Ridhwani: Jakaya Kikwete yupo salama wa afya nyingi, hana tatizo la kiafya

Ridhwani: Jakaya Kikwete yupo salama wa afya nyingi, hana tatizo la kiafya

Poleni kwa taharuki. Mipango ya Mungu mwanasa mu hawezi shindana nayo.
 
Yule alikuwa Waziri Mkuu wa awamu ya 5.

Rais mstaafu Kikwete hajawahi kuwa msiri wa afya yake. Kabla ya Kikwete kuugua na kwenda kutibiwa US, ulikuwa unaufahamu ugonjwa unaoitwa tezi dume? Kikwete hajawahi kuficha maradhi. Hata alipokuwa anaenda US kutibiwa na aliporudi, alilitaarifu taifa zima.
ALIENDA KUTIBU TEZI DUME AMA ALIENDA KUMNYOOSHA RIHANNA NA KUFUKIZA UVUNDO WA ESCROW ILI MLISAHAU HILO?
 
Kwanini unalazimisha taarifa iwe mbaya, acha roho ya kifa...la kima wewe
Sikuizi tumeanza kupangiana kitu cha kucomment humu sio? Kibaya zaidi unanitusi, kama hukubaliani na hoja yangu kwanini usipite uchi?

Kima ni mzazi wako wa kike, either awe hai au awe kuzimu yeye ni ki.ma wa ma..kima
 
Ukitaka kujua tayari au bado wewe pita kurasini polisi sa nne nne hivi, ukiona jamaa wanafanya mazoezi nyimbo za maombolezo ujue tayari.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sikuizi tumeanza kupangiana kitu cha kucomment humu sio? Kibaya zaidi unanitusi, kama hukubaliani na hoja yangu kwanini usipite uchi?

Kima ni mzazi wako wa kike, either awe hai au awe kuzimu yeye ni ki.ma wa ma..kima
Unateseka ukiwa wapi..?
 
Hahaha mkuu mbona unakuwa mwepesi sana kusahau? Kumbuka ile kauli iliyotolewa msikitin kuwa "Chuma kipo ofisini kinachapa kazi", au ile ya "JPM yupo na anawasalimia sana" kama hiyo haitoshi, kuna ile kubwa kuliko "Ni kawaida mtu kukaguliwa kaguliwa".

Katika taarifa kama hizi,inapendeza zaidi mlengwa alijitokeza akasema.
Kwa utawala wa kwendazake hata ingekuwa wewe ungediriki kunyanyua mdomo na kusema eti anaumwa?ili akitoka hospitali aje akuzodoe mbele ya kadamnasi?
 
Back
Top Bottom