Ridhiwani Kikwete anaandaliwa Urais 2030?

Flying of ideas, jiangalie vyema huenda unaundergo uchizi, kistori chako cha kwenye toilet papers
 
Sio shida kwa Makamba wala Ridhwan kuwa marais, hakuna mahala katiba imekaza watoto wa viongozi au Marais kuwa viongozi.

Kinachotakiwa wafuate taratibu na raia wenyewe waridhie kuwachagua.
Inawezekana pia wazazi wao wamewandaa vijana wai kuwa viongozi.
 
Wazungu waliita afrika bara la Giza maanake watu wake wapo Kwenye Giza zito
Mbele huoni nyuma huoni
 

Yah right ..... WANATUONA NYANI!!
 
Kama ni Mtanzania na ana vigezo vya kuwa Rais acha awe Rais.
 
Majungu ndo mtaji wa Masikini
 
Nyie wabara kuweni serious inatosha.
Mtuache sie tuwaongoze tu
 
Kumbe Mkapa aliondolewa na Magufuli?
Unakumbuka maneno ya busara ya Wazee wetu (Mwinyi na Kikwete)kule kwenye msiba wa Mkapa Lupaso kama ulikuwa unafuatilia.Na baada ya kuzika tu Rais haukuwa na uchungu wowote kwa Mkapa alianza kampeni ya tuliibiwa sana maeneo ya Kilwa,Lindi,Mkuranga huku akitafuna mahindi hadharani bila uchungu na kuzawadiwa jogoo mkubwa.
Baada ya hapo uliona uchaguzi Oktoba 2020 ulivyokuwa vyombo vya dola kila mahali utafikiri Sudan,hata DRC wanatushinda.Aliyekuwa kikwazo cha kujimwambafai kwa Magufuri alikuwa Mkapa,hivyo lilikuwa ni jambo la kimfumo ili Magufuri atekeleze malengo yake ya kutawala milele.Ukweli ndiyo huo.
 
kwa mahesabu ya kawaida haitawezekana.
Mama ni Muslim na yeye ni Muslim.kwa mfumo wa nchi hii Rais wa 2030 atakuwa Mkatoliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…