RichMitindo akumbatia bomu rasmi!

RichMitindo akumbatia bomu rasmi!

Mwanamke akikuzidi kipato suala la kuwa na amani kwenye ndoa sahau.. Rich alioa mwanamke anaemzidi kifedha sijui hata wazazi wake walikubali vip kijana aingie jehanamu...!!
 
Usije ukakuta wolper ndio alikua kakumbatia bomu...🤔
 
Mwanaume kuwa na wivu kwa mwanamke asiyekuhusu inashangaza sana. Kwamba unamuonea wivu wolper kuolewa daah mkuu pole sana.

Haya Numbisa kiko wapi?

Mambo yashaharibika huko.

Sio kila kitu ni wivu mkuu. Kuna vitu ukisoma pattern tu mtu unaelewa nini kinaenda kutokea

Hongera kwa mtoa mada kwa kusoma pattern!
 
Daaah nimecheka sana huu uzi mademu ndo walikuwa wanamshambulia jamaa now wataanza kumtetea single maza mwenzao
 
Basi kwako rahaaaa. Punguza roho ya kichawi mkuu. Wolper tayari ana rekodi ya kuolewa na watoto wazuri wamepata
Haya Numbisa kiko wapi?

Mambo yashaharibika huko.

Sio kila kitu ni wivu mkuu. Kuna vitu ukisoma pattern tu mtu unaelewa nini kinaenda kutokea

Hongera kwa mtoa mada kwa kusoma pattern!
 
Back
Top Bottom