Ridhiwani Kikwete: Asilimia kubwa ya waandishi wa Habari ni makanjanja

Ridhiwani Kikwete: Asilimia kubwa ya waandishi wa Habari ni makanjanja

Namshangaa hizo guts kazipata wapi, na bado nimchanga sana kisiasa.

Angejipa muda wa ku-observe game kabla ya kuja na komenti za aina hii, anyway labda kajipina kina.

Na kwa kuwa ameamua kuingia kwenye ulingo wa siasa ilihali akijua usafi wake una mushkeli basi awe muungwana kuchutama pale atakapovuliwa nguo!
 
Namshangaa hizo guts kazipata wapi, na bado nimchanga sana kisiasa.

Angejipa muda wa ku-observe game kabla ya kuja na komenti za aina hii, anyway labda kajipina kina.

Kifaranga hujipa tumaini mbawa za mamaye ni ngao awapo kwapani ila thubutu mama augue Mdondo....
 
Haya maneno ya huyu mtoto yanamuumbua Pasco na kupenda bahasha za khaki na kuzigawa .Pasco yuko humu humu muumini mzuri wa bahasha ili kuandika ukanjanja .Haya kazi kwenu akina Pasco .
Hizi comments ni muhimu sana
 
Back
Top Bottom