ni jambo jema lkn Mbunge awasaidie kutafuta wahisani waporomoshe majengo ya maana na yenye hadhi ili kweli hiyo shule iwe alama ya kudumu kwa kizazi cha chalinze.
kwa Heshima ya Mzee JK hiyo shule ilipaswa iwe ya kimatifa.
inawezekana kabisa endapo tu mbunge atalisimamia.