Ridhwani afunga ndoa!

Ridhwani afunga ndoa!

leta mada nyengine
achana na kabila hilo kabisa

anaoa mzaramo kama buguruni kwa Mnyamani mtoto wa mzee Chaurembo naona Buguruni kwa Mnyamani atakuwa na furaha kubwa baada ya kuona hakuna mchaga aliyeolewa na Ridhwani amesikia kilio chako na kaona yaliyomkuta Mkapa.
 
Huyo binti wa kizaramo mwenyewe kachezwa au ndio mambo ya kidhungu?
 
?????????????????? R U Serious?

Si mpigiane simu basi, nyie mnoulizana haya? Msituletee mambo ya vijiweni hapa!
__________________


MA XXX HAO
 
IMG_0553.jpg


kabeba kifaa.....
 
JK alisoma hotuba huku akiwaza harusi ya Riziani. Je hii ni sababu ya kufanya Ikulu wasitoe hutuba kwa kuwa muungwana alisahau/ongeza vitu?
 

Attachments

  • IMG_0383.jpg
    IMG_0383.jpg
    20.6 KB · Views: 273
  • IMG_0553.jpg
    IMG_0553.jpg
    17.6 KB · Views: 244
  • IMG_0557.jpg
    IMG_0557.jpg
    14.7 KB · Views: 446
  • IMG_0564.jpg
    IMG_0564.jpg
    20.9 KB · Views: 428
Last edited by a moderator:
wewe yoyo upo katika harusi , mimi nipo katika sherehe tafadhali tuwasiliane nimevaa nyeupe tupu
wengi nawaona wamevaa nyeupe shy......look someone..tall,slim na miwani suti ya kaki nimekaa na jamaa watatu.....
 
attachment.php


Nilifikiri atakuwa MWARABU...maaana wazaramu kwa rangi rangi mashaalah
 
Huyu binti kweli ni mzaramo??wengine wanadai mchagga ni kweli??
Kama mzaramo ni mzaramo aliyesoma nasikia kamesomea sheria.......
 
[media]http://1.bp.blogspot.com/_CcHV2wFn640/SK7iydonW8I/AAAAAAAADHI/WAYfwsQZJC8/s400/ridiwani+1.jpg[/media]

[media]http://1.bp.blogspot.com/_CcHV2wFn640/SK7hyMXAG_I/AAAAAAAADHA/nEmbZO9eI0E/s400/ridiwani.jpg[/media]
 
Picha ya nne imevuta sana tashwishwi maana mzee anavyomuanalyze kabinti i just have the feelings ana recall back days......

enewei hongera rizwani kwa kujiunga na klabu ya wenye miili mimoja ila nafsi tofauti....
 
Warabu wazuri wanafurahisha walahi sema kuna harufu furufu fulani hivi wanakuwaga nayo sijui ni pua zangu
 
Warabu wazuri wanafurahisha walahi sema kuna harufu furufu fulani hivi wanakuwaga nayo sijui ni pua zangu

SHY
nahisi huyo ulimwita muharabu kutokana na rangi yake,mabinti wa kiarabu wao na ubani,muulize KIBUNANGO aka mzee wa zenji
 
..nawe unazimia waarabu?
Huyu wala sio muarabu ....ni mwafrika tu mweusi wa kawaida, maji ya kunde tunaweza kusema. Kama ilivyosemwa ni mwanasheria anafanya/akifanya kazi na REX ATTORNEYS(zamani MRN&M and EPITOME attorneys) ya kina mama Maajar.
 
attachment.php


Nilifikiri atakuwa MWARABU...maaana wazaramu kwa rangi rangi mashaalah

...mwarabu kama mke mdogo wa baba yake??..like father like son.....

..no nasikia huyu binti ni mwenyeji wa dar es salaam..mtoto wa uswazi..kwa maana anatokea familia ya kawaida kabisa ....walisoma na riz..tangu mlimani alikuwa anazungusha..baada ya kuchekecha na kuchambua kati ya wote waliompitia karibu..kama ilivyokawaida kwa wanaume tuliokuwa wengi bahati ya wa kuolewa imemuangukia arafa...hongereni!!!
 
Hongera kwa maharusi.Ila huyu dada aombe Mungu sana,maana Ridhiwani tabia ikiendelea design kama alivyokuwa UK, ndoa itakuwa ngumu sana,a leopard cannot change its spots!!!
Kila la kheri. Na huyu binti ni mchagga kweli?kama watu walivosakama humu???
 
Back
Top Bottom