Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304

Msanii wa bongo Fleva Rich Mavoko amekanusha tuhuma za kujichubua.
Rich Mavoko amefunguka na Kusema Haya;
"Lazima tuangalie wakati hizi picha zilipigwa, hio picha nikiwa na dred Locks ni yazamani sana na siku na simu bora wala application za kuedit picha kama sasa, Hii picha mpya nimepiga na Iphone" .