Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
Naona wameanza tena! Tunamuomba Mungu apishilie mbali mambo ya hovyo kama haya.
Duh...!Usinikumbushe mbali, majuzi tu Kasim Majaliwa aliulizwa JPM yuko wapi akasema kama uliyoyasema ya JK. Ilipofika tar 17.3.2021 yakawashinda wakatangaza kinyume chake. JK ana mdomo wa kuongea tunasibiri ajibu hoja mitandaoni sio kusemewa.
Huyo majaliwa aliamua kujiropokea tu halikua hajui loloteUsinikumbushe mbali, majuzi tu Kasim Majaliwa aliulizwa JPM yuko wapi akasema kama uliyoyasema ya JK. Ilipofika tar 17.3.2021 yakawashinda wakatangaza kinyume chake. JK ana mdomo wa kuongea tunasibiri ajibu hoja mitandaoni sio kusemewa.
Kufika 2025 hakuna CCM, hata mwenge wenu mnaowalogea watz wanyonge hautasaidia.Ridhwani Kikwete: Baada ya kupokea Simu na Jumbe mbalimbali nimeona nitumie nafasi hii kuweka kumbukizi sawa. Mzee wetu na Mzazi wetu Dr. @jmkikwete yupo salama wa Afya Nyingi sana. Hana tatizo lolote kiafya na anaendelea na majukumu yake. Taarifa za aina yeyote ni za Kipuuzi na za kupuuzwa.
Hata kauli ya waziri mkuu,Kasim Majaliwa iliheshimiwa ila tare 17.3.2021 iliibua mengineDuh...!
Kauli ya mwanae inatosha iheshimiwe.
Kumbe na yeye alisikia kuwa Mze alipaliliwa na bangi majuzi mpaka wanazusha kuwa kalazwa na kachanganikiwa akili kwa ajili ya uvutaji bangi. Ila kumuamini Ridhiwani ni kazi pia maana jamaa anajiita muislam mzuri lakini ni muuza unga mzuri tu.Ridhwani Kikwete: Baada ya kupokea Simu na Jumbe mbalimbali nimeona nitumie nafasi hii kuweka kumbukizi sawa. Mzee wetu na Mzazi wetu Dr. @jmkikwete yupo salama wa Afya Nyingi sana. Hana tatizo lolote kiafya na anaendelea na majukumu yake. Taarifa za aina yeyote ni za Kipuuzi na za kupuuzwa.
Kigogo anasemaje?Ridhwani Kikwete: Baada ya kupokea Simu na Jumbe mbalimbali nimeona nitumie nafasi hii kuweka kumbukizi sawa. Mzee wetu na Mzazi wetu Dr. @jmkikwete yupo salama wa Afya Nyingi sana. Hana tatizo lolote kiafya na anaendelea na majukumu yake. Taarifa za aina yeyote ni za Kipuuzi na za kupuuzwa.
Khaa! khaa! Kwani waislamu hawauzi unga?,au hawapaswi kuuza unga? Watu wanataka kula ugari, maandazi, mikate, n.k.inatokana na Unga sasa wasipouza tutaishije?Kumbe na yeye alisikia kuwa Mze alipaliliwa na bangi majuzi mpaka wanazusha kuwa kalazwa na kachanganikiwa akili kwa ajili ya uvutaji bangi. Ila kumuamini Ridhiwani ni kazi pia maana jamaa anajiita muislam mzuri lakini ni muuza unga mzuri tu.
Hahaha mkuu mbona unakuwa mwepesi sana kusahau? Kumbuka ile kauli iliyotolewa msikitin kuwa "Chuma kipo ofisini kinachapa kazi", au ile ya "JPM yupo na anawasalimia sana" kama hiyo haitoshi, kuna ile kubwa kuliko "Ni kawaida mtu kukaguliwa kaguliwa".Duh...!
Kauli ya mwanae inatosha iheshimiwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utaona kila rangi mwanakwetuSukuma gang wanapenda .ambo ya kuuwana kutesana kuchukiana
Ccm tuliwaambia uchafu mlioufanya 2020 hamtakaa salama bila kutubu na kuwaomba msamaha watz
Yule alikuwa Waziri Mkuu wa awamu ya 5.Kauli kama hii iliwahi kutolewa na waziri mkuu.