWAELEWA TOKA HUKU.
 
HAHAHAAA! Msema kweli mpenzi wa Mungu, mimi I RESPECT DIMOND FOR HIS WORK 100% NISHAMUANDIKIA MAKALA YA KUTOSHAA ILIYOSHIBA ACKNOWLEDGING HIS CONTRIBUTION KWENYE TZ MUSIC, NA NILIKUBALI WAZIWAZI HE IS THE GAME CHANGER WA TZ MUSIC INDUSTRY BLAH BLAH BLAH BLAH BLAH NIKAMPA UFAGIO NA SHAVU LA KUTOSHAA HUMOO just at the right time wakati Aje imekuwa released. The time most of you hamkuwa na courage ya kusema ukweli kutokana na dude la Aje lilivotusambaratisha chezea sawasawa mambo vipi?.

On the other side MIMI DIMOND SIMUOGOPIIII, WALA HANITISHIIII HATAAAA, vipande vyake nampa kama kawaidaaa. Kama navompa Kiba, Jidee na wengine. NCHI HURU HIII TUSIBANANE.

NA KWENYE UZI HUU NASEMA HIVI RICH MAVOKO KABUGI KU SIGN WCB APUNGUZE KUENDEKEZA NJAA MATOKEO YAKE MTU MZIMA MWENZETU WA ANAJIAIBISHAAA KUKAA LABEL MOJA NA THAT TALENTLESS KID. HAHAHAAA.

FYI I VOTED FOR HIM ON BET. Harmonise alivonikeraaa nikaanza UTU MWANAMKE KUMVOTE YEMMY ALADE TUZO ZOZOTE ALIZOKUWA NOMINATED. MAADAM KAOMBA RADHI NA UUNGWANA NI VITENDO NITAENDELEA KUMVOTE DIMOND TUZO IJE BONGO. TUKO PAMOJA KWENYE MAMBO YA MSINGI KAMA HAYO NA VICHAMBO KAMA KAWAIDA. AHAHAAAA.
Kama Jada Kiss alivyokataa kusign G-Unit ila njaa kali Mobb Deep wakasign
 
Ifike pahala sasa tutambue ya kwamba ni Muda wa Kui inua Bongo Flava Yetu na sio kuikandamiza kwa hizi team zenu Ushuzi mtupu. Kwani Mavoco Kuwa chini ya WCB ama hata huko kwa Mavi gani kuna shida gani kama Muziki wake utazidi kukua na Kuzid kuingiza kipato? Kwan msanii kuwa Chini WCB ama Lebo yeyote ya Msanii wa hapa Bongo kuna shida? Mbona Good Life(Moze na Whizo), Navio n.k wako chini ya Lebel ya Jozee Chamelion na wana fanya Vizuri tu?.

Muziki wa Bongo Flava ni Game la Kuangalia mweleko wa Upepo. Mavocco kaaangalia Mwelekeo wa Upepo na akatambua kwamba Ugali upo WCB na ni Ukwel mtupu kwamba Upepo wa burudan kwa sasa upo WCB japo kuna baadhi nao wakijitahidi kupinga sababu tuu ya Ukubwa wa Majina waliyo kuwa nayo Hapo awali.

Alikiba na Diamond ni Chachandu tuu kuongeza ladha lakin bongo Flava wao waliikuta, hivyo ibaki kama ilivyo na Hizi team Mavi zipite hivi zituache na Bongo flava yetu.

Na wewe unae sema talentless jaribu na wewe kuimba kma watu hawata kimbia wakidhan wamemsikia Mbuzi akiimba,

Booooooooooooooooooooom, Tukana na Mimi nkujibu.

TEAM HAZIHUSIKI HAPA HAPA NI UKWELI KUWA RICH MAVOKO KU SIGN WCB KARUDI HATUA 20 NYUMA. KAJILA TOGO MWENYEWE KIMZIKIIII. AMEBUGIIIIIIIIIII. Naona ile single aliotoa ikajamba ndo ilimvunja moyo.

THE BOY IS TALENTLESS PERIOD. Mimi siwezi kujaribu kuimba coz silazimishiiii fani. AFANDE SELE ALISHASEMA SIO WOTE LAZIMA TUIMBEEEEEEEEE, WENGINE TUBAKIE MASHABIKI. NA MIMI HAPO KWENYE USHABIKI NDO FANI YANGU HASWAAAAAA.

Utukanwe kwa kipi labda? HAHAHAAAAAAAAAAAA! BADO SANAA MIMI KUTUKANANA NA WEWE MWANANGU NAEWEZA KUKUZAA. NIKIPIGA STORY. JIANGALIE ARIF!
 
Hivi RAIA wa sehemu kama SONGEA mumeshawafikia kuwaambia kuwa MNA KAMPENI KWENYE MITANDAO YA KIJAMII YA KUTAKA JAMII ISIMPENDE DIAMOND KAMA MNAVYOFANYA NYINYI, MAANA NAONA KAMA RAIA SOMO LENU WAMELIPUUZA HIVI???
 
Kama Jada Kiss alivyokataa kusign G-Unit ila njaa kali Mobb Deep wakasign
Umeonaaaaaaaaaaa! NJAA KALI HAWAKOSEKANI KWENYE INDUSTRY. Kinachoniuma Rich boy is talented he doesnt have to beg na kujishusha basi tu muoga wa maisha. Maisha kumla tigo kidogo tu keshaenda ku surrender WCB! Jamniiiiiiii. SO PATHETC.

Atleast kina Harmonise wlikuwa NO BODIES, angalau they needed a starting point. Ila Rich ashatoka level hizooo kitamboo hiko cha MARRY ME. hahahaahaaaa! Daaah! Maisha haya! Bado kusikia Mr. Nice kasign WCB. Halooooooo!
 
SONGEA SOMO LENU HALIJAWAFIKIA.


SIKU DIMOND AKIACHA KUFANYA SHOW ZA CORRIDOR HUKO MAREKANI AKAANZA KUFANYA HIZI ZA UWANJANI MNIAMSHE MAANA KWA SASA NAJILAZA KWANZA. HAHAHAAAAAAAAAAA! PHILADEPHIA HIOOO SIO NIGERIA.
 
Kweli sio kila mtu atafurahia mafanikio, hata ufanyeje kuna watu lazima watachukia tu, huo una itwa UCHAWI, mchawi amatakiwa kupigwa mawe, hatutakiwi kuishi karibu na wachawi watatumaliza, Nakushauri acha ushabiki wa kichawi, hawa wasanii unaowataja wote kazi yao ni kutu entertain sisi mashabiki wao, msanii akitoa nyimbo nzuri burudika na kama huja ipenda bas achana nayo sio kutukana uku kwetu ambapo hata hao wasanii hawawezi kuona huku ni kama umetutukana sisi vile manake hapana diamond wa rich mavoko apa, ubongo wako unahitaji brush...thenx
 
Kweli sio kila mtu atafurahia mafanikio, hata ufanyeje kuna watu lazima watachukia tu, huo una itwa UCHAWI, mchawi amatakiwa kupigwa mawe, hatutakiwi kuishi karibu na wachawi watatumaliza, Nakushauri acha ushabiki wa kichawi, hawa wasanii unaowataja wote kazi yao ni kutu entertain sisi mashabiki wao, msanii akitoa nyimbo nzuri burudika na kama huja ipenda bas achana nayo sio kutukana uku kwetu ambapo hata hao wasanii hawawezi kuona huku ni kama umetutukana sisi vile manake hapana diamond wa rich mavoko apa, ubongo wako unahitaji brush...thenx

NDO MAANA BONGO FLEVA INABINAFSISHWA KWA MAWAZO MGANDO NA KUJIKOMBA KAMA HUKU! HAHAHAAA! HAYA DIMOND ASHAKUONA TAKUAJIRI KWENYE SAFU YA MOSE IYOBO KUKATA MAUNO
 
WCB SAFARI BADO NDEFU SANAAAAAAAAAA! HUYU BABA IMADE MDOGO SANAA KWA DIMOND, ILE ILIKUWA PHILAPHIA HII YA MWISHO YA LONDON, YA TORONTO NAIMINYIA KIMTINDO. HAPO VIPI KWA BABA IMADE ADELEKE! TOTO LA JUZI 23? HAHAHAAAAAAAA! HOW IS CHIBU GREAT AGAIN???????? HAHAHAAAA! TURUDI KUMSHAURI RICH MAVOKALI BWANA, MIMI FITINA NAZIWEZA

 
BASI POVU LITAWATOOOKA KAMA MMEMEZA KINDOO CHA OMO. HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAA!
 
HAAHAHAAAAAAAAAA! NI KAZI CHAFU ILA ILIKUWA LAZIMA MTU AIFANYE. AY KUJIUNGA WCB NI SAWA NA DRE KUJIUNGA NA YOUNG MONEY AU SNOOPY KUSIGN CASH MONEY. HAHAHAAAAAAAA! AY anangoja billions za Tigo.

ekotiteeeeeeee
 
Back
Top Bottom