Rich Mavoko vipi huko kwenu?

Rich Mavoko vipi huko kwenu?

Huyu angepewa promo anazopewa Alikiba at least Diamond angepata mpinzani, hautaki sikushikii fimbo.
 
nasikia umeolewa ntaleta zawadi.....hahahahhaa uyu dogo anaga habari za kishamba ni ✴realheatsdroper
 
Mavoko namkubali sana hasa ile nyimbo yangu ya roho yangu naipenda sana
msanii mzuri mavoko
 
Aisee uzi wa mavoko ila anaingizwa kiba duuh!!
Guys saa ingine tuwe fair jamani tunajua hamumpendi kiba ila tuutendeeni haki uzi
 
Huyu angepewa promo anazopewa Alikiba at least Diamond angepata mpinzani, hautaki sikushikii fimbo.

Tafuta Album ya kwanza ya Alikiba inaitwa Cinderella yenye nyimbo zaidi ya 15 uisikilize vizuri, then njoo usikilize nyimbo nyingine kama Dushelele,Karim,Msiniseme,Single boy,Far Away,Mali yangu,My Everything,Mapenzi yanarun dunia,Mwana daslam, etc na nyimbo zoote alizowah kushirikishwa.Ukimaliza njoo tubishane
 
Tafuta Album ya kwanza ya Alikiba inaitwa Cinderella yenye nyimbo zaidi ya 15 uisikilize vizuri, then njoo usikilize nyimbo nyingine kama Dushelele,Karim,Msiniseme,Single boy,Far Away,Mali yangu,My Everything,Mapenzi yanarun dunia,Mwana daslam, etc na nyimbo zoote alizowah kushirikishwa.Ukimaliza njoo tubishane
Hiyo album ni ya mavoko au?

Hapa nazungumzia rich mavoko
 
Chinga yombo dovya unakufahamu?

Daah yombo dovya tena nisi ijue wakati sisi wamachinga ndio mitaa yetu hiyo,sema wewe unatoka relini,shule,chama,kwa mwinyi,abiola,isabela,sola pawa,kwa mama kibonge,njia panda ya kitunda,nyama choma,kwa lulenge,ccm,wacha wacha au kanisani????
 
Back
Top Bottom