Richard Temu, mlanguzi wa kakao Kyela anayepambana kuua Ushirika ili apate bei ya chini toka kwa wakulima moja kwa moja

Richard Temu, mlanguzi wa kakao Kyela anayepambana kuua Ushirika ili apate bei ya chini toka kwa wakulima moja kwa moja

nokwenumuya

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2019
Posts
820
Reaction score
2,896
Richard Temu, ni mfanyabiashara mlanguzi wa kakao katika Wilaya ya Kyela, ambaye hulangua kwa bei ya chini toka kwa Wakulima na kuziuza kwa mfumo uliowekwa na Serikali wa Stakabadhi ghalani. Akishazipeleka pia hutumiwa na kampuni za wahindi kupeleka bid yao katika mnada ili waweze kununua na kuzipeleka nje ya nchi.

Yeye na wahindi wanaomtumia wanaona Chama Cha Ushirika cha KYECU na mfumo uliowekwa na Bodi ya Maghala ya Serikali (WRRB) ni kikwazo kwa sababu bei elekezi ya Serikali ya kakao kwa kilo moja ni Tshs. 4200.

Na kabla ya mfumo huo kuwepo walikuwa wakiwalangua wakulima kwa bei chini ya 1000 kwa kilo. Na iwapo mfumo huu watafanikiwa kuua na wakulima wakakosa soko la uhakika wao watawapangia bei ya kununua zao hilo sababu Mkulima hatakuwa na namna nyingine.

Na hiyo bei elekezi ya 4200 ni minimum kuanzia mnada, na kuna wakati kakao inanunuliwa hadi kwa zaidi ya 5000 kwa kilo moja. Hivyo kuwafanya walanguzi hawa kukosa kupiga margins kubwa zaidi huku wakiwanyonga na kuwanyonga Wakulima.

Richard Temu na wafanyabiashara wanaomtumia wanapaswa kufuatiliwa kwa ukaribu ili kuzuia hujuma wanazofanya ili kuua Ushirika jambo litalopelekea Serikali kukosa kodi ya uhakika na wakulima kukosa bei nzuri na soko la uhakika.

Kwenu Taasisi za Umma.
 
aise inshu ya ushirika kyela na kyecu ,ni kizungumkuti,ninachokiona muda si mrefu kyecu itapotea kabisaa.uzuri Nina some sort of experience na biashara ya hilo zao,kyecu ilikuwa mkombozi kwa wakulima ,Ila kwa Sasa Yule aliye asisi kufufuliwa kwa hizi ushirika ,he is no longer exist.hivyo hapo tegemeeni mengine,japo waziri mwenye dhamana ni mpambanaji Ila sidhani kama atatoboa kwa hii battle.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aise inshu ya ushirika kyela na kyecu ,ni kizungumkuti,ninachokiona muda si mrefu kyecu itapotea kabisaa.uzuri Nina some sort of experience na biashara ya hilo zao,kyecu ilikuwa mkombozi kwa wakulima ,Ila kwa Sasa Yule aliye asisi kufufuliwa kwa hizi ushirika ,he is no longer exist.hivyo hapo tegemeeni mengine,japo waziri mwenye dhamana ni mpambanaji Ila sidhani kama atatoboa kwa hii battle.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini Mama anajua kuwa soko la wakulima ni jambo la muhimu. Hivyo sisi tumpe Mama ushirikiano ili hizi taarifa ziweze kumfikia atoe maagizo na kushughulikia wahuni kama hawa.
 
Mkuu kakao toka kupanda had mavuno huchukua muda gani?

Linaoneoana zao lenye ukwasi Sana
Zao hili ni mti. Ukipanda unaanza kuvuna baada ya miaka mitatu. Na utavuna kwa hadi miaka 50. Na zao hili halina msimu, kwa maana kuwa unavuna kila wiki. Tofauti tu kuna muda uzalishaji uko juu na wakati mwingine uko chini. Lakini ukilima una uhakika wa kupata pesa kila wiki kama wachezaji wa mpira wa Ulaya. Kiufupi ni kilimo kizuri. Hata Mvomero tayari hivi sasa wanavuna na kuuza kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani.
 
Mkuu kakao toka kupanda had mavuno huchukua muda gani?

Linaoneoana zao lenye ukwasi Sana
Zao hili ni mti. Ukipanda unaanza kuvuna baada ya miaka mitatu. Na utavuna kwa hadi miaka 50. Na zao hili halina msimu, kwa maana kuwa unavuna kila wiki. Tofauti tu kuna muda uzalishaji uko juu na wakati mwingine uko chini. Lakini ukilima una uhakika wa kupata pesa kila wiki kama wachezaji wa mpira wa Ulaya. Kiufupi ni kilimo kizuri. Hata Mvomero tayari hivi sasa wanavuna na kuuza kupitia mfumo wa stakabadhi ghalani.
Kyela nzima mnasumbuliwa na huyo meku mmoja?

Acheni ujinga bhana
Anasumbua sababu anajitapa mbele za watu kuwa anammudu Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya na baadhi ya viongozi wa Chama Cha Ushirika KYECU wasio waamimifu.
 
Mkuu wa mkoa mbeya kabong'aa tu mfano wa kafulila hajauona

Nasikia hata perachichi nayo wameua
 
 
Mkuu wa mkoa mbeya kabong'aa tu mfano wa kafulila hajauona

Nasikia hata perachichi nayo wameua
Huyu Richard Temu kasema anammudu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya. Sasa anammudu vipi ni jambo wanalojua wenyewe.
 
Wakulima kwanini waende kwake kuuza kwa 1000 wakati wanajua serikali wananunua kea 4200?
Kwa sasa anawalangua kwa walau
Na mimi nashangaa
Wakulima kwanini waende kwake kuuza kwa 1000 wakati wanajua serikali wananunua kea 4200?
Hivi sasa wanauza kwa 4200 toka 1000 au chini. Sasa ushirika ukifa watarudi kwenye 1000. Ila kwa sasa analangua kwa 2800 hadi 3200 kwa watu wanaohitaji pesa ya haraka haraka.
 
Kwa sasa anawalangua kwa walau


Hivi sasa wanauza kwa 4200 toka 1000 au chini. Sasa ushirika ukifa watarudi kwenye 1000. Ila kwa sasa analangua kwa 2800 hadi 3200 kwa watu wanaohitaji pesa ya haraka haraka.
Fursa hiyo na wewe langua au tupeane connection
 
Richard Temu, ni mfanyabiashara mlanguzi wa kakao katika Wilaya ya Kyela, ambaye hulangua kwa bei ya chini toka kwa Wakulima na kuziuza kwa mfumo uliowekwa na Serikali wa Stakabadhi ghalani. Akishazipeleka pia hutumiwa na kampuni za wahindi kupeleka bid yao katika mnada ili waweze kununua na kuzipeleka nje ya nchi.

Yeye na wahindi wanaomtumia wanaona Chama Cha Ushirika cha KYECU na mfumo uliowekwa na Bodi ya Maghala ya Serikali (WRRB) ni kikwazo kwa sababu bei elekezi ya Serikali ya kakao kwa kilo moja ni Tshs. 4200.

Na kabla ya mfumo huo kuwepo walikuwa wakiwalangua wakulima kwa bei chini ya 1000 kwa kilo. Na iwapo mfumo huu watafanikiwa kuua na wakulima wakakosa soko la uhakika wao watawapangia bei ya kununua zao hilo sababu Mkulima hatakuwa na namna nyingine.

Na hiyo bei elekezi ya 4200 ni minimum kuanzia mnada, na kuna wakati kakao inanunuliwa hadi kwa zaidi ya 5000 kwa kilo moja. Hivyo kuwafanya walanguzi hawa kukosa kupiga margins kubwa zaidi huku wakiwanyonga na kuwanyonga Wakulima.

Richard Temu na wafanyabiashara wanaomtumia wanapaswa kufuatiliwa kwa ukaribu ili kuzuia hujuma wanazofanya ili kuua Ushirika jambo litalopelekea Serikali kukosa kodi ya uhakika na wakulima kukosa bei nzuri na soko la uhakika.

Namba ya Richard Temu ni 0784888786.

Kwenu Taasisi za Umma.
Tatizo linalosababisha yote haya ni Utaratibu mbovu wa Stakabadhi ghalani , mnaweka hela za wakulima kwa muda mrefu sana , mnatarajia watakula nini ?

Hii ndio sababu ya walanguzi kuingia kwenye ununuzi wa ulanguzi , mkulima ana shida yake ndogo ya kutatua wewe unataka kumlipa baada ya miezi mitatu unatarajia nini ?
 
Tatizo linalosababisha yote haya ni Utaratibu mbovu wa Stakabadhi ghalani , mnaweka hela za wakulima kwa muda mrefu sana , mnatarajia watakula nini ?

Hii ndio sababu ya walanguzi kuingia kwenye ununuzi wa ulanguzi , mkulima ana shida yake ndogo ya kutatua wewe unataka kumlipa baada ya miezi mitatu unatarajia nini ?
Katika mfumo wa stakabadhi ghalani mkulima analipwa ndani ya masaa 48 baada ya mnada kufanyika. Na hizo pesa zinalipwa moja kwa moja. Hivyo uboreshaji uliopo wa sasa hakuna kuchelewesha malipo
 
Kwa sasa anawalangua kwa walau


Hivi sasa wanauza kwa 4200 toka 1000 au chini. Sasa ushirika ukifa watarudi kwenye 1000. Ila kwa sasa analangua kwa 2800 hadi 3200 kwa watu wanaohitaji pesa ya haraka haraka.

Wewe umekosa mtaji wa kulangua,

Mimi sioni kosa La Richard Temu!! Biashara siku hizi ni huria!! Kuna chama na kuna wanunuzi binafsi!!

Mkulima yupo huru kuuza popote anapotaka!! Akitaka kuuza kwenye chama cha Ushirika au wafanyabiashara AKA walanguzi kama ulivyowaita ni wao wenyewe!!

Inavyooneekana kwenye hicho chama cha ushirika kuna uwalakini kwenye mauzo ya wakulima ndo maana wanakimbilia kwa hao walanguzi. Hicho chama wajikague kwanza wana mapungufu gani mpaka wakulima wanaenda kwa walanguzi!!

Siamnini kwamba chama kina terms nzuri then mkulima aache kuuza mazao yake hapo na badala yake aende kwa mfanyabiasha binafsi!!

All in all sioni kosa la huyo Richard Temu, labda kama halipi kodi kwa serikali then serikali imfuatilie!!
 
Back
Top Bottom