Ridhiwani Kikwete anaandaliwa Urais 2030?

Wewe kujua tu ni kufeli Kwa mpango huo!!

Utawala was jpm na mbio za urais za 2015 zimeukuza ubongo wangu kifikra sana mkuu!!

Kama Dola imeridhia Yan Gaberon room zote zimekubali na pia ulimwengu was pili umekubali na wakati huo kama ulimwengu was pili na mungu wake ameshikilia Bado kiti Cha kiroho Cha nchi hii itakua!!

Lakini Kwa trend ya kiroho ninayoisoma kama yapo hivyo jamaa hawezi kua!!

Inasemekana ulimwengu uliomweka baba mtu kwenye kiti umeshatekwa na kunyang'anywa kiti Cha urais Hadi Sasa!!

Kwa mantiki hiyo ni Rahisi sana Mimi namba 1 kuwa Rais was nchi kuliko yeye!!

Tusubiri!!
 
Huyo TISS wako ni wa mchongo.

Na ukae ukijua TISS sio kwamba ndio anaweza kujua system ya kitengo maalum kinachosimamia utawala.

Kajipange upya.acha kutunga vitu usivyovijua.
 
Hiyo haitoshi kuwa sababu ya kumtia hatiani hayati, Mambo ya hovyo Sana haya. Kwahiyo ulitaka baada ya kifo Maisha ya simame ili kitokee kitu gani? asile mahindi hadharani? Leta ushahidi wa kueleweka na siyo porojo za kula mahindi.
 
Kwenye taifa la kusadikika kila kitu kinawezekana,kama Husein kapewa visiwa inashindika nini Ridhi kupewa Bara!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo haitoshi kuwa sababu ya kumtia hatiani hayati, Mambo ya hovyo Sana haya. Kwahiyo ulitaka baada ya kifo Maisha ya simame ili kitokee kitu gani? asile mahindi hadharani? Leta ushahidi wa kueleweka na siyo porojo za kula mahindi.
Kama ambavyo hakuna ushahidi wa kuuliwa JPM.
 
Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote.
Ulinzi wa Ridhiwan unasababishwa na kwamba yeye ni mtoto wa rais. Ana privilege hiyo kama sehemu ya ulinzi wa familia ya rais mstaafu. Upo hapo?

Halafu kuhusu maandalizi ya kugombea urais , binafsi naona Makamba ndiyo anaandaliwa njia ya kuelekea ikulu. Na uwezo wake wa kiakili ni mkubwa ukiwalinganisha kati yao hao watu 3 (Nape, Ridhiwan na Makamba).
 
Good luck. Sisi hata Nguruwe akigombea atapita ili mradi anatokea kijani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…