Ridhwani: Jakaya Kikwete yupo salama wa afya nyingi, hana tatizo la kiafya

Ridhwani: Jakaya Kikwete yupo salama wa afya nyingi, hana tatizo la kiafya

Wa TZ mna Nongwa. Picha/video haidanganyi. Fungua/ angalia akiwatunukia Phd wahitimu angalia kuanzia Dk 41 utamuona kavaa kofia nyekundu.

Mjadala umefungwa.
Kuna nyumbu mmoja alikuwa kashaanza kujipogeza na konyagi huku😂😂
 
Mfano mtu kuweka vikwazo mtu mwingine asitibiwe haipendezi. Mungu hapendi.
 
Ridhwani Kikwete: Baada ya kupokea Simu na Jumbe mbalimbali nimeona nitumie nafasi hii kuweka kumbukizi sawa. Mzee wetu na Mzazi wetu Dr. @jmkikwete yupo salama wa Afya Nyingi sana. Hana tatizo lolote kiafya na anaendelea na majukumu yake. Taarifa za aina yeyote ni za Kipuuzi na za kupuuzwa.

Kwani Ridhiwan ndo msemaji wa Serikali?
 
Asanteni kwa taarifa hii; tena tunafahamu Mungu hana upendeleo !
Lakini wahenga wanasemaje ?
1622138614110.png
 
Uzushi uliosambaa wiki hii kuhusu mh Jakaya Kikwete kuwa amekufa, ni kiashiria tosha kinachoonesha Kikwete yumo hatarini hatari ya kuuliwa.

Toka kifo Cha pombe, Kuna kundi lilijitokeza na kusema Kikwete anahusika.

Kama nakumbuka vizuri, wakati Lissu alipokwenda chaguliwa kuwa Rais wa TLS kule Arusha, palitokea uvumi kuwa Lissu amepigwa risasi huko Arusha.
Ikaelezwa kuwa Noah nyeusi ilisimama mbele ya jengo la mkutano alipotoka akapigwa.

Haikupita muda mrefu, Lissu akaanza kulalamika kufuatiliwa na watu kila aendako.
Haikupita muda akapigwa risasi huko dodoma.

Ifahamike kuwa ndani ya ccm kundi la mwendazake lipo na ni kundi hatari Sana.
Rais Samia Suluhu Hassan amuongezee ulinzi mheshima kikwete vinginevyo tukicheka na nyani tutavuna mabua

Mods uzi huu msiufute, unamaana na faida kwa taifa
 
unamfahamu kikwete au unasimuliwa yaani kikwete tofauti nahao migambo waliofarik(waliopitia jeshi kwamujibu).
 
Uzushi uliosambaa wiki hii kuhusu mh Jakaya Kikwete kuwa amekufa, ni kiashiria tosha kinachoonesha Kikwete yumo hatarini hatari ya kuuliwa.

Toka kifo Cha pombe, Kuna kundi lilijitokeza na kusema Kikwete anahusika.

Kama nakumbuka vizuri, wakati Lissu alipokwenda chaguliwa kuwa Rais wa TLS kule Arusha, palitokea uvumi kuwa Lissu amepigwa risasi huko Arusha.
Ikaelezwa kuwa Noah nyeusi ilisimama mbele ya jengo la mkutano alipotoka akapigwa.

Haikupita muda mrefu, Lissu akaanza kulalamika kufuatiliwa na watu kila aendako.
Haikupita muda akapigwa risasi huko dodoma.

Ifahamike kuwa ndani ya ccm kundi la mwendazake lipo na ni kundi hatari Sana.
Rais Samia Suluhu Hassan amuongezee ulinzi mheshima kikwete vinginevyo tukicheka na nyani tutavuna mabua

Mods uzi huu msiufute, unamaana na faida kwa taifa
Sukuma gang walitaka kujua hisia za watz wakagundua watz hawana noma na mkwere, wanaumia kuona reaction ya watz imekuwa tofauti na matarajio
 
Back
Top Bottom