leta mada nyengine
achana na kabila hilo kabisa
kabeba kifaa.....
harusi ni leo, nina picha za kwenye kicheni part nilekezeni nibandike hapa
wengi nawaona wamevaa nyeupe shy......look someone..tall,slim na miwani suti ya kaki nimekaa na jamaa watatu.....wewe yoyo upo katika harusi , mimi nipo katika sherehe tafadhali tuwasiliane nimevaa nyeupe tupu
Nilifikiri atakuwa MWARABU...maaana wazaramu kwa rangi rangi mashaalah
Warabu wazuri wanafurahisha walahi sema kuna harufu furufu fulani hivi wanakuwaga nayo sijui ni pua zangu
Huyu wala sio muarabu ....ni mwafrika tu mweusi wa kawaida, maji ya kunde tunaweza kusema. Kama ilivyosemwa ni mwanasheria anafanya/akifanya kazi na REX ATTORNEYS(zamani MRN&M and EPITOME attorneys) ya kina mama Maajar...nawe unazimia waarabu?
Nilifikiri atakuwa MWARABU...maaana wazaramu kwa rangi rangi mashaalah