BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
"Nimefanya ziara kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Chalinze Modern Islamic. Sekondari hii ni alama ya mashirikiano baina ya Serikali na watu binafsi. Kupitia Serikali ya awamu ya Sita, mashirikiano haya yatazidi kuimarishwa kwa faida ya Taifa letu." Mbunge wa Chalinze Mkoani Pwani Mhe Ridhiwani Kikwete.
#ZiaraKazi
#KaziInaendelea
#SSH
#ZiaraKazi
#KaziInaendelea
#SSH