Nadhani haka ''kautamaduni'' ka ukiwa waziri mkuu basi usahau kuwa Rais wa JMT sio kazuri.
Kama taifa tutakuja kukosa kiongozi mzuri katika nafasi ya Urais, eti kwa sababu tu, aliponzwa na Uwaziri mkuu.
Katika uongozi kila mtu huwa nawajibika kwa ngazi yake.Mambo yanapozama basi kunakuwa na Uwajibiji wa Jumla.Je swali la kununua hayo magari initiator ni nani?Vilitumika vigezo gani?Je utaratibu sahihi ulifuatwa?Mfano kama DED na halmashauri walifanya uamuzi wa kununua magari wakati mambo mengine yamekwama basi DED anapaswa kuwajibishwa.Jambo hili linafikirisha sana,binafsi linamuweka njia panda hon Majaliwa,ni kweli isiyo shaka kuwa majaliwa ndiye anayeoneka kufaa zaidi kumrithi JPM, hii ni kutokana na uchapa kazi alionao hon.Majaliwa
Hoja iko hapa je mwanafunzi aliyeomba ruhusa isiyo halali na baadae mwalimu kumruhusu aende huku huyu mwalimu akijua kuwa ruhusa aliyotoa siyo halali ,je, mwenye makosa ni mwalimu au mwanafunzi?
Sawa sasa kama amewabaini kwa nini asiwasimamishe mapema kupisha uchunguzi maana wako wengi ukimuacha yule wa kahamaNafikiri hoja hapa ni nani aliyeidhinisha ununuzi wa magari hayo. Naomba sana KM aendelee kuwa waziri mkuu. Sidhani kama alijua hayo maddy yaliyokuwa yanafanyika
Katika uongozi kila mtu huwa nawajibika kwa ngazi yake.Mambo yanapozama basi kunakuwa na Uwajibiji wa Jumla.Je swali la kununua hayo magari initiator ni nani?Vilitumika vigezo gani?Je utaratibu sahihi ulifuatwa?Mfano kama DED na halmashauri walifanya uamuzi wa kununua magari wakati mambo mengine yamekwama basi DED anapaswa kuwajibishwa.
Huo ni mtazamo wangu.Suala OWM kutoa ruhusa linategemea na justifications na utaratibu wa manunuzi ulivyo ila wa kuwajibishwa ni DED ambaye ndio atakayepanda hilo gari na mwenye maslahi nalo PERIOD.
Hapa si swala la kufanyiwa zengwe. Ofisi ya Waziri Mkuu haiko makini katika utendaji kazi wake.Balozi wa USA Mark Green kipindi cha Richmond aimbia dunia kuwa kilichomponza lowasa ni kuonekana ni tishio kwa wanaotazamiwa kumrith kikwete (alipaniwa )
Hapa kuna mtu anayeonekana kuwa frontline kumrith magufuli kwa uwezo,utendaji,dini,ukanda, na umri kasimu majaliwa anazunguka zongo linalimuandama la magari ya kufru yaliyopitishwa chini ya ofisi zake ,yalipitishwaje na mtu anayeonekana yupo makini sana walioko chini yake wanamnyoshea kidole.
Akihojiwa na tume ya Dkt Mwakyembe na baadae bungeni aliyekuwa naibu waziri wa nishati na madini wa wakati huo Ibrahim Musabaa anasema "naona mimi nitakuwa mbuzi wa kafara kwa hili " maDED wate wanasema ihojiwe ofisi ya waziri mkuu wao wasiwe mbuzi wa kafara.
Kama umemsiliza waziri mkuu kule mwanza anaona kuwa wenye makosa ni walioitisha ombi la ununuzi wa magari hivyo wawajibike baada ya uchunguzi walioagiza wanasema shida sio wao kuaomba maana ombi lina kukubaliwa na kukataliwa hivyo aliyelipokea na kuidhisha ndie mchawi hapa na huyi si mwingine ni ofisi ya waziri mkuu.
"Tulifuata utaratibu wa ununuzi wa umma kaunzia kwenye kamati ya halimashauri,baraza la madiwani wizara ya ujenzi na baadae ofisi ya waziri mkuu" DED wa Geita ahaongea kwa kujiamini kuwa kwa nini walipewa na aliyetoa anasema kwanini waliomba .kuna utata hapa
Watanzania hawataki kujua mambo ya nani aliomba na nani alitoa wanataka kufahamu kwanini pesa zao million 400 zote zinunue gari la mtu mmoja tu huku wakiwa na matatizo chungu mzima .
Rais anaonekana yuko wa wanachi wanaolia pesa zao kufujwa na kutaka walihusika wawajibishwe ,walihusika wanarushiana mpira .
Kwa kuwa kuwa hofu kuwa majaliwa anaandaliwa hakuna anayeweza kumhoji na badala yake yeye ndio anahoji (hapa kuna utata )
Maandui wa majaliwa kisiasa wanaojipanga kuelekea 2025 wanakesha wanachochea kuni ili kitumbua kiiingie mchaga.
My take .ule msemo wa kuwa waziri mkuu wa Tanzania hawezi kuwa rais unaweza ukajitokeza hapa tena!
USSR
Niliwahi ongea na gwiji la kisiasa miaka kadhaa nyuma.Balozi wa USA Mark Green kipindi cha Richmond aimbia dunia kuwa kilichomponza lowasa ni kuonekana ni tishio kwa wanaotazamiwa kumrith kikwete (alipaniwa )
Hapa kuna mtu anayeonekana kuwa frontline kumrith magufuli kwa uwezo,utendaji,dini,ukanda, na umri kasimu majaliwa anazunguka zongo linalimuandama la magari ya kufru yaliyopitishwa chini ya ofisi zake ,yalipitishwaje na mtu anayeonekana yupo makini sana walioko chini yake wanamnyoshea kidole.
Akihojiwa na tume ya Dkt Mwakyembe na baadae bungeni aliyekuwa naibu waziri wa nishati na madini wa wakati huo Ibrahim Musabaa anasema "naona mimi nitakuwa mbuzi wa kafara kwa hili " maDED wate wanasema ihojiwe ofisi ya waziri mkuu wao wasiwe mbuzi wa kafara.
Kama umemsiliza waziri mkuu kule mwanza anaona kuwa wenye makosa ni walioitisha ombi la ununuzi wa magari hivyo wawajibike baada ya uchunguzi walioagiza wanasema shida sio wao kuaomba maana ombi lina kukubaliwa na kukataliwa hivyo aliyelipokea na kuidhisha ndie mchawi hapa na huyi si mwingine ni ofisi ya waziri mkuu.
"Tulifuata utaratibu wa ununuzi wa umma kaunzia kwenye kamati ya halimashauri,baraza la madiwani wizara ya ujenzi na baadae ofisi ya waziri mkuu" DED wa Geita ahaongea kwa kujiamini kuwa kwa nini walipewa na aliyetoa anasema kwanini waliomba .kuna utata hapa
Watanzania hawataki kujua mambo ya nani aliomba na nani alitoa wanataka kufahamu kwanini pesa zao million 400 zote zinunue gari la mtu mmoja tu huku wakiwa na matatizo chungu mzima .
Rais anaonekana yuko wa wanachi wanaolia pesa zao kufujwa na kutaka walihusika wawajibishwe ,walihusika wanarushiana mpira .
Kwa kuwa kuwa hofu kuwa majaliwa anaandaliwa hakuna anayeweza kumhoji na badala yake yeye ndio anahoji (hapa kuna utata )
Maandui wa majaliwa kisiasa wanaojipanga kuelekea 2025 wanakesha wanachochea kuni ili kitumbua kiiingie mchaga.
My take .ule msemo wa kuwa waziri mkuu wa Tanzania hawezi kuwa rais unaweza ukajitokeza hapa tena!
USSR
... jengeni mifumo imara acheni kujenga personalities! Zile VX-R V8 T CCM 2020 zilizofunika nchi nzima kwa maelfu ziliidhinishwa na nani? Ni mali ya CCM? Zinafanya nini kwa sasa? Kama kuna kipindi ubadhirifu wa kutisha umewahi kufanyika nchi hii ...
Mwenye mandatory ya kuidhinisha manunuzi ya magari ni waziri mkuu.Uko sahihi jpm aliihamishia ikulu
Kwanini anatajwa waziri mkuu au ilihamishwa kisiasa tu .
Nadhani haka ''kautamaduni'' ka ukiwa waziri mkuu basi usahau kuwa Rais wa JMT sio kazuri.
Kama taifa tutakuja kukosa kiongozi mzuri katika nafasi ya Urais, eti kwa sababu tu, aliponzwa na Uwaziri mkuu.
Na ukiyanunua jiandae na uchunguzi... hayo mamigari ya 400m/- yaliyojaa kama utitiri huko serikali ya wanyonge utamuuzia nani? Hayanunuliki jombaa labda watanzania wachache mno na wenye uwezo huo wanaagiza brand new hawanunui used mengine yamewekewa matunguli na walioyatumia!
... unakutana na DPP mna-negotiate upeleke 500m/- kesi ifutwe! Ujambazi wa kidola huo.Na ukiyanunua jiandae na uchunguzi
Hatari sana mkuu... unakutana na DPP mna-negotiate upeleke 500m/- kesi ifutwe! Ujambazi wa kidola huo.
Chadema njooni tushangilie sasa maana Mbowe anakaribia kuwa waziri mkuu.
Sent from my Infinix X622 using JamiiForums mobile app