OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
Na bado inabidi msemwe na hata kutukanwa ili mkae na akili za kujitegemea!!!!!!!!
Kutwa habari za siasa na wanasiasa tu kana kwamba hamna maishe mengine sio taarifa ya habari,sio michezo na kila liwalo la wanasiasa ndio mbiombio.............
Kama hamtii akili hamna rangi mtaacha ona!!!!
Kutwa habari za siasa na wanasiasa tu kana kwamba hamna maishe mengine sio taarifa ya habari,sio michezo na kila liwalo la wanasiasa ndio mbiombio.............
Kama hamtii akili hamna rangi mtaacha ona!!!!