Ridhiwani Kikwete awapasua wana Yanga na Haji Manara

Mkuu hayo ni mawazo yake lakini wanayanga wengine wanaweza wakawa na mawazo yao pia tofauti yao ni umaarufu tu. Mawazo yangu Mimi yanga IPO sawa kufanya iliyofanya mpira ni burudani tu hasa kwa sisi mashabiki mpira upo kuburudisha si kama siasa au nyanja zingine za maisha kwa hiyo kama kuwasema simba wapozingua ni burudani kwa nini tusipate burudani hiyo. Tukumbuke raha ya mashabiki wa simba/yanga si mpira na timu yao kufanya vizuri bali hata failure ya mwenzake nayo ni burudani tu ndio maana hata Siku ya tamasha la wananchi kile kitendo cha yanga kufungwa match yao ilikuwa burudani mno kwa wanasimba japokuwa hayawahusu wao mambo ya yanga na tamasha lao. Wakuu asili ya michezo hii ilianza na burudani na biashara ikaja baadae hivyo tusijaribu kuua asili ya mchezo huu.
 
Tatizo Ridhiwani anaonekana kabisa Hana akili kwa kumtazama kwahiyo Ushauri wake unakuwa hauna maana
 
Biashara United wao wameshinda ugenini goli 1-O. Ushindani wa Simba na Yanga ndio kikwazo cha kuendelea soka la bongo, japo kwa sasa angalau timu ndogo zinapambana kupata matokeo.

Itafika kipindi, Simba na Yanga watakuwa wanashika nafasi kuanzia ya nne.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…