Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Yaan huku sie ni Platnum babyyyyyyyy,,wasafiiiii
Mavoko yuko poa lakin wanamjua sio wengi sana yaan hatangazwiii sanaa
dina nimekumiss, uuwiii kitecno kangu kanazingua sijui kaliogopa dongo la wema, kanataka kafe eti nikanunue galaxy.
Afadhali ya mavoko kuliko kiba.
Hhhhhhhaaa,hivi video ya mwana bado tu!!!!!!
Yaan huku sie ni Platnum babyyyyyyyy,,wasafiiiii
Mavoko yuko poa lakin wanamjua sio wengi sana yaan hatangazwiii sanaa
Sijui ata shutia mwembe yanga? Maana kwa jinsi wimbo ulivyo unataka mazingira ya uswahili kama yombo dovya.
Mxiuuuuuu na ndomo wako!!
Sijui ata shutia mwembe yanga? Maana kwa jinsi wimbo ulivyo unataka mazingira ya uswahili kama yombo dovya.
Inasemekanaa katolea south Afrikaaa
Inasemekanaa katolea south Afrikaaa
Chinga chinga hapa ni Richard masauti ndo hot topic!!Sasa sauzi na mwana daresalama wapi na wapi.
Namkubali Rich Mavoko.
Rich mavoko ndo katoa ile pacha wangu south au?Inasemekanaa katolea south Afrikaaa
mavoko namkubali sana hajawai kuniangusha, anajuaaaaa