johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nani kazushiwa kifo?Siyo poa kumzushia mtu kifo kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kazushiwa kifo?Siyo poa kumzushia mtu kifo kwa kweli
Soma uelewe, acha uleviNani kazushiwa kifo?
Kwani kuna nini?Ridhwani Kikwete: Baada ya kupokea Simu na Jumbe mbalimbali nimeona nitumie nafasi hii kuweka kumbukizi sawa. Mzee wetu na Mzazi wetu Dr. @jmkikwete yupo salama wa Afya Nyingi sana. Hana tatizo lolote kiafya na anaendelea na majukumu yake. Taarifa za aina yeyote ni za Kipuuzi na za kupuuzwa.
Anything is possible, kuna habari za ajabu sana huku mtaani juu ya Mze.Ajabu Sana hii, au wajukuu wa Mwanamalundi wameamua ku react!!
Bangi zimemuathiri, kalazwa!Kwani kuna nini? Mbona sielewi? JK kafanyaje tena. Arrrrrgggh
Kwani majaliwa alikua mwana familia wa Magufuli, kama sio kiherehere chake na kujipendekeza tu.Usinikumbushe mbali, majuzi tu Kasim Majaliwa aliulizwa JPM yuko wapi akasema kama uliyoyasema ya JK. Ilipofika tar 17.3.2021 yakawashinda wakatangaza kinyume chake. JK ana mdomo wa kuongea tunasibiri ajibu hoja mitandaoni sio kusemewa.
Ha ha JK ana mdomo wa kuongeaUsinikumbushe mbali, majuzi tu Kasim Majaliwa aliulizwa JPM yuko wapi akasema kama uliyoyasema ya JK. Ilipofika tar 17.3.2021 yakawashinda wakatangaza kinyume chake. JK ana mdomo wa kuongea tunasibiri ajibu hoja mitandaoni sio kusemewa.
Ila naye alizidisha uvutaji bangi, watu walimuonya ila hakutaka kusikia.🤣🤣🤣🤣🤣 Ila Watanzania aliyeturoga jamani daa!
Ridhwani Kikwete: Baada ya kupokea Simu na Jumbe mbalimbali nimeona nitumie nafasi hii kuweka kumbukizi sawa. Mzee wetu na Mzazi wetu Dr. @jmkikwete yupo salama wa Afya Nyingi sana. Hana tatizo lolote kiafya na anaendelea na majukumu yake. Taarifa za aina yeyote ni za Kipuuzi na za kupuuzwa.
Hii taarifa ya R1 kwanza hakuna uhakika kama ni taarifa take kweli. Pili hii taarifa imeleta taharuki badala ya utulivu! Kikwete ni kipenzi cha wafanyakazi!! Japo walikuja kugundua hilo baadaye akiwa amemaliza awamu yake! Usiwape taharuki wafanyakazi!Kwani kulikuwa na taarifa gani?
i kigogo yule wa magogo!hana issue ck hizi.Kigogo anasemaje?
Hawa ni watani wa mzee! Wanyamwezi hawa!!Watu mitaani wanasema Mze alichanganikiwa baada ya kuvuta bangi majuzi baada ya chakula cha usiku. Walimuona anakimbizwa hospitali usiku huku akilia na kupiga kelele kuwa anasikia vitu vinamtembea kwenye ubongo.
Wafuasi wa Mwendazake wanapata tabu sana! Hawaamini kwamba jeshi lilishapiga mizinga yake 21 pale chato kwenye kile kibanda cha mabati. Imetoka hiyo, wazoee tu.Ridhwani Kikwete: Baada ya kupokea Simu na Jumbe mbalimbali nimeona nitumie nafasi hii kuweka kumbukizi sawa. Mzee wetu na Mzazi wetu Dr. @jmkikwete yupo salama wa Afya Nyingi sana. Hana tatizo lolote kiafya na anaendelea na majukumu yake. Taarifa za aina yeyote ni za Kipuuzi na za kupuuzwa.
Alishamaliza kazi yake ya kutuhabarisha juu ya ile habari njema kwa nchi mwezi ule wa tatu na mizinga 21 ilishapigwa. Kwa hiyo Kigogo apumzike zake huko aliko. Tunasubiri habari za NdugaiKigogo anasemaje?
we unajtambua kweli?Kumbe na yeye alisikia kuwa Mze alipaliliwa na bangi majuzi mpaka wanazusha kuwa kalazwa na kachanganikiwa akili kwa ajili ya uvutaji bangi. Ila kumuamini Ridhiwani ni kazi pia maana jamaa anajiita muislam mzuri lakini ni muuza unga mzuri tu.
kila mwaka mnasogeza mbele kifo cha ccm sasa hivi mmehamia 2025 najua mkifika hapo mtasema 2030Kufika 2025 hakuna CCM, hata mwenge wenu mnaowalogea watz wanyonge hautasaidia.