Ochumeraa JF-Expert Member Joined May 18, 2015 Posts 4,505 Reaction score 5,715 Jun 15, 2019 #41 Naona wengi humu hawajaisikiliza clip wamecoment kutokana na Maneno ya mleta post,sikilizeni clip kwanza ndo mcoment....
Naona wengi humu hawajaisikiliza clip wamecoment kutokana na Maneno ya mleta post,sikilizeni clip kwanza ndo mcoment....
Chrismoris JF-Expert Member Joined Oct 27, 2017 Posts 14,113 Reaction score 17,645 Jun 16, 2019 #42 Numbisa said: Wakurupukaji. Wee mleta mada weka interview nzima. Mavoko kasema alienda kwa mganga kabla hajawa maarufu na pia hajaingia wcb Click to expand... Bora aiseeeh
Numbisa said: Wakurupukaji. Wee mleta mada weka interview nzima. Mavoko kasema alienda kwa mganga kabla hajawa maarufu na pia hajaingia wcb Click to expand... Bora aiseeeh
Chrismoris JF-Expert Member Joined Oct 27, 2017 Posts 14,113 Reaction score 17,645 Jun 16, 2019 #43 Rwankomezi said: Clouds bwana sasa wanaanza tena ishu kama za Ruge....uchonganishi Wa kibihashara husio na Faida. Click to expand... Mzazi akiwa na roho mbaya kuna uwezekano mkubwa watoto watarithi sifa yako.
Rwankomezi said: Clouds bwana sasa wanaanza tena ishu kama za Ruge....uchonganishi Wa kibihashara husio na Faida. Click to expand... Mzazi akiwa na roho mbaya kuna uwezekano mkubwa watoto watarithi sifa yako.
I IPECACUANHA JF-Expert Member Joined Feb 19, 2011 Posts 3,226 Reaction score 1,919 Jun 17, 2019 #44 Converse said: 75% ya Watz tunaroga sema purpose tu ndo tofauti... Sishangai Click to expand... Ulozi, ujinga na Umaskini ni baba mmoja mama mmoja.
Converse said: 75% ya Watz tunaroga sema purpose tu ndo tofauti... Sishangai Click to expand... Ulozi, ujinga na Umaskini ni baba mmoja mama mmoja.
The only JF-Expert Member Joined May 19, 2011 Posts 10,805 Reaction score 14,181 Jun 17, 2019 #45 pumzihaiuzwi said: Maneno haya yakuchafuana yasije mpeleka jela anachafua brand kubwa kama hiyo labda wamchunie tu. Click to expand... hajasema wcb kasema kabla ya hapo ,kaeleza yy aliingia wcb akiwa na jina na hakukuwa na star yeyete kidogo harmonise,anasema star alikuwa diamond ,na kaeleza vizuri hana bifu nao aliona mziki wake hauendani na wao
pumzihaiuzwi said: Maneno haya yakuchafuana yasije mpeleka jela anachafua brand kubwa kama hiyo labda wamchunie tu. Click to expand... hajasema wcb kasema kabla ya hapo ,kaeleza yy aliingia wcb akiwa na jina na hakukuwa na star yeyete kidogo harmonise,anasema star alikuwa diamond ,na kaeleza vizuri hana bifu nao aliona mziki wake hauendani na wao