Ridhwani afunga ndoa!

Jamani JF members,hivi kweli Ridhiwani ndio achukue page hadi mbili kwa kuoa kwake,au ni kampeni za kupunguza nguvu za JF?Naomba hii tuipuuze kwa sababu haina athari yoyote kwa jamii ya kiTZ
 
Jamani JF members,hivi kweli Ridhiwani ndio achukue page hadi mbili kwa kuoa kwake,au ni kampeni za kupunguza nguvu za JF?Naomba hii tuipuuze kwa sababu haina athari yoyote kwa jamii ya kiTZ

..ndio maana hii iko kwenye nyepesi/tetesi.

..nguvu ya JF haiwezi punguzwa na vitu trivial kama hivi. hizi ni burudani tu!
 
Admin Fungilia Mbali Hii Thread,,,hawa Ndio Wakina Rashida Wanjala Wanalazimisha Mtu Aolewe Na Fulani Kupata Ten Perc Baada Ya Kuolewa Mnalijua Hili Nyie Mlio Mbali,,,,,kuweni Makini Usione Unaambiwa Jakate Ni Mzuuri Kweli Anatabia Njema.....unakuja Na Vidola Vyako Watu Wanakula Na Kusaga Kasheshe Utaiona Ukiingia Nae Ndani,,,bora Ukaoe Wahindi Ambao Mko Nao Mnawajua Vyema Bongo Ni Kisima Cha Mapenzi Karibuni Mjioneee
 
Huu mjadala ni sawa na gari bovu, mwenye hekima atajua hatima yake!
 
mikoa ya Musoma, bukoba ni mashaka. na Kilimanjaro ndio balaa.
Balali mke wake ni kilimanjaro moto mtupu.

Mke wa Balali sio mchanga, ni mjita wa Majita kutoka kule Musoma
 
Wale wote waliooa mabinti wa kichaga wamefanikiwa na kusonga mbele angalieni takwimu
 
Mke wa Balali sio mchanga, ni mjita wa Majita kutoka kule Musoma

Jamani someni geography. Musoma ni mji mmojawapo wa Mkoa mtukufu wa Mara, na Majita ni mji pia ndani ya Mara, kama ilivyo Tarime, Butyama, etc. kwi kwi kwi.....

Ikiendelea hivi, itakuwa kama ile hadithi wa kenya kudhani na kuamini kuwa Mlima Kilimanjaro uko kwao! kwi kwi kwi....

As for this young boy, kuendelea kumdiscuss hapa JF ni kujishushia hadhi tu. Peace ;-)
 
Jamani someni geography. Musoma ni mji mmojawapo wa Mkoa mtukufu wa Mara, na Majita ni mji pia ndani ya Mara, kama ilivyo Tarime, Butyama, etc. kwi kwi kwi.....

Kimsingi Majita sio mji na hakuna mji unaoitwa Majita mkoani Mara, Bali ni eneo kuubwa lenye vijiji kedekede linaitwa Majita katika wilaya ya Musoma Vijijini. Kiutawala nadhani ni Tarafa ya Majita. Pia kuna Butiama na siyo Butyama. Tuendelee kujifunza geography......
 
Ridhwani unakuwa kama si mtoto wa mjini bwana

hivi huu ndio ulezi wa Jakaya?

mtoto wa kiislam umekuwa na sifa kede kede za kutembea na wanawake mjini ..sifa gani hii?

kama ungekuwa rijali usingetoa ahadi za uongo kwa hao mabinti waliotajwa hapo juu

yaani hata sijui nikuteteee vipi kwenye hili

hauteteki
 

Kaazi kweli kweli
Hata mie inaniudhi kweli lakini naamini kuwa mtoa hoja katimiza wajibu wake na kwa kuwa tunaongozwa na rules hapa, endapo hii thread itakuwa imekiuka rules za JF naamini itaondolewa.
pia kuna watu wanapenda sana habari kama hizi, au wewe mwenzetu husomi magazeti ya habari laini?? Mf; uwazi, kiu, sani na makabila mengineyo ya magazeti haya.....
 

Mhhh, mie.....no comment...kwi kwi kwi....
 


Tuacheni ukabila na chuki kwa wachagga..watanzania wote ni sawa..na kila kabila lina sifa ya ziada..inawezekana kabisa kinadada wa kichagga hawajachezwa..lakini wakawa na elimu,juhudi na maarifa fulani ambayo muoaji yeyote ataipenda.....madhalani pia vijana wa kichagga wengi siku hizi wanaoa yeyote..kutokana na sifa wanazohitaji kwa mwanamke...ambazo wanafikiri wao au dada zao wanazikosa.....nafikiri kuoleana na kukomaa kwa umoja wa kitaifa!!!!
 

Mkuu.

Umeona bora uingie mwenyewe mzima mzima? umeona kitumbua kisije kuingia mchanga, najua mkimpata kijana Rizwan mambo yenu yatakuwa tambarare. atazungukwa kila kona na wana Mlima akija kushtuka watu waleeee.

Mkuu sio siri Machame kunatisha sana kama hujatuliza akili umeumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…