Augustino Fanuel Massongo
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 1,278
- 666
Kwani bendera imekabidhiwa na TFF?Hiyo bendera haikupaswa kutolewa na tff hayo ni maajabu ya kuku miatamia mauai ya bata kwanza huyo dogo sio mcheza kabumbu wala mwanamuziki ni msaniiii sikunyingine muniulize niwape tofauti ya mwanamuziki na msaniii pumba tu hizo sisikazi yetu ni kusindiza tu