Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
- Thread starter
-
- #81
Inshaalah Allah awafanyie wepesi na wenye macho ya HUSDA awaondoshee
I thought Ridhwani kaopoa mwarabu kama Iddi Janguo
anyway hongera sana Ridhwani kilichobaki sasa after 5 months Arafa aanze kula udongo
Ni jambo la muhimu sana kulijadili hapa.
Mkapa alikuwa mtiifu sana hana rushwa alipooa Machame matokeo yake tunayaona. hadi EPA mama Mkapa kafanyiza. sifa nzuri zote za mkapa zimehabiriwa.
DR.Salmin Amour alikwenda kuoa Kilimanjaro alipomaliza tu urais akakimbiwa na mwanamke wa kichagga na kumuibia kila kitu.
Sumaye alioa mchagga matokeo yake kawa mwizi mkubwa na mrafi.
sio siri kuna maeneo ukitaka kuoa lazima ujiulize mara tatu tatu.
mikoa ya Musoma, bukoba ni mashaka. na Kilimanjaro ndio balaa.
Balali mke wake ni kilimanjaro moto mtupu.
Wakubwa salaam aleykum
Ninawashangaa sana kuanza kujadili watoto wanaooa na kuolewa katika forum kubw akama hii.
Mimi ningekubali kushiriki mjadala huo endapo tu ningeridhika kuwa kuoana kwa Ridhiwani na Huyo binti wa kichaga kunaleta msisimko fulani wa kisiasa na kijamii. Mathalan nijiridhishe kuwa Ridhiwani akiwa kada wa CCM anamwoa binti mchaga ambaye ni kada asiyebadilika kirahisi wa CHADEMA. Au kwamba yeye kama Muislamu anamwoa mkristo tena mlokole. ..........................................
Alamsiki
..si kazi eshaanza kula!
mimi naomba picha ya arusi yao!!
...Kitimbo we sio mtanzania nini?? Mikoa ya Musoma na Bukoba iko Tanzania???Ni jambo la muhimu sana kulijadili hapa.
Mkapa alikuwa mtiifu sana hana rushwa alipooa Machame matokeo yake tunayaona. hadi EPA mama Mkapa kafanyiza. sifa nzuri zote za mkapa zimehabiriwa.
DR.Salmin Amour alikwenda kuoa Kilimanjaro alipomaliza tu urais akakimbiwa na mwanamke wa kichagga na kumuibia kila kitu.
Sumaye alioa mchagga matokeo yake kawa mwizi mkubwa na mrafi.
sio siri kuna maeneo ukitaka kuoa lazima ujiulize mara tatu tatu.
mikoa ya Musoma, bukoba ni mashaka. na Kilimanjaro ndio balaa.
Balali mke wake ni kilimanjaro moto mtupu.
Hongera kidume sasa nama zote za akina mwanahawa, mwanaukuta,mwanapangu pakavu uzidiliti amasivyo uatakuwa kama baba yako mdogo.
JK alisoma hotuba huku akiwaza harusi ya Riziani. Je hii ni sababu ya kufanya Ikulu wasitoe hutuba kwa kuwa muungwana alisahau/ongeza vitu?