Ridhiwani Kikwete anajua kuwa Jesca Kishoa sio Mbunge

Ridhiwani Kikwete anajua kuwa Jesca Kishoa sio Mbunge

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,290
Reaction score
2,468
Kama ulifuatilia taarifa ya Mh Ridhiwani wakati mbunge wa Ndugai anatoa hoja yake utagundua jambo. Alianza kwa kusema, mh Naibu Spika, napenda kumpa taarifa ndugu Jesca Kishoa...

Hiyo inamaanisha kuwa ndani ya bunge na kati ya wabunge wale wako ambao hawaitambui ile timu ya wabunge 19 walioondolewa chadema

Pia ulimsikia Msukuma akisema Kishoa si mbunge. Sasa kama mambo yapo bayana hivi, ni kitu gani kinazuia uhalalishaji wa zuio la wabunge hao kuendelea na vikao vya bunge?

Ni matumaini yangu kuwa upinzani utakapokutana na Rais, tutarajie Spika kutoa neno juu ya ubunge wa wabunge hawa. Mhimili wa serikali umeenda chini zaidi
 
Wanaanza kuvuana nguo, muda sio mrefu watafukuzana wenyewe huko bungeni, na Ndugai akiendelea kujidai kipofu hao wabunge wa chama chake watamgeukia na yeye aitwe dhaifu, time will tell.
 
Yaani hadi mbunge mwenyewe anakiri wazi kuwa hana chama, bado kiti cha spika kinang'ang'ania aendelee kuwa mbunge.

Alianza Mwambe ile mwaka jana kukiri hilo, sasa Jesca, spika bado anang'ang'ania wao ni wabunge.
 
Yule mama alikuwa na mhahoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila nikiwaza JPM alikuwa na ndoto gani na nchi hii maana aliyoyafanya na bunge hili kila nikiwaza naishia kusema mungu ni mkuu. Kama alivyopita Makamu wa Rais na bunge hili. Ebu waza endapo JPM angekuwa hai na zile chokochoko za akina Sanga unadhani motion ya kuongeza miaka ya uongozi wake nadhani angepigiwa kura mpk zingezidi. Mungu kaokoa taifa.
 
Hii ni aibu kubwa mbunge anakiri kuwa yeye hana chama analazimishwa wewe chama chako ni hiki.
Naibu spika ameonyesha udhaifu sana akijitahidi kusimamia vifungu na miongoz
Kila nikiwaza JPM alikuwa na ndoto gani na nchi hii maana aliyoyafanya na bunge hili kila nikiwaza naishia kusema mungu ni mkuu. Kama alivyopita Makamu wa Rais na bunge hili. Ebu waza endapo JPM angekuwa hai na zile chokochoko za akina Sanga unadhani motion ya kuongeza miaka ya uongozi wake nadhani angepigiwa kura mpk zingezidi. Mungu kaokoa taifa.
Nami muda si mrefu najiuliza inakuwaje anasifiwa hivi halafu nasikia kauli kama kuleta umoja wa kitaifa
 
Kama ulifuatilia taarifa ya Mh Ridhiwani wakati mbunge wa Ndugai anatoa hoja yake utagundua jambo. Alianza kwa kusema, mh Naibu Spika, napenda kumpa taarifa ndugu Jesca Kishoa...

Hiyo inamaanisha kuwa ndani ya bunge na kati ya wabunge wale wako ambao hawaitambui ile timu ya wabunge 19 walioondolewa chadema

Pia ulimsikia Msukuma akisema Kishoa si mbunge. Sasa kama mambo yapo bayana hivi, ni kitu gani kinazuia uhalalishaji wa zuio la wabunge hao kuendelea na vikao vya bunge?

Ni matumaini yangu kuwa upinzani utakapokutana na Rais, tutarajie Spika kutoa neno juu ya ubunge wa wabunge hawa. Mhimili wa serikali umeenda chini zaidi
Haya ni maajabu ya Tanzania. Halima mdee aliyeambiwa akatafute kazi nyingine co ubunge leo anagombaniwa abaki bungeni???? Halima mdee nafsi ikusute basi???
 
Kama ulifuatilia taarifa ya Mh Ridhiwani wakati mbunge wa Ndugai anatoa hoja yake utagundua jambo. Alianza kwa kusema, mh Naibu Spika, napenda kumpa taarifa ndugu Jesca Kishoa...

Hiyo inamaanisha kuwa ndani ya bunge na kati ya wabunge wale wako ambao hawaitambui ile timu ya wabunge 19 walioondolewa chadema

Pia ulimsikia Msukuma akisema Kishoa si mbunge. Sasa kama mambo yapo bayana hivi, ni kitu gani kinazuia uhalalishaji wa zuio la wabunge hao kuendelea na vikao vya bunge?

Ni matumaini yangu kuwa upinzani utakapokutana na Rais, tutarajie Spika kutoa neno juu ya ubunge wa wabunge hawa. Mhimili wa serikali umeenda chini zaidi

Hivi kweli maneno ya msukuma yanaweza kuwa ushahidi Bungeni?
 
Nmeshangaa Sana,yaani mbunge anajijua yeye amefukuzwa uanachama na bado anaendelea kuripoti bungeni na kuchukua mil 12🤔🤔!hapa Kuna kitu hakikuwa sawa.

Wabunge nao walipe Kodi.
Huyu ndughai Ni Nani Hadi asichukuliwe hatua.
Mgogo mmoja tu analitia taifa la ma bilioni kwa kuwatambua wahuni kua Ni wabunge?
 
Kama ulifuatilia taarifa ya Mh Ridhiwani wakati mbunge wa Ndugai anatoa hoja yake utagundua jambo. Alianza kwa kusema, mh Naibu Spika, napenda kumpa taarifa ndugu Jesca Kishoa...

Hiyo inamaanisha kuwa ndani ya bunge na kati ya wabunge wale wako ambao hawaitambui ile timu ya wabunge 19 walioondolewa chadema

Pia ulimsikia Msukuma akisema Kishoa si mbunge. Sasa kama mambo yapo bayana hivi, ni kitu gani kinazuia uhalalishaji wa zuio la wabunge hao kuendelea na vikao vya bunge?

Ni matumaini yangu kuwa upinzani utakapokutana na Rais, tutarajie Spika kutoa neno juu ya ubunge wa wabunge hawa. Mhimili wa serikali umeenda chini zaidi
Hii 'inshu' ya wana Chadema kuwang'ang'ania wenzao 19 wasiwe wabunge, inanikumbusha maneno ya Mhashamu Polycarp Kardinali Pengo aliyoyatoa wakati wa Ibada ya Misa Takatifu ya Mazishi ya Hayati Baba Askofu Anthony Mayalla katika Parokia ya Bugando hapa Jijini Mwanza.
 
Back
Top Bottom