Ridhwani afunga ndoa!

Ridhwani afunga ndoa!

itakuwa too soon hebu tumpe muda kidume then tutajua by April next year mana kama muonavyo hapa bwana Iddi naye a likuwa na presha sana kwenye hilo na matunda tushayaona

iddi.jpg

Wazaramo kwa Rangi rangi tuuu...hawana mshindani but i can understand, mikorogo imepanda bei sasa ya nini kuingia gharama ili hali weupe orijino wapo?

sasa inabidi DVD zote za kihindi ziondolewe mpaka hapo bi Arafa atakapoanza kusikia kichefu chefu ama sivyo Sinema za masaa 3 zitakuwa kisingizio

Na kama mimi ningekuwa Ridhwani na kazi namwachisha kabisaa...najua wengi mtaanza kumind lakini potelea mbali haiwezekani kwenye kasri wakawepo masultani wawili

Lakini asifanye haraka maana ndugu wa upande wakike wasijemjia juu bure...Ridhwani avute time kisha amwambie kuwa kutokana na sababu za kiusalama itabidi aache kazi na awe full time mama wa nyumbani huku Mwinyi Ridhwani anakuwa kazi yake kutafuta rizki na kama in other words Arafa atakuwa hagombwi akigombwa atapewa first class ticket ya Emirates to Dubai akafanye shopping

sasa mwenye wivu akajinyonge


IMG_0553.jpg

Kwa kweli maharusi wa mwezi huu mnapendeza....

Mi sioni ubaya huyu kijana mwenzetu kuoa hata akioa mchaga/mzaramo/mhaya wote ni watanzania!! lets not bring tribalism katika masuala social kama haya!!

ila duh.....huyu binti naona kama yuko kwenye ari mpya - nguvu mpya! (nahisi keshaanza kula udongo)
 
Sie wazaramu sijui tutamka lini.
btw

Ridhwani anamwoa yule binti wa Kichagga Mimi kusema ukweli siwezi saari za kupanda treni.Tulishampa yule binti wa kutoka Tanga ambako angepewa theory an practical lakini wapi siio la kufa halisikii dawa.

Mie nishamwambia Mtawa miguuu yangu mibovu siwezi kwenda Moshi, milima mingi sana kule

sijui nyie mnaonaje kuhusu hili la Moshi?

cha ajabu sijui kama huyo Binti mwenyewe keshachezwa





bwana we huyo ridhwani aowe mmakonde mzaramu hata kilema atajiju mwenyewe si wala hayatuhusu.sisi tudiscuss mambo ya maana
 
Mkuu IVUGA Ucelebrity wa Ridhiwan upo wap? Na ktk hzo picha 2, mwenye mtoto na ya harusi, mke halisi yuko wap?
 
ni mke wa ngapi??????like father like son!aghhhhhhhhhhhhhhhhhhh ovyooooooooooo
 
Inshaalah Allah awafanyie wepesi na wenye macho ya HUSDA awaondoshee

I thought Ridhwani kaop[oa mwarabu kama Iddi Janguo

anyway hongera sana Ridhwani kilichobaki sasa after 5 months Arafa aanze kula udongo

Hawa wakisasa hawali udongo wala ndimu, utasikia "Honie nina hamu na burger, sausage, pizza kubwa, kitimoto kila mbili etc........."
 
Mod angalizo tufungie hii post kwanza ni ya kibaguzi pili privacy ya mtu tatu wengine tukiona hilo jina twasikia kichefuchefu sasa si vyema tukateseka wakati kuna soln
msaada kwenye tuta mod
 
Back
Top Bottom