Rich Mavoko ndani ya WCB kunani?

Rich Mavoko ndani ya WCB kunani?

Hata mimi nna wasiwasi na huyu jamaa maana hata ushirikiano na wenzake sio mzuri na nyimbo hatoi kwa wakati yani yupo yupo tu
 
Wakuu na wadau wa jamvi hili habari!

Nilikuwa najaribu kuwaza kwa sauti tu,hivi ni nini kinaendelea pale wcb kuhusu rich mavoko na mpango wake wa kazi...maana wenzake wamekuwa wakiachia ngoma kila leo,ila yeye yupo kimya muda mrefu sasa,na hata kupost insta amepunguza,yani c kuhusu kazi tu hata kazi nyengine za wcb amekuwa anazikazia.

-Jee,Rich mavoko anabaniwa pale wcb?
-Jee, Kasi yake ya kutoa nyimbo ndo inamuangusha hivyo kushindwa kuendana na kasi ya wcb?
-Jee,zamu yake bado?kama ipo hiyo zamu.
-Jee,yupo bize na maandalizi ya album yake anayosema ataichia soon?

Kama kuna za chini ya carpet ningeomba tujuzane,ili sie mashabiki nyoyo zitutulie kdg.maana this is not normal.
Kwan hujaskia nyimbo ya WANAKUTAMANI mpya ya juz???? Na anafany kolabo kibao we mhenga nn
 
Back
Top Bottom