Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Kwanini usichaguliwe wewe au we hufai hujaiva

Alafu members wengi jf ni wapiga chapuo wa wenzao,mnawatafutia ugali wenzenu tu

Ova
 
Siku akiboronga utashindwa kumuwajibisha kwa kuhofia msoga reaction,yajayo yanafurahisha wizara ya ardhi.
 
Apewe tu uwaziri kamili kwenye wizara hiyo hiyo ya ardhi apate mamlaka kamili ya kuitwaa ardhi yake iliyokataliwa na Lukuvi kwa maslahi mapana ya wanakijiji husika
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Nafasi si hiyo kapewa, wewe hujardhika?? Unataka apewe nafasi gani??
 
MHESHIMIWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

✓MHESH Ridhiwani Kikwete ameiva vya kutosha hivyo nashauri akabidhiwe majukumu makubwa zaidi awatumikie Watanzania

Mtoto wa Kiongozi Mkubwa kisiasa aliyesoma shule za kawaida kabisa hapa nchini Tanzania akianzia Sekondari ya Shaaban Robert Dar es salaam, Sekondari ya Mkwawa Iringa na baadaye Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam alikohitimu Sheria

Amejaaliwa sifa mbalimbali

•Uzoefu wa Kutosha Jimboni Chalinze
•Mchapakazi
•Mvumilivu
•Mtiifu
•Muadilifu
•Mnyenyekevu
•Msikivu
•Ametekeleza Ilani ya Uchaguzi Kikamilifu
•Mtu wa Watu

Anafaa & anastahili & apewe nafasi
Wewe ni mpigaji tu,hata huna aibu,Ridhiwani kaiva!We know what Samia is doing,kurudisha nchi kwa wapigaji na wahuni.Je,wenye uchungu wa nchi na wananchi watakaa kimya,huku wakiangalia nchi ikifanywa shamba la Bibi?Tusubiri.
 
Back
Top Bottom