Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM hata iwe na migogoro kiasi gani, bado itaendelea kutawala. CHADEMA hata iwe imara kiasi gani, haitakuja kutawala nchi hii.Kufika 2025 hakuna ccm,
hata mwenge wenu mnaowalogea watz wanyonge hautasaidia
Leo kunagraduu UDSM pale watu so wakaakikishe Kama mzee ni mzima wa afya au vipiKauli kama hii iliwahi kutolewa na waziri mkuu.
CCM hata iwe na migogoro kiasi gani, bado itaendelea kutawala. CHADEMA hata iwe imara kiasi gani, haitakuja kutawala nchi hii.
Kama yeye mwenyewe ndiye alihusika katika kulitaarifu Taifa juu ya kuugua kwake mpaka kupona, basi ajitokeze kujibu hata sasa.Yule alikuwa Waziri Mkuu wa awamu ya 5.
Rais mstaafu Kikwete hajawahi kuwa msiri wa afya yake. Kabla ya Kikwete kuugua na kwenda kutibiwa US, ulikuwa unaufahamu ugonjwa unaoitwa tezi dume? Kikwete hajawahi kuficha maradhi. Hata alipokuwa anaenda US kutibiwa na aliporudi, alilitaarifu taifa zima.
Ridhwani Kikwete: Baada ya kupokea Simu na Jumbe mbalimbali nimeona nitumie nafasi hii kuweka kumbukizi sawa. Mzee wetu na Mzazi wetu Dr. @jmkikwete yupo salama wa Afya Nyingi sana. Hana tatizo lolote kiafya na anaendelea na majukumu yake. Taarifa za aina yeyote ni za Kipuuzi na za kupuuzwa.
Yeye ndo mgeni rasmi?Leo kunagraduu UDSM pale watu so wakaakikishe Kama mzee ni mzima wa afya au vipi
Lazima tuwaambie wajue, maana naona kama wako gizani na wamelemewa na ushabiki bila kuangalia uhalisia wa mambo. Hii kitu hata viongozi wao wanajua kabisa kuwa ni ngumu wao kutawala hii nchi, ndomaana Lila uchwao wamewekeza katika swala la kushare chakula na serikali(CCM) na sio kupigana nao.Ukweli mchungu[emoji23][emoji23][emoji23]
Watu mitaani wanasema Mze alichanganikiwa baada ya kuvuta bangi majuzi baada ya chakula cha usiku. Walimuona anakimbizwa hospitali usiku huku akilia na kupiga kelele kuwa anasikia vitu vinamtembea kwenye ubongo.Kwani kulikuwa na taarifa gani?
Ajabu Sana hii, au wajukuu wa Mwanamalundi wameamua ku react!!Watu mitaani wanasema Mze alichanganikiwa baada ya kuvuta bangi majuzi baada ya chakula cha usiku. Walimuona anakimbizwa hospitali usiku huku akilia na kupiga kelele kuwa anasikia vitu vinamtembea kwenye ubongo.
🤣🤣🤣🤣🤣 Ila Watanzania aliyeturoga jamani daa!Watu mitaani wanasema Mze alichanganikiwa baada ya kuvuta bangi majuzi baada ya chakula cha usiku. Walimuona anakimbizwa hospitali usiku huku akilia na kupiga kelele kuwa anasikia vitu vinamtembea kwenye ubongo.
Mungu ampe Afya njema na maisha marefu bado tunamhitaji.Ridhwani Kikwete: Baada ya kupokea Simu na Jumbe mbalimbali nimeona nitumie nafasi hii kuweka kumbukizi sawa. Mzee wetu na Mzazi wetu Dr. @jmkikwete yupo salama wa Afya Nyingi sana. Hana tatizo lolote kiafya na anaendelea na majukumu yake. Taarifa za aina yeyote ni za Kipuuzi na za kupuuzwa.
Wakiongozwa na bwana Cyprian Musiba na akaunti yake ya Veronica France kule fb na ID yake ya Nigrastratatract hapa jfSukuma gang wanapenda .ambo ya kuuwana kutesana kuchukiana
Ccm tuliwaambia uchafu mlioufanya 2020 hamtakaa salama bila kutubu na kuwaomba msamaha watz
Yeye ni Mkuu wa Chuo!Yeye ndo mgeni rasmi?
JK alikuwa muwazi snYule alikuwa Waziri Mkuu wa awamu ya 5.
Rais mstaafu Kikwete hajawahi kuwa msiri wa afya yake. Kabla ya Kikwete kuugua na kwenda kutibiwa US, ulikuwa unaufahamu ugonjwa unaoitwa tezi dume? Kikwete hajawahi kuficha maradhi. Hata alipokuwa anaenda US kutibiwa na aliporudi, alilitaarifu taifa zima.