Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka kifo Cha pombe, Kuna kundi lilijitokeza na kusema Kikwete anahusika.
Waliotaka kumuua Tundu Lissu wamekufa wao.Uzushi uliosambaa wiki hii kuhusu mh Jakaya Kikwete kuwa amekufa, ni kiashiria tosha kinachoonesha Kikwete yumo hatarini hatari ya kuuliwa.
Toka kifo Cha pombe, Kuna kundi lilijitokeza na kusema Kikwete anahusika.
Kama nakumbuka vizuri, wakati Lissu alipokwenda chaguliwa kuwa Rais wa TLS kule Arusha, palitokea uvumi kuwa Lissu amepigwa risasi huko Arusha.
Ikaelezwa kuwa Noah nyeusi ilisimama mbele ya jengo la mkutano alipotoka akapigwa.
Haikupita muda mrefu, Lissu akaanza kulalamika kufuatiliwa na watu kila aendako.
Haikupita muda akapigwa risasi huko dodoma.
Ifahamike kuwa ndani ya ccm kundi la mwendazake lipo na ni kundi hatari Sana.
Rais Samia Suluhu Hassan amuongezee ulinzi mheshima kikwete vinginevyo tukicheka na nyani tutavuna mabua
Mods uzi huu msiufute, unamaana na faida kwa taifa
Kikwete Ana nguvu kisiasa ndani na nje ya nchi,Vile vile anahitaji kuendesha maisha yake baada ya kustaafu kwa busara. Asifanye kama vile alistaafu bila kupenda na sasa amepata nafasi ya kurudi madarakani kivyakevyake ghafla baada ya kifo cha mwendazake. Kiongozi mwenye busara anatakiwa awe makini kuliona hilo na kupima spidi zake za kurudi kwenye politics wakati huu.
Pia wapo wanaoamini kifo Cha mkapa kina mkono wa magufuli kwakuwa alikuwa kikwazo Cha kuongezwa muda wa utawala wakeWapuuzi Tanzania ni wengi mkuu anaweza akapigwa hata shaba maana wanaoamini kuwa kikwete anamkono kwenye kifo Magufuli ni wengi mno huku mitaani.
hayo ni maoni yako, yana haki ya kusikilizwa. Mimi ninaishi nje ya nchi; ninajua kuwa kuwa ukisema Tanzania, unaulizwa majina mawili tu, ambapo la Kikwete halimo. Maoni ya contributing reporters wa magazeti fulani ni kitu kimoja, lakini maoni ya wasema ukweli ni kitu kingine kabisa.Kikwete Ana nguvu kisiasa ndani na nje ya nchi,
Nguvu hiyo haikuonekana kwakuwa mwendazake hakitaka kushauriwa na waliomtangulia.
Aongezewe ulinzi ili iweje? Tuko katika awamu ya 6 sasa, akae kwake Msoga huko akila ndezi kwa raha zake mwenyewe.Uzushi uliosambaa wiki hii kuhusu mh Jakaya Kikwete kuwa amekufa, ni kiashiria tosha kinachoonesha Kikwete yumo hatarini hatari ya kuuliwa.
Toka kifo Cha pombe, Kuna kundi lilijitokeza na kusema Kikwete anahusika.
Kama nakumbuka vizuri, wakati Lissu alipokwenda chaguliwa kuwa Rais wa TLS kule Arusha, palitokea uvumi kuwa Lissu amepigwa risasi huko Arusha.
Ikaelezwa kuwa Noah nyeusi ilisimama mbele ya jengo la mkutano alipotoka akapigwa.
Haikupita muda mrefu, Lissu akaanza kulalamika kufuatiliwa na watu kila aendako.
Haikupita muda akapigwa risasi huko dodoma.
Ifahamike kuwa ndani ya ccm kundi la mwendazake lipo na ni kundi hatari Sana.
Rais Samia Suluhu Hassan amuongezee ulinzi mheshima kikwete vinginevyo tukicheka na nyani tutavuna mabua
Mods uzi huu msiufute, unamaana na faida kwa taifa
Hakuna ulinzi unaoweza kumhakikishia usalama mtu yyte , ni Mungu Tu akuepushie Ila kama watu wakiamua na kudhamiria kukuua,wanakuua Tu chapMimi naamini siku ikifika utakwenda Tu.
Uwe na walinzi usiwe na walinzi
Well saidHakuna ulinzi unaoweza kumhakikishia usalama mtu yyte , ni Mungu Tu akuepushie Ila kama watu wakiamua na kudhamiria kukuua,wanakuua Tu chap
Unadhani ni ulinzi wenu wa kukaa na rungu?Ulinzi?
Ni jambo jema!
Kama walinzi wa Mbowe!Unadhani ni ulinzi wenu wa kukaa na rungu?
Najuwa umeelewa nilikuwa na maana gani ila ndiyo hivyo uliamua tu kuwa mjinga. Muulize Ridhiwani mwenyewe kwanini alikamatwa China na yale makontena ya unga huku akilitia taifa hasara?Khaa! khaa! Kwani waislamu hawauzi unga?,au hawapaswi kuuza unga? Watu wanataka kula ugari, maandazi, mikate, n.k.inatokana na Unga sasa wasipouza tutaishije?
Sana tuwe unajtambua kweli?
Sasa unafikiri nimejuaje?Aliwahi muzia unga mamako?
Hata ukiishi chato sawa tuhayo ni maoni yako, yana haki ya kusikilizwa. Mimi ninaishi nje ya nchi; ninajua kuwa kuwa ukisema Tanzania, unaulizwa majina mawili tu, ambapo la Kikwete halimo. Maoni ya contributing reporters wa magazeti fulani ni kitu kimoja, lakini maoni ya wasema ukweli ni kitu kingine kabisa.
Hupati hiyo nafasi wewe linda ofisi za KatoroKama walinzi wa Mbowe!